anashindwa nini huyo na nilishampa hata email ya kutumia yaani nikikutajia id yangu ya insta utazimia hivi unakumbuka ila ya da linda ilifumaniwa ya vuzi pori? ahahaa
[emoji28][emoji28][emoji28]nimeona aisee si kwa royal birthday ileahahaa thanks umeona royal birthday kwa mange?
thanks dearMimi nakupendaaaa
Huwa unanichekesha sana.
You such a darling,uko real...
sasa tusubirie bomu la kp[emoji28][emoji28][emoji28]nimeona aisee si kwa royal birthday ile
yaaah,!its herKweli humjui Mange.
Alichokiandika hapo ndivyo alivyokuwa akiandika kwa Insta page yake.
ndo yeyee!!Mmh Nifah au mtu aliingia kwa jina lake mbona sio mwandiko wa mange
Sijaonaaaaa hebu tuletee huku pls.thanks dear
back to umbealicious umeona royal birthday ya kenzo?
hivi mange lazima apost kila kitu jamani?
mbona anapenda kuumizwa moyo? nasubiria kp aje atoe ufafanuzi wa ile birhday maana?????????
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji8] [emoji8] [emoji8]Nina vyanzo vyangu 'vizito' vya habari.
Hadi ukiona nimeleta habari humu ujue nina uhakika na nikiandikacho.
DAIMA HUWA SIDANGANYI!
ngoja namie niendeNgoja nijifekerolishe halafu nirudi kwa kp, lemutuz na mange manake wote wameniblock
nimekugawanyaanashindwa nini huyo na nilishampa hata email ya kutumia yaani nikikutajia id yangu ya insta utazimia hivi unakumbuka ila ya da linda ilifumaniwa ya vuzi pori? ahahaa
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]karibu katika ulimwengu wa mafekero
nimeonaaaahahaa thanks umeona royal birthday kwa mange?
kiboko ya mangeKP ndo nani huko insta ?
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji15][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu niPM hiyo ID yako nicheke hadi nizimie mie.
Mimi nakupendaaaa
Huwa unanichekesha sana.
You such a darling,uko real...
yaaani!siwawesiWooooow asante sweetheart.
Love you way back much moreeee [emoji9][emoji9][emoji9]
mmhhhh!![emoji28][emoji28][emoji28]nimeona aisee si kwa royal birthday ile
ahahaaaa nifah mbavu zangu mieSijaonaaaaa hebu tuletee huku pls.
KP ataichambua utasikia gharama yake haifiki hata laki [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kaweka mavideo tu hayana mvuto hata[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wewe subiri tu utaniambia mimi.
Tuletee basi ubuyu wa royal birthday bwanaaa,nimechoka sitaki kuingia insta.
si ujipikie shogaa mavyakula ya kitaa utakufa bureWaiiiiiiii ngoja nikatafute dinner mie nikisubiria bomu la KP...
Tulikuwa na siku njema guys,nimefurahi sana.