Sista
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 3,208
- 1,033
Hahahayani mi naisubiri hio siku bibi kigagula aswekwe ndani huko huko LA maana anapotosha watu huku, then akose custody ya watoto wakakae na lance am sure baada ya hapo akili itamkaa vizuri.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahayani mi naisubiri hio siku bibi kigagula aswekwe ndani huko huko LA maana anapotosha watu huku, then akose custody ya watoto wakakae na lance am sure baada ya hapo akili itamkaa vizuri.....
Ndio maana nimemuuliza huyo mdada hiyo acc ni ya lance na anaiendesha lance mwenyewe.Ila Lance fala acha kabisaMange ndio anatumia hiyo akaunti? Mbona picha hizi sehemu sawa na nguo sawaView attachment 377249View attachment 377251
Picha ya juu nimeitoa kwenye akaunti ya zarina na ya pchini akaunti ya lance
Seems like kichaa cha ndoa kinamsumbua.... .N
Ndio maana nimemuuliza huyo mdada hiyo acc ni ya lance na anaiendesha lance mwenyewe.Ila Lance fala acha kabisa
May be ana password coz alikua anamtusi Linda bedui na account hiyo tena kwa kiswahiliN
Ndio maana nimemuuliza huyo mdada hiyo acc ni ya lance na anaiendesha lance mwenyewe.Ila Lance fala acha kabisa
Kuna kipindi Linda alikua anamtag Lance aje aone uchafu wa mkewe ndio Mange akawa anamjibu tena kwa kiswahili na account hiyo hiyoUsiniambie hata hizi picha za hivi karibuni anapost Mange...basi Mange hatari
Talaka isikie tu...ila inaonekana Mange amemuumiza sana Lance mtizame kwa jicho la tatu utagundua kitu yuko kama boya hata mmoja wa mabwana walotoka na Mange akimuambia amuoe anaweza kukubali ili tu arudishe maumivu kwa mkewe kumbe limke lenyewe halijaliSeems like kichaa cha ndoa kinamsumbua.... .
Wanandoa wote wakiachana wangekuwa wanakimbikia kwa adui za wenza wao ingekuwa kiboko....
Ila it seems kama ametulia kwasasa.... au anapanga sheria aje kutupa la kusemea..... (this time sijui ndio ataenda finland kupiga picha na kichwapanzi????)
Yap....Talaka isikie tu...ila inaonekana Mange amemuumiza sana Lance mtizame kwa jicho la tatu utagundua kitu yuko kama boya hata mmoja wa mabwana walotoka na Mange akimuambia amuoe anaweza kukubali ili tu arudishe maumivu kwa mkewe kumbe limke lenyewe halijali
Lance toka aachane Na Mange kawaida Rough mbayaa mudevu kama pango la Osama..Mange knows how to take care if husband sio Huyo Nyari...Hata ivyo Mange Tayari ana Kifaa kingine hatari..Mzungu wa Maana Bilionea.Akina Nifah muandae kuficha USO zenuu Maana mlishupaliaaa kama Kuachwa Dhambi..mwenyewe Nifah unataka kunambia huna TALAKA tokomea wewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbutananga kaniacha hoi alivosherehekea talaka ya lekibibiz c kwa vdeo zile.