Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] una akiliiiii
Kweli naona hii ndio trick ya Mange sasa hivi.
Atadate nao hata 10,tutajuaje?

Period
ahahaa kwa kp kumekucha wai seat shogaa
ila mimi naenda kariakoo kununua chupi na madiko mengine naomba uniwekee umbea wote pls
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] una akiliiiii
Kweli naona hii ndio trick ya Mange sasa hivi.
Atadate nao hata 10,tutajuaje?

Period
Hivi nifah umpate Bilionea umfiche?!... Ushaonaga dunia ya wapi???....teh teh aendelee tu kuwazuga hao wanafunzi wa chuo...
 
ahahaa kwa kp kumekucha wai seat shogaa
ila mimi naenda kariakoo kununua chupi na madiko mengine naomba uniwekee umbea wote pls
Uwiiiiiii kwaherini jamani,tutaonana baadaeeeee
Naenda zangu Insta mie
[emoji126][emoji126][emoji126]

Period
 
Hivi nifah umpate Bilionea umfiche?!... Ushaonaga dunia ya wapi???....teh teh aendelee tu kuwazuga hao wanafunzi wa chuo...
Anawaokotaga sana hao wanafunzi wake.
Bilionea hajifichi...tungeshaona hata maisha kubadilika acha tu kumuonesha.
Maisha yake yangeshatuonesha yupo na bilionea [emoji23][emoji23][emoji23]

Period
 
Anawaokotaga sana hao wanafunzi wake.
Bilionea hajifichi...tungeshaona hata maisha kubadilika acha tu kumuonesha.
Maisha yake yangeshatuonesha yupo na bilionea [emoji23][emoji23][emoji23]

Period
nasikia leo baba kenzo ana party ya birthday ya kenzo nyari yupo na wakwe zake
dada yetu kaambiwa nae aende na muzee ya rolex kama vepee
 
Anawaokotaga sana hao wanafunzi wake.
Bilionea hajifichi...tungeshaona hata maisha kubadilika acha tu kumuonesha.
Maisha yake yangeshatuonesha yupo na bilionea [emoji23][emoji23][emoji23]

Period
bilionere angetoa hata hela ya keki jamani?
ujue mimi mange nampenda kiaina kwanini kachagua kuishi vile? au ana tatizo?
mimi wanaoniuzi ni marafiki zake wanashindwa kumshauri jamani
ndo maana mimi nifah sina marafiki wa kike wanawake sie wanafiki sana hata kama unakosea watu hawakuambii watu wanafurahia anguko lako.yaani mimi rafiki yangu ni boss wangu siku hizi ni mzee????? ila yule mzee katembea dunia nzima ni mjanja wa maisha balaa ananishauri sana yaani sio mchoyo .najua mipaka yangu kwake ila yaani kuna mtu anakuwa mtu kwako nifah mpaka unapiga goti kumshukuru Mungu kwa ajili yake unajua.
 
nasikia leo baba kenzo ana party ya birthday ya kenzo nyari yupo na wakwe zake
dada yetu kaambiwa nae aende na muzee ya rolex kama vepee
Heheheeee kumbe ndicho KP anachoshangilia?
Can't wait mapichapicha ya birthday Nyari akiwemo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

KP anazingua bwana,mara anasema bomu atawapa watu wake WhatsApp sijui nini.
Mambo gani sasa?Au anataka kusanda kwa Mange nini?
Atuwekee vitu hadharani watu tuburudike [emoji39][emoji39][emoji39]

Period
 
Hebu tuwe wa kweli nyie wadada , hivi kwa id zenu za ukweli na picha zenu halisi kuna anayeweza kuchambana na Mange pale insta? ...bado nampa mange maksi maana anatumia account halisi na bado anawatoa watu nishai balaa!! .....
Eboo! Hivi kuchambana na watu imekuwa sifa? [emoji28] Yani why revealing your real identity katika issue za kiboya uweke Usalama wako rehani, na familia yako? Pale Mange hana kazi wala ndoa! Mpaka tunapoandika hapa familia yake imemnunia kwa vile amewasababishia kutukanwa na kuchafuliwa! Acha wajina kama yeye waendelee. Pale alipo biashara chaliii, ndoa chaliii, marafiki chaliii, Dr. Mwele chaliii[emoji23] Yani ushushe Heshima yako kisa ujinga? Waache watu wajifiche na wampe radha ya utamu wa sumu yake aliyotengeneza! Watu wengi wanaotumia fake ID ni kwa ajili ya kulinda maslahi ya kazi zao, familia zao, biashara au mahusiano wanayoyathamini kuliko Huo utumbo wake. Sasa yeye ana maisha yeyote ukiachana na mtandao??
 
bilionere angetoa hata hela ya keki jamani?
ujue mimi mange nampenda kiaina kwanini kachagua kuishi vile? au ana tatizo?
mimi wanaoniuzi ni marafiki zake wanashindwa kumshauri jamani
ndo maana mimi nifah sina marafiki wa kike wanawake sie wanafiki sana hata kama unakosea watu hawakuambii watu wanafurahia anguko lako.yaani mimi rafiki yangu ni boss wangu siku hizi ni mzee????? ila yule mzee katembea dunia nzima ni mjanja wa maisha balaa ananishauri sana yaani sio mchoyo .najua mipaka yangu kwake ila yaani kuna mtu anakuwa mtu kwako nifah mpaka unapiga goti kumshukuru Mungu kwa ajili yake unajua.

Mange ana rafiki gani?kila rafiki kagombana nae.
Kabaki yule dada mmoja tu wa hukohuko Marekani sijui nani yule...
Ila hata kwa kumsoma tu Mange ni mbishi, anaonekana hashauriki yule.
Muache aaibike,kawaaibisha wengi ni zamu yake sasa.

Yeah,najua darling...najua.
Endelea kumuomba Mungu amuweke Mzee wako In Shaa Allah.

Period
 
Eboo! Hivi kuchambana na watu imekuwa sifa? [emoji28] Yani why revealing your real identity katika issue za kiboya uweke Usalama wako rehani, na familia yako? Pale Mange hana kazi wala ndoa! Mpaka tunapoandika hapa familia yake imemnunia kwa vile amewasababishia kutukanwa na kuchafuliwa! Acha wajina kama yeye waendelee. Pale alipo biashara chaliii, ndoa chaliii, marafiki chaliii, Dr. Mwele chaliii[emoji23] Yani ushushe Heshima yako kisa ujinga? Waache watu wajifiche na wampe radha ya utamu wa sumu yake aliyotengeneza! Watu wengi wanaotumia fake ID ni kwa ajili ya kulinda maslahi ya kazi zao, familia zao, biashara au mahusiano wanayoyathamini kuliko Huo utumbo wake. Sasa yeye ana maisha yeyote ukiachana na mtandao??
hana shogaa ukiona ile birthday ya mtoto jana saa moja asubuhi loh hana rafiki hana jirani hana yoyote mi maisha yale siwezi kwa kweli
 
Eboo! Hivi kuchambana na watu imekuwa sifa? [emoji28] Yani why revealing your real identity katika issue za kiboya uweke Usalama wako rehani, na familia yako? Pale Mange hana kazi wala ndoa! Mpaka tunapoandika hapa familia yake imemnunia kwa vile amewasababishia kutukanwa na kuchafuliwa! Acha wajina kama yeye waendelee. Pale alipo biashara chaliii, ndoa chaliii, marafiki chaliii, Dr. Mwele chaliii[emoji23] Yani ushushe Heshima yako kisa ujinga? Waache watu wajifiche na wampe radha ya utamu wa sumu yake aliyotengeneza! Watu wengi wanaotumia fake ID ni kwa ajili ya kulinda maslahi ya kazi zao, familia zao, biashara au mahusiano wanayoyathamini kuliko Huo utumbo wake. Sasa yeye ana maisha yeyote ukiachana na mtandao??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uwiiiii umerudije kwa kishindo?
Sio kwa kichambo hicho mama [emoji119][emoji119][emoji119].

Umeongea points za maana sana.Wengine tunatumia fake ID hizi kwa manufaa makubwa sana.
Sipatii picha kama familia yangu wangejua mimi ndio Nifah chaumbea ingekuwaje!
Achilia mbali hilo,kama tungekuwa tunatumia majina yetu kama Mange tungeweka wapi nyuso zetu ktk Jamii zilizotuzunguka?
Huyo Mange ana heshima gani popote atakapotia mguu hivi sasa tofauti na kuviziwa kila kona apewe kichapo?
No way,bora tuendelee tu kujificha nyuma ya fake ID hizi kwa maslahi mapana katika jamii zetu.

BTW...I miss you dear,much [emoji22][emoji22]

Period
 
hana shogaa ukiona ile birthday ya mtoto jana saa moja asubuhi loh hana rafiki hana jirani hana yoyote mi maisha yale siwezi kwa kweli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umesahau dada Zenat alimuambiaje?
Alisema Mange ni kama maiti. Hana rafiki wala jirani.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umesahau dada Zenat alimuambiaje?
Alisema Mange ni kama maiti. Hana rafiki wala jirani.
[emoji23][emoji23][emoji23]
mi da zenat anaifurahishaga na vichambo vyake yaani ila zile chupi jamani daah ptuuuu
 
Shoga uko wapiiiiii?
Hukuona videos zake na Kenzo akimuambia mama usivae skin hupendezi vaa nguo fupi upate mume?
Eti nguo fupi anakuwa hot...
Nilichokaaa!
Uwiii sikuiona hiyo, loh! nguo fupi kwa miguu ile kweli?! watoto wamedata wanatamani kurudi ile enzi Kenzo akiwa model, haahaa, mange kiboko eti mwanagu amepata mkataba mnono wa kuonesha mavazi ya watoto kwenye kampuni kubwa, mtoto kapigwa picha mbili basi chali, hakuna tena taarifa za mkataba. Mama mashauzi amefika tamati mapema kweli maskini. In Jide's voice Mange amekuwa historia.
 
Uwiiiiii na LV pembeni [emoji23][emoji23][emoji23]

LV akajidai ataigawa hadi leo anazunguka nayo [emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi koku na kujipendekeza kote kule bado tu hajapewa LV?! kweli mange kafulia, haaaaaha nacheka kama mazuri vile loh! Koku waziri mkuu wa baraza la mawaziri la mange , aibu wanawake wapenda dezo zawadi za mitumba ya mange wakajipa vyeo.
 
Back
Top Bottom