Mjini sihami pa tamu bwana, watu wana mbinu za kuishi.Muongo kama Mange tu huyo mdingi, Waarabu wa Pemba, nimeishi marekani miaka 4 tu na sikurudi na $500. Tazama posti ya chakula alipata network ya kurusha kwa mfanyakazi akakosa ya kurusha ye mwenyewe lkn location ikabaki alikokuwa, pia sifa karatu zikamfanya aingie kichwa kichwa kwa lembebeZ ambaye hamfahamu, kwakupenda mtelezo akachukuliwa na kuzungushwa na mtu tu, baada ya kurukwa ndio anarudi kupiga mayowe wanawake hawaeleweki, Liar Liar and Lies!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwakweli huwezi kujipanga urudi na US$ 500 mfukoni.
hahha haa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
cc MSAGA SUMU
Basi abaki na hilo tangazo lake la kazi. Mie nataka nilipiwe na NSSF na mkataba wa maana mshahara tarehe 25. W. J. Malecela hili tangazo lako liko certified na wizara ya kazi? mi nishatuma e mail ya maombi.Shoga nilisikia le Mutuz huwa halipi mshahara.
Kwani hukusikia ile kesi yake na aliyemuajiri kama Secretary?
Nasikia hakumlipa mshahara kwa miezi mitatu!
Mwezi mchang/bi polarUkifuatilia utagundua wanaomsupport mange ni wale wageni kwenye hizi social media husani instagram. Lkn huyu mtu sidhani kama kichwa yake ipo vizuri, baya na la hatari zaidi ni ile hazina kubwa ya maadui aliyojitengenezea.
Kuna audio clip alizipost akiitukana selikali wakiwemo makamba, nape, kinana na jpm, yani ni hatari kwa mtu anayejielew
Of course kwa mange lazina aumie
Ila namsikitikia nyari....
Mwanaume hakatai kishimo aisew....tena Baadhi ya wanaume wanapoumizwa wanatafuta pa kutolea stress....akishatulia anasepa.
Ila wanawake hatujifunzi.....tunajiona tumekomesha mke....kumbe full kutumika... (ingawa utanu wanepata wote [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] )
ExactlyStress ndo zimemuweka baba Kenzo kwa Nyari, pia Nyari anataka kumkomoa Mange. Mapenzi ya hivi huwa hayafikagi mbali. At any cost, dont date out of revenge ili kumuumiza mtu. Mwisho wa siku waweza jikuta wewe ndo umeumia zaidi kuliko huyo uliyetaka kumuumiza. There is no way Lance can marry Nyari hata kama wame divorce na Mange. He is with her ili kumaliza stress but there is no love between the two. Only time will tell .
Stress ndo zimemuweka baba Kenzo kwa Nyari, pia Nyari anataka kumkomoa Mange. Mapenzi ya hivi huwa hayafikagi mbali. At any cost, dont date out of revenge ili kumuumiza mtu. Mwisho wa siku waweza jikuta wewe ndo umeumia zaidi kuliko huyo uliyetaka kumuumiza. There is no way Lance can marry Nyari hata kama wame divorce na Mange. He is with her ili kumaliza stress but there is no love between the two. Only time will tell .
Lance hayupo IGExactly
Ila nashangaa kwa nini wanawake hawajisogezi.....
Unakuwa na ex wa mwenzio ili kumkomoa as if nyari anapofirigiswa uchovu unaenda kwa Mange.
Sasa usishangae wanawake wa namna hii wakafall halafu mwanaume moyo wake ukipona anaenda kuipoa mwingine....yeye ataishia kutumika.
Fun thing hata IG ya lance hamposti hata mara moja
Usiniambie hata hizi picha za hivi karibuni anapost Mange...basi Mange hatariLance hayupo IG
Ile account inamilikiwa na mange
Lance hayupo IG
Ile account inamilikiwa na mange
Mange ndio anatumia hiyo akaunti? Mbona picha hizi sehemu sawa na nguo sawaUsiniambie hata hizi picha za hivi karibuni anapost Mange...basi Mange hatari
1. Aanaweza kuwa attention seekerHivi Mange anajiamini nini kupambana na serikali mtandaoni?
Anapigania democrasia ya Tanzania ilindwe na kuzingatiwaHivi Mange anajiamini nini kupambana na serikali mtandaoni?
kweli lance hawezi kuoa tena black amekomaStress ndo zimemuweka baba Kenzo kwa Nyari, pia Nyari anataka kumkomoa Mange. Mapenzi ya hivi huwa hayafikagi mbali. At any cost, dont date out of revenge ili kumuumiza mtu. Mwisho wa siku waweza jikuta wewe ndo umeumia zaidi kuliko huyo uliyetaka kumuumiza. There is no way Lance can marry Nyari hata kama wame divorce na Mange. He is with her ili kumaliza stress but there is no love between the two. Only time will tell .
yani mi naisubiri hio siku bibi kigagula aswekwe ndani huko huko LA maana anapotosha watu huku, then akose custody ya watoto wakakae na lance am sure baada ya hapo akili itamkaa vizuri.....Hivi Mange anajiamini nini kupambana na serikali mtandaoni?