Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Arudiane na mumewe dalali wa tandale sokoni kabla hajaanza kulala kwenye mapipa ya taka marekan
 
Hebu google "waliopitiwa na Kamanda Amatus Liumba" utakutana na Mange huko
 
Chaaaaa! Ndo great thinkers hawa..... ..
Hivi nikichika mnahisi ntabadilika nini? Mnadhani hii ni NTanzania. Gosh....
Kha Yani mlivyong'ang'ana nimeachika, Hivi Mnadhani Mimi Ndoa ndo Kila kitu Kwangu ?? Kha! Kwani nikiachika ntakuwa wa ngapi ? Anyways divorce za Marekani ziko public Embu nileteeni hiyo divorce yangu... Toka lini Mwanamke wa kipare akaachika nyie? Haachiki mtuuuuu.? Ulieleta topic unanichukia utadhani nilikuibia Bwana .... Bye bitches

kuna wanawake wa kipare wastaarabu wenye tabia njema wanaojua uthamani wa lika mtu na wana hekima na utu, mwanamke kama huyo huwezi kumuacha, ila kwa tabia zako kwa kweli hata mbwa huwezi huishi nae banda moja atakuchoka tu, una watoto watatu, maisha feki ya kwenye mitandao ya nini mama? kaa lea watoto ebooo? huo muda wa kukaa kutukana watu na kufatilia maisha ya watu unapata wapi?huoni unajishushia heshima mama yangu? i feel sorry for you pengine kuna laana inakusumbua na itakufatilia wewe na kizazi chako tunaikemea kwa Jina la Yesu, usione watu wanakaa kimya mange, peole knows you more that you think na wakiamua kuyafichua ya kwako sijui utaficha wapi uso wako,jitafakari na ujiongeze, unazeeka sasa busara ikutawale, hayo mambo ya kutukana kwenye mitandao waachie watoto wadogo kizee wewe
 
kuna wanawake wa kipare wastaarabu wenye tabia njema wanaojua uthamani wa lika mtu na wana hekima na utu, mwanamke kama huyo huwezi kumuacha, ila kwa tabia zako kwa kweli hata mbwa huwezi huishi nae banda moja atakuchoka tu, una watoto watatu, maisha feki ya kwenye mitandao ya nini mama? kaa lea watoto ebooo? huo muda wa kukaa kutukana watu na kufatilia maisha ya watu unapata wapi?huoni unajishushia heshima mama yangu? i feel sorry for you pengine kuna laana inakusumbua na itakufatilia wewe na kizazi chako tunaikemea kwa Jina la Yesu, usione watu wanakaa kimya mange, peole knows you more that you think na wakiamua kuyafichua ya kwako sijui utaficha wapi uso wako,jitafakari na ujiongeze, unazeeka sasa busara ikutawale, hayo mambo ya kutukana kwenye mitandao waachie watoto wadogo kizee wewe
kuntuuuu bibi[emoji108]
 
Porojo zoooote nilizokuwa nazisoma kuhusu huyu Mange kumbe ni mrembo feki! Nywele za maiti, kope za maiti, rangi ya mwili mikorogo, sura imejaa wa ma foundation kama gari chakavu lililojazwa puti.

Miguu kaa fito zisizo na ubora.

Kuwa feki namna hiyo na kuwasema sema wenzake hata hai contrast.

Mie nilifikiri ni mwanamke wa maana kumbe kimekaa kama ki Faiza cha Sugu.!
Yote umeongea lakini ya miguu siku support. hayo ni maumbile ya mtu na mtu hachagui kua alivyo. hata wewe nina imani ungeambiwa kuchagua ungekua tofauti na ulivyo. urembo wingine sawa lakini maumbile ya mtu tuachane nayo maana hujafa hujaumbika.
 
Chaaaaa! Ndo great thinkers hawa..... ..
Hivi nikichika mnahisi ntabadilika nini? Mnadhani hii ni NTanzania. Gosh....
Kha Yani mlivyong'ang'ana nimeachika, Hivi Mnadhani Mimi Ndoa ndo Kila kitu Kwangu ?? Kha! Kwani nikiachika ntakuwa wa ngapi ? Anyways divorce za Marekani ziko public Embu nileteeni hiyo divorce yangu... Toka lini Mwanamke wa kipare akaachika nyie? Haachiki mtuuuuu.? Ulieleta topic unanichukia utadhani nilikuibia Bwana .... Bye bitches

HIVI WEE MANGE KIMAMBI KWANINI ULINIBLOCK KULE KWENYE BLOG YAKO NA INSTAGRAM...!! tatizo lako hukubali kuambiwa ukweli wee bibie...haya maisha umeyataka mwenyewe kwa kujianika kwenye social media ukajiona mjanjaa..!! kila kitu unajidai unajua umegombana na marafiki zako wotee..chaaa mwanamke una mdomo mchafu wee kama choo cha stand.. una wivu hatari usione rafikiyo kakuzidi au mtu yoyote...ushauri wa bure nenda kaombewe maana una pepo la mafarakano...na roho ya kukataliwa!!
haya kama kweli unajiamin tu unblock kule faster tuendelee kudai pesa zetu za corset...lol ulimtapeli rafiki yangu pesa yake had leo hujamrudishia corset hujampa....!! ukidaiwa unajidai kufuta comment na kublock watu...!!wee si muke ya tajir hivo vidollar vichache mbona vinakutoa imani??

alafu wee si unajidaigi jeshi la mtu mmoja huogopagi mashambulizi..haya nini kimekusibu huku hadi umejibu???

sikuombei mabaya ila umefika mwisho wako SIT DOWN SUBIRI KARMA INAKUJA...umeumiza watu wengi na maneno yako..sitoshangaa siku nikisikia umejilipua kama dady akoo..maana Mungu mkali malipo ni hapahapa dunianii...!!
RUDISHA PESAZA CORSET ULIZOTAPELI...JASHO LA MTU HALIENDI BURE!!!
 
charty kumbe aliku block hahaaa hata mie naona hata mawaziri wake choka mbaya aisee akisifiwa na wasiojielewa anajiona kafika. Shamimu huwa hamtoki mdomoni wenzako wako vumbini lakini wa me progress shammy aendesha had range mchezo kwani while wahesabiwa chips na mzungu had kuitwa blood m..... Charty pole yani corset za kichina alikua anadaganya za USA wakati kariakoo zikko cheap. Bibie kaombewe roho LA rejection likutoke tu aisee utachanganyikiwa na maisha ya nje stress utazeeka with nothing to show
 
Mapenzi hayana uchawi, utaroga lakini siku ya siku dawa zikitoka mwilini utashitukizia mtu unapigwa bichwa ka mwizi vile na kutokwa ngebe. Kawaida ya mwanamke tegemezi ni hilo, siku akiachwa anafikiria kujiua au kutaka watu wamuonee huruma wakati yeye ndiyo anayelambishwa koni kwa raha azijuazo yeye mwenyewe. It's her business let her deal with it.
 
charty kumbe aliku block hahaaa hata mie naona hata mawaziri wake choka mbaya aisee akisifiwa na wasiojielewa anajiona kafika. Shamimu huwa hamtoki mdomoni wenzako wako vumbini lakini wa me progress shammy aendesha had range mchezo kwani while wahesabiwa chips na mzungu had kuitwa blood m..... Charty pole yani corset za kichina alikua anadaganya za USA wakati kariakoo zikko cheap. Bibie kaombewe roho LA rejection likutoke tu aisee utachanganyikiwa na maisha ya nje stress utazeeka with nothing to show

yes aliniblock tu baada ya kuwa tunamkomalia arudishe hiyo pesa ya corset na baada ya kumchamba alivyokua anamtusi Lowassa....alafu nasikia siyo sie tu aliyetutapeli kuna watu wametapiliwa pesa za kutafutiwa waume kwenye ile blog ya wazungu hahah na hawajawapata(wajinga ndio waliwao)..wengine mawig hawajatumiwa yaan majanga...namshangaaga anavyosemaga yeye ni jeshi la mtu mmoja...hamna lolote... silaha yake kublock watu akiambiwa ukweli...!! na ole wake atue bongo tutamgombania pale jk brake ya kwanza segerea lol..maana kila aliyejeruliwa na yy ana hamu naye...!!
 
Watu mnatamani kweli huyu dada aachwe, aisee kwanini mnapenda kujipa stress sana? Kama huyo kichwapanzi hadi anatia huruma, huwa najiuliza do these people have a life??? Yani kama kichaa
 
Chaaaaa! Ndo great thinkers hawa..... ..
Hivi nikichika mnahisi ntabadilika nini? Mnadhani hii ni NTanzania. Gosh....
Kha Yani mlivyong'ang'ana nimeachika, Hivi Mnadhani Mimi Ndoa ndo Kila kitu Kwangu ?? Kha! Kwani nikiachika ntakuwa wa ngapi ? Anyways divorce za Marekani ziko public Embu nileteeni hiyo divorce yangu... Toka lini Mwanamke wa kipare akaachika nyie? Haachiki mtuuuuu.? Ulieleta topic unanichukia utadhani nilikuibia Bwana .... Bye bitches

Wape wape wape stress zaidi!
 
Hahahaaaa nampenda Mange jamani....anawaumiza watu vichwa
Watu mnatamani kweli huyu dada aachwe, aisee kwanini mnapenda kujipa stress sana? Kama huyo kichwapanzi hadi anatia huruma, huwa najiuliza do these people have a life??? Yani kama kichaa
Leo ndio mmejikusaaanya mkaona mje kuicheza ngoma mwishoni....
Yeye mbona anafuatilia ya watu?
Hivi kuna mbea kama Mange?
Mbona Yeye ya watu yanamuumiza kichwa?
Hamna jipya nyie....kafieni mbali na chizi wenu huko.
 
Back
Top Bottom