Alikuwa anawatafutia wanawake wanaume wa kizungu akidai hawana stress Kama wanaume wa kibongo, kasahau mwanae wa kwanza kazaa na mbongo! Mange ni kiumbe cha aina yake anahitaji banda lake siku ya sabasaba yani watu wawe wanapita tuu nakumuangalia.
Hata vibabu hapati nakwambia...yaani ataishi maisha ya taabu.Hao wabongo ndo asahau.alijishau wanaume wa kibongo siwataki. ..akakimbilia wazungu...sasa wazungu wenyewe wameandika divorce.