Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

anashindwa nini huyo na nilishampa hata email ya kutumia yaani nikikutajia id yangu ya insta utazimia hivi unakumbuka ila ya da linda ilifumaniwa ya vuzi pori? ahahaa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu niPM hiyo ID yako nicheke hadi nizimie mie.
 
ahahaa you are a nice person too niffah lets enjoy the life my dear!
thanks for compliment ila najua wengi nawaboa humu wananichukia kweli
Mimi nakupendaaaa
Huwa unanichekesha sana.
You such a darling,uko real...
 
Mimi nakupendaaaa
Huwa unanichekesha sana.
You such a darling,uko real...
thanks dear
back to umbealicious umeona royal birthday ya kenzo?
hivi mange lazima apost kila kitu jamani?
mbona anapenda kuumizwa moyo? nasubiria kp aje atoe ufafanuzi wa ile birhday maana?????????
 
thanks dear
back to umbealicious umeona royal birthday ya kenzo?
hivi mange lazima apost kila kitu jamani?
mbona anapenda kuumizwa moyo? nasubiria kp aje atoe ufafanuzi wa ile birhday maana?????????
Sijaonaaaaa hebu tuletee huku pls.
KP ataichambua utasikia gharama yake haifiki hata laki [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nina vyanzo vyangu 'vizito' vya habari.
Hadi ukiona nimeleta habari humu ujue nina uhakika na nikiandikacho.
DAIMA HUWA SIDANGANYI!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji8] [emoji8] [emoji8]
Ngoja nijifekerolishe halafu nirudi kwa kp, lemutuz na mange manake wote wameniblock
ngoja namie niende
anashindwa nini huyo na nilishampa hata email ya kutumia yaani nikikutajia id yangu ya insta utazimia hivi unakumbuka ila ya da linda ilifumaniwa ya vuzi pori? ahahaa
nimekugawanya
karibu katika ulimwengu wa mafekero
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
ahahaa thanks umeona royal birthday kwa mange?
nimeonaaa
KP ndo nani huko insta ?
kiboko ya mange
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu niPM hiyo ID yako nicheke hadi nizimie mie.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji15]
Mimi nakupendaaaa
Huwa unanichekesha sana.
You such a darling,uko real...

Wooooow asante sweetheart.
Love you way back much moreeee [emoji9][emoji9][emoji9]
yaaani!siwawesi
[emoji28][emoji28][emoji28]nimeona aisee si kwa royal birthday ile
mmhhhh!!
 
ahahaaaa nifah mbavu zangu mie
ila kweli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wewe subiri tu utaniambia mimi.
Tuletee basi ubuyu wa royal birthday bwanaaa,nimechoka sitaki kuingia insta.
 
Hebu tuwe wa kweli nyie wadada , hivi kwa id zenu za ukweli na picha zenu halisi kuna anayeweza kuchambana na Mange pale insta? ...bado nampa mange maksi maana anatumia account halisi na bado anawatoa watu nishai balaa!! .....
 
Ila Mange ana mashauzi asee...hivi kuzaa na mzungu tule tutoto tuwili anajiona top of top...masikini mi namuoneaga huruma tu huyo Bhoke utadhani sio mwanae, yaani kageuka unemployed photographer!?![emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
....mafans wake Leo wamempa live kuwa wanamunfollow, coz walikuwa wanafurika kwa ajili ya udaku tu, asa Leo anaambulia vicomment 20- 25... Yaani ni no mvutoo asee
 
Back
Top Bottom