Hata vibabu hapati nakwambia...yaani ataishi maisha ya taabu.Hao wabongo ndo asahau.alijishau wanaume wa kibongo siwataki. ..akakimbilia wazungu...sasa wazungu wenyewe wameandika divorce.
Lol....huyu limbukeni tu.alipofika marekani...akajishau wee watu tunamchora tu.saa hivi na maisha yanavyozidi bana US lazima ajutee...na usiku atakua anakumbatia mito tu huku akisubiria dola 200 kwa mwezi za child support. ..kasindwa hata ku enroll college kabaki MBA.MBA marekani...tena kaipatia huko sijui wapi...Alikuwa anawatafutia wanawake wanaume wa kizungu akidai hawana stress Kama wanaume wa kibongo, kasahau mwanae wa kwanza kazaa na mbongo! Mange ni kiumbe cha aina yake anahitaji banda lake siku ya sabasaba yani watu wawe wanapita tuu nakumuangalia.
Na ningekua huko wanakofanyia ningeenda...au tupange yetu...kidding! !!!Yani anachukiwa mpaka watu wanashangilia eti wanapanga Mange divorce party hahahaa.
Na ningekua huko wanakofanyia ningeenda...au tupange yetu...kidding! !!!
Hahaaaa....Yani hapohapo ulipo kunywa tuna bill ntalipa! Party ni popote ulipo hahaa
Am sure angekuwa bongo angefika mbali ila ndo alijua nje ndo kufika pole yake ajipange arudi nyumbani sema kanyea kambi. Hafu alikua ana wa fool wadada kuwa na mzungu ni kufanikiwaHata vibabu hapati nakwambia...yaani ataishi maisha ya taabu.Hao wabongo ndo asahau.alijishau wanaume wa kibongo siwataki. ..akakimbilia wazungu...sasa wazungu wenyewe wameandika divorce.
Yaani mange anapata shida wengine wanafurahia ona dunia inavyomcheka utaficha wapi sura yako mdomo umekuponzaa Dada kulia kwako furaha kwa wengine polee..
Yaani anavyowahusudu hao wazungu....angejua unaweza kuolewa na mbongo ukaenjoy maisha kinoma...big up to our brothers out there. ..Am sure angekuwa bongo angefika mbali ila ndo alijua nje ndo kufika pole yake ajipange arudi nyumbani sema kanyea kambi. Hafu alikua ana wa fool wadada kuwa na mzungu ni kufanikiwa
Aende tu wakampoteze US hapawezi.ataishia kwenye psychiatric hospitals tu.[Diva Beyonce, post: 16631101, member: 213205"]Am sure angekuwa bongo angefika mbali ila ndo alijua nje ndo kufika pole yake ajipange arudi nyumbani sema kanyea kambi. Hafu alikua ana wa fool wadada kuwa na mzungu ni kufanikiwa
Huyo demu miyeyusho sana,anaona kuishi mamtoni dili sana.Yani anachukiwa mpaka watu wanashangilia eti wanapanga Mange divorce party hahahaa.
[/QUOTE]Aende tu wakampoteze US hapawezi.ataishia kwenye psychiatric hospitals tu.
Angekuwa Bongo name discipline ndio angefika mbali, labda CCM wangemfikiria sasa nao anawanyea CHADEMA hawawezi mchukua kwa jinsi alivyo mdhalikisha Mh Lowassa. Yani huyu atafute kazi ajiajili na Bongo watampoteza Kama walivyotaka mpoteza.
Ulimbukeni tu ndo unamsumbua...hakuna jipyaaaHuyo demu miyeyusho sana,anaona kuishi mamtoni dili sana.
Kwakweli le mutuz ni mhanga namba moja.Ulimbukeni tu ndo unamsumbua...hakuna jipyaaa