Mimi siku KP akirusha bomu la Hiroshima huwa nalog in kwa fekero nachekeleaje?kp kakublock kwa nini?
mimi huwa sicomment maana mange ataniblock mimi mtazamaji tu huku na kule
mimi humu kwenye mitandao ni mifekero tupu hata whatsup linamba langu ni fekeroMimi siku KP akirusha bomu la Hiroshima huwa nalog in kwa fekero nachekeleaje?
Tena huwa nachati na KP DM sana kwa hilo fekero [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Mwenzangu kucomment kwa a/c yako ya ukweli ni kujitafutia mabalaa tu.
eti anajifanya kawaachia polisi wa finland .mange ana moyo huo toka lini anamchamba hadi magufuli.angemchamba hyo emma na ukooo wake wote mpaka naona kaona sio yeye na hyo ema nadhani kampiga biti kali naona nae anajiwezamange anasema anazuga tu hana lolote
yaani mimi mpaka nimemuonea mange huruma yaaniMzungu kapata kazi tena Dubai anaenda kufaidi mzimbabwe pole yake mange tungekoma na mashauzi ya dubai kama kipindi kile
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Miss sikuweziiiiii!mimi humu kwenye mitandao ni mifekero tupu hata whatsup linamba langu ni fekero
nina simu mbili
ya ukweli kuna wazazi ndugu na watu wa ofsini basi
wengine wooote wanakula fekero
Mwenzangu tungekomaje?Jamani kipindi cha Lance mahaba yalivyokuwa motomoto ilikuwa balaa.Mzungu kapata kazi tena Dubai anaenda kufaidi mzimbabwe pole yake mange tungekoma na mashauzi ya dubai kama kipindi kile
Kachanganyikiwa yule bibi anajifanya kapata danga la kizungu ameambiwa aishi kimadame kuanzia mwezi huu asipost maumbea ngoja tuone kama ataweza kutuektiayaani mimi mpaka nimemuonea mange huruma yaani
Na Lv Nifah umesahau [emoji23] [emoji23]Mwenzangu tungekomaje?Jamani kipindi cha Lance mahaba yalivyokuwa motomoto ilikuwa balaa.
Kila siku lunch/dinner mahotelini.
Mapicha ndio usisemeeeee.
Hosp aliyojifungulia Keanu ndiyo aliyojifungulia Kim Kardashian uwiiiiii!
Mimi nasubiria bomu la Hiroshima kesho,umesahau KP alisema nini kuhusu 3rd Sept?Kachanganyikiwa yule bibi anajifanya kapata danga la kizungu ameambiwa aishi kimadame kuanzia mwezi huu asipost maumbea ngoja tuone kama ataweza kutuektia
ile lv alisema kainunua million 25 za kibongo ilikuwa mwaka 2012 au 2011Uwiiiiii na LV pembeni [emoji23][emoji23][emoji23]
LV akajidai ataigawa hadi leo anazunguka nayo [emoji23][emoji23][emoji23]
unajua whatsup saa zingine unakuwa upo kwenye magroup ya kipuuzi watu wanakupigia simu ovyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Miss sikuweziiiiii!
Umenifundisha kitu,sijui niwe na namba 2 za WhatsApp na mimi?
Hiyo 1 niifanye ni ya umbea tu.
Nyingine (hii ya sasa) ndio ya watu wa umuhimu kama family n.k
Ngoja nitafakari.
Uwiiiiiii jamani jamani!ile lv alisema kainunua million 25 za kibongo ilikuwa mwaka 2012 au 2011
si angenunua nyumba bongo aishi?
Tusubilie kwakweli hilo bomu ila me sa nyngne namuonea huruma KP akianza kushusha mashambulizi yake ila mange kapata kiboko yakeMimi nasubiria bomu la Hiroshima kesho,umesahau KP alisema nini kuhusu 3rd Sept?
Wenye roho nyepesi wameaswa wanunue pampas kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kamuachia mzungu madeni mpaka mvunguni? mange jamani si angejifungulia tu nyumbani jamani? eti millioni 16 ? hivi ni mzima kweli unaenda kujifungua kwa bill hyo ?Mwenzangu tungekomaje?Jamani kipindi cha Lance mahaba yalivyokuwa motomoto ilikuwa balaa.
Kila siku lunch/dinner mahotelini.
Mapicha ndio usisemeeeee.
Hosp aliyojifungulia Keanu ndiyo aliyojifungulia Kim Kardashian uwiiiiii!