Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Alikuwa anawatafutia wanawake wanaume wa kizungu akidai hawana stress Kama wanaume wa kibongo, kasahau mwanae wa kwanza kazaa na mbongo! Mange ni kiumbe cha aina yake anahitaji banda lake siku ya sabasaba yani watu wawe wanapita tuu nakumuangalia.


Hata vibabu hapati nakwambia...yaani ataishi maisha ya taabu.Hao wabongo ndo asahau.alijishau wanaume wa kibongo siwataki. ..akakimbilia wazungu...sasa wazungu wenyewe wameandika divorce.
 
Alikuwa anawatafutia wanawake wanaume wa kizungu akidai hawana stress Kama wanaume wa kibongo, kasahau mwanae wa kwanza kazaa na mbongo! Mange ni kiumbe cha aina yake anahitaji banda lake siku ya sabasaba yani watu wawe wanapita tuu nakumuangalia.
Lol....huyu limbukeni tu.alipofika marekani...akajishau wee watu tunamchora tu.saa hivi na maisha yanavyozidi bana US lazima ajutee...na usiku atakua anakumbatia mito tu huku akisubiria dola 200 kwa mwezi za child support. ..kasindwa hata ku enroll college kabaki MBA.MBA marekani...tena kaipatia huko sijui wapi...
 
Yaani mange anapata shida wengine wanafurahia ona dunia inavyomcheka utaficha wapi sura yako mdomo umekuponzaa Dada kulia kwako furaha kwa wengine polee..
 
Hata vibabu hapati nakwambia...yaani ataishi maisha ya taabu.Hao wabongo ndo asahau.alijishau wanaume wa kibongo siwataki. ..akakimbilia wazungu...sasa wazungu wenyewe wameandika divorce.
Am sure angekuwa bongo angefika mbali ila ndo alijua nje ndo kufika pole yake ajipange arudi nyumbani sema kanyea kambi. Hafu alikua ana wa fool wadada kuwa na mzungu ni kufanikiwa
 
Yaani mange anapata shida wengine wanafurahia ona dunia inavyomcheka utaficha wapi sura yako mdomo umekuponzaa Dada kulia kwako furaha kwa wengine polee..

Yani ukiangalia anavyo watukanaga watu utasema labda katumwa au analipwa, anaweza kuacha kazi zake za siku nzima amtukane MTV halafu anatukana hata mama au baba za hao watu! Nikimkumbuka hapo tu namchukia Mara 1000
 
Ile blog yake alikua anachukulia kama weapon ya kuwajeruhi watu...leo hii inakuja kumaliza yeye mwenyewe.mtu anawatoto 3 24/7 yuko mtandaoni kuwaumiza watu hao watoto sijui aanawatunza saangapi.simjui ila ananiboa tu anavyogombana na kila mtu.lakini yote hii alitegemea akiolewa na mzungu mambo yatakua safi kumbe imekua vs.
 
[Diva Beyonce, post: 16631101, member: 213205"]Am sure angekuwa bongo angefika mbali ila ndo alijua nje ndo kufika pole yake ajipange arudi nyumbani sema kanyea kambi. Hafu alikua ana wa fool wadada kuwa na mzungu ni kufanikiwa[/QUOTE]

Angekuwa Bongo name discipline ndio angefika mbali, labda CCM wangemfikiria sasa nao anawanyea CHADEMA hawawezi mchukua kwa jinsi alivyo mdhalikisha Mh Lowassa. Yani huyu atafute kazi ajiajili na Bongo watampoteza Kama walivyotaka mpoteza.
 
[Diva Beyonce, post: 16631101, member: 213205"]Am sure angekuwa bongo angefika mbali ila ndo alijua nje ndo kufika pole yake ajipange arudi nyumbani sema kanyea kambi. Hafu alikua ana wa fool wadada kuwa na mzungu ni kufanikiwa
Aende tu wakampoteze US hapawezi.ataishia kwenye psychiatric hospitals tu.

Angekuwa Bongo name discipline ndio angefika mbali, labda CCM wangemfikiria sasa nao anawanyea CHADEMA hawawezi mchukua kwa jinsi alivyo mdhalikisha Mh Lowassa. Yani huyu atafute kazi ajiajili na Bongo watampoteza Kama walivyotaka mpoteza.[/QUOTE]
 
Aende tu wakampoteze US hapawezi.ataishia kwenye psychiatric hospitals tu.

Angekuwa Bongo name discipline ndio angefika mbali, labda CCM wangemfikiria sasa nao anawanyea CHADEMA hawawezi mchukua kwa jinsi alivyo mdhalikisha Mh Lowassa. Yani huyu atafute kazi ajiajili na Bongo watampoteza Kama walivyotaka mpoteza.
[/QUOTE]
Mbona wenzake wametoka kina shami wote hawatukanao. Huyu kupokelewa ngumu MTU gani hana kiasi na haaminiki si ccm si ukawa. Mitandao imemharibia future yake kwa kutaka kuonyesha watu umwamba.
 
Mbona wenzake wametoka kina shami wote hawatukanao. Huyu kupokelewa ngumu MTU gani hana kiasi na haaminiki si ccm si ukawa. Mitandao imemharibia future yake kwa kutaka kuonyesha watu umwamba.[/QUOTE]
Blog ile ndo chanzo...nadhani anajuta sasa. ..wenzake wote wamemdharau...
 
Alipotoka Dubai alifikia kwa Dr Mwele, Mwamvita akaanza kumbeba wanakwenda kwenye Voda Foundation Projects, aliona fursa akaanza kuchangisha kusaidia watoto yatima, kilichofuata ni mazungumzo baada ya habari. Akujikikita urafiki na wadada wa mujini, wakaanda Diamonds ar forever. Ushoga na Kiki ukakolea, akawa anakojozwa na Kelvin. Tetesi alipata mkopo kutoka Stanbic ndiyo ulimpa jeuri alipofika Marekani. Kwakweli Mange ni zinga la opportunist.
 
Back
Top Bottom