Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

yani mi naisubiri hio siku bibi kigagula aswekwe ndani huko huko LA maana anapotosha watu huku, then akose custody ya watoto wakakae na lance am sure baada ya hapo akili itamkaa vizuri.....
Hahaha
 
Ubaya na hatari ya kufugwa,bwana akiamua kukupeleka machinjioni huna ubishi
 
N

Ndio maana nimemuuliza huyo mdada hiyo acc ni ya lance na anaiendesha lance mwenyewe.Ila Lance fala acha kabisa
Seems like kichaa cha ndoa kinamsumbua.... .

Wanandoa wote wakiachana wangekuwa wanakimbikia kwa adui za wenza wao ingekuwa kiboko....

Ila it seems kama ametulia kwasasa.... au anapanga sheria aje kutupa la kusemea..... (this time sijui ndio ataenda finland kupiga picha na kichwapanzi????)
 
N

Ndio maana nimemuuliza huyo mdada hiyo acc ni ya lance na anaiendesha lance mwenyewe.Ila Lance fala acha kabisa
May be ana password coz alikua anamtusi Linda bedui na account hiyo tena kwa kiswahili
 
May be ana password coz alikua anamtusi Linda bedui na account hiyo tena kwa kiswahili
Duuuuuh!Ila Mange aliwahi kusema kuwa kuna watu walikuwa wanamletea mumewe umbea kupitia hiyo a/c halafu anawajibu mwenyewe (Mange)
 
Lance toka aachane Na Mange kawaida Rough mbayaa mudevu kama pango la Osama..Mange knows how to take care if husband sio Huyo Nyari...Hata ivyo Mange Tayari ana Kifaa kingine hatari..Mzungu wa Maana Bilionea.Akina Nifah muandae kuficha USO zenuu Maana mlishupaliaaa kama Kuachwa Dhambi..mwenyewe Nifah unataka kunambia huna TALAKA tokomea wewe
 
Seems like kichaa cha ndoa kinamsumbua.... .

Wanandoa wote wakiachana wangekuwa wanakimbikia kwa adui za wenza wao ingekuwa kiboko....

Ila it seems kama ametulia kwasasa.... au anapanga sheria aje kutupa la kusemea..... (this time sijui ndio ataenda finland kupiga picha na kichwapanzi????)
Talaka isikie tu...ila inaonekana Mange amemuumiza sana Lance mtizame kwa jicho la tatu utagundua kitu yuko kama boya hata mmoja wa mabwana walotoka na Mange akimuambia amuoe anaweza kukubali ili tu arudishe maumivu kwa mkewe kumbe limke lenyewe halijali
 
Talaka isikie tu...ila inaonekana Mange amemuumiza sana Lance mtizame kwa jicho la tatu utagundua kitu yuko kama boya hata mmoja wa mabwana walotoka na Mange akimuambia amuoe anaweza kukubali ili tu arudishe maumivu kwa mkewe kumbe limke lenyewe halijali
Yap....

Nahisi pia Mange amemuumiza lance. ....
 
kwani ukisema kichas tu si inatosha na ujumbe wako utakuwa umefika, kwani lazima uatack kabila lake.
 
Lance toka aachane Na Mange kawaida Rough mbayaa mudevu kama pango la Osama..Mange knows how to take care if husband sio Huyo Nyari...Hata ivyo Mange Tayari ana Kifaa kingine hatari..Mzungu wa Maana Bilionea.Akina Nifah muandae kuficha USO zenuu Maana mlishupaliaaa kama Kuachwa Dhambi..mwenyewe Nifah unataka kunambia huna TALAKA tokomea wewe

Mama kwani vepeee?
Huyo bilionea na atuoneshe tu kwani kitu gani bwana?
Anamficha mwanaume asijenyang'anywa custody ya watoto akakosa 20% za mshahara wa Lance kila mwezi.
Kama bilionea kweli kwanini asijiachie nae hadharani?
20% ya mshahara wa Lance imshinde bilionea?
Acheni utani nyie.
 
Mbutananga kaniacha hoi alivosherehekea talaka ya lekibibiz c kwa vdeo zile.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uwiiiiiii jana nimecheka usiku kucha!
Nilikuwa sijaona zile videos...jana usiku ndio nimeziona aiseee.
Nilicheka hadi nikagalagala...
Eti adui yako akiachwa usimtukane sherehekea tu.
Yale maneno aliyokuwa 'akiyachomekea'kwenye Ndi ndi ndi vepeee?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shkamoo Mbutananga popote ulipo,you made my night. [emoji8][emoji8][emoji8]
 
Back
Top Bottom