Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
- Thread starter
- #1,001
Mimi siku KP akirusha bomu la Hiroshima huwa nalog in kwa fekero nachekeleaje?kp kakublock kwa nini?
mimi huwa sicomment maana mange ataniblock mimi mtazamaji tu huku na kule
Tena huwa nachati na KP DM sana kwa hilo fekero [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Mwenzangu kucomment kwa a/c yako ya ukweli ni kujitafutia mabalaa tu.