Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
alisema ana picha za nani?Nimekumbuka Mange alivyojidai ana picha zako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe huna hata a/c fb?
Za Nifah.alisema ana picha za nani?
[emoji23] [emoji23] mm kwenye og niliblockiwa na lulu nilicomment kwa tzshaderoom nikala block kwenye fekero ndo lemutuz ninavyompenda yule babu ata sijui nilimchamba niniMimi nimewahi kublockiwa na watu wawili tu.
Tiwa Savage na ChaggaBaby.
Tiwa hiyo siku alivaa hovyoooo,nikamchamba mwenzangu,nilimuambia "You look like an old woman"
Uwiiiii dakika 5 mbali,hadi leo sijui chochote kuhusu Tiwa.
Chagga nilicomment kwa usipojipanga "Chagga bibi" nikashangaa block tayari.
Ukikomment sehemu vibaya kuhusu wao huwa wanasoma na wanakublock.
Jokate tu ndio nilimchamba hajapendeza na hakuniblock.
Ntafungua mama angufungua mama maprosoo2016@yahoo.com
Hahahhh anafatiliamimi nilikoment kwa kp mange akaniblock kumbe huwa anasoma maskini nilidhani hajali
Hahahahh mange anatapatapaNimekumbuka Mange alivyojidai ana picha zako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe huna hata a/c fb?
Wewe unaambiwa muda anaospend on line hata angefanya kazi ya 1$ per hour angekuwa tajiriππHahahhh anafatilia
Yaan fekero yangu nahisi ina email mojawapo ya ukweli kati ya nilizo nazoKwanza IG hawakubali kutumia e-mail 1 kufungulia a/c zaidi ya 1.
Pili kama unafungua fekero ni bora utumie fekero mwanzo mwisho.
Si unajua tena just in case?
Kwahyo KP ni kweli ni uyo emma kama anavyosema mangeIssue yenyewe iko hivi: Katika ugomvi wa Mange na Le Mutuz yote haya ni katika harakati za kurushiana makombora. Aliye kuwa mke wa Le Mutuz anae cousin yake anaeitwa Anita Magehema, Anita na huyo EmmaNkonoki walikulia chuo kikuu wote ni watoto wa maprofesa. Sasa Anita aligombana na Emma basi ndiyo vyote vimeingia kwenye ugomvi. Huku kugombana na kila mtu huku, hata adui yako humjui ni nani.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]ahahaaa
email unafungua mama mdebwedo2016@gmail.com
ig acount unajiita debwelicious _baby
maisha yanasonga
mbona hajamuanika? mange tatizo fix sana ila tuwe nae makini maana kichaa cha mzungu kurudi dubai ataua mtu wallahZa Nifah.
Kila la kheri tuombee na sisingojeni nikaswali jamani Mola aniondolee adhabu ijumaa hii
Tuombeeni [emoji134] [emoji134]Uwiiiiiii kumbe leo ni Ijumaa?Umbea utaniua.
Hebu mie...twende zetu Miss.
Umbea upo tu.
yaani mimi jina nalotumia ig acha tu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
hivi ile mikorogo ya insta ni ya ukweli jamani nataka niwake kiduchuWewe unaambiwa muda anaospend on line hata angefanya kazi ya 1$ per hour angekuwa tajiriππ
hivi ile mikorogo ya insta ni ya ukweli jamani nataka niwake kiduchuTuombeeni [emoji134] [emoji134]
Uwiii tarehe mbili September imefikaaaaa....... Ni saa nane usiku hapa Los Angeles.........Wewe unaambiwa muda anaospend on line hata angefanya kazi ya 1$ per hour angekuwa tajiriππ
Wewe hukukumbwa na sakata la obagi?hivi ile mikorogo ya insta ni ya ukweli jamani nataka niwake kiduchu
hapana hebu nishauri nitumie nini?Wewe hukukumbwa na sakata la obagi?
Usijaribuuu bola ununue vitu uchanganye mwnywe hujui wanavyochanganyia wanaweka jiki, omohivi ile mikorogo ya insta ni ya ukweli jamani nataka niwake kiduchu