Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uwiiiii umerudije kwa kishindo?
Sio kwa kichambo hicho mama [emoji119][emoji119][emoji119].

Umeongea points za maana sana.Wengine tunatumia fake ID hizi kwa manufaa makubwa sana.
Sipatii picha kama familia yangu wangejua mimi ndio Nifah chaumbea ingekuwaje!
Achilia mbali hilo,kama tungekuwa tunatumia majina yetu kama Mange tungeweka wapi nyuso zetu ktk Jamii zilizotuzunguka?
Huyo Mange ana heshima gani popote atakapotia mguu hivi sasa tofauti na kuviziwa kila kona apewe kichapo?
No way,bora tuendelee tu kujificha nyuma ya fake ID hizi kwa maslahi mapana katika jamii zetu.

BTW...I miss you dear,much [emoji22][emoji22]

Period
[emoji23] Nimerudije mpendwa
Nilikumiss pia!
NILIPATA JIBABU BILLIONEA[emoji28] I HAD TO ACT LIKE A MADAM KIDOGO ILI KWENDA NA KASI YA BABU[emoji23] (thubutuuuu!!! )
Well, fake identity muhumi atii... ubaya unakuja pale inapotokea visokorokwinyo wanapokufaham, watataka umwamba watu wote wakufahamu.
Mange alidhani watu wana shida ya Kumfahamu KP[emoji14] [emoji33] KP amekuwa kama shujaa machoni pa watu; amefanya jambo ambao watu wengi wametamani Ila wameshindwa[emoji28] kufanya,
Sasa Kumfahamu KP imekosa msisimko na comments chacheee.. Why?
Kwa kuwa watu hawana nia wala interest na KP wana interest na Habari za jinn kisirani Mange!! Kwan KP ndiye Alikuwa anajitapa yeye tajiri kuliko waswahili wote? Yeye ndio alichafua watu na kugombana na mamia? Yeye ndio alikua kinara wa kuchafua upinzan na sasa hivi raisi aliyepo madarakani?
Fake identity muhimuuuu....
 
Ila Mange sometimes nachekaga hadi top....eti ile juzi UKUTA walivyopostone demo yao anatiliaje " ngoja nikalale shenzi nyie na ole wake mtu acomment akicheka au hata emoji ya [emoji16] nampiga forever block"....ha ha ha demu anapenda vita yule, si tufe while ye yuko LA na kibabu Rolex ndo raha yake!!!
 
Uwiii sikuiona hiyo, loh! nguo fupi kwa miguu ile kweli?! watoto wamedata wanatamani kurudi ile enzi Kenzo akiwa model, haahaa, mange kiboko eti mwanagu amepata mkataba mnono wa kuonesha mavazi ya watoto kwenye kampuni kubwa, mtoto kapigwa picha mbili basi chali, hakuna tena taarifa za mkataba. Mama mashauzi amefika tamati mapema kweli maskini. In Jide's voice Mange amekuwa historia.
Hivi mikataba na mapichapicha ya model Kenzo yaliishia wapi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Anawaokotaga sana hao wanafunzi wake.
Bilionea hajifichi...tungeshaona hata maisha kubadilika acha tu kumuonesha.
Maisha yake yangeshatuonesha yupo na bilionea [emoji23][emoji23][emoji23]

Period
Kwa masahauzi ya mange tungeshaonyeshwaga
 
Hivi koku na kujipendekeza kote kule bado tu hajapewa LV?! kweli mange kafulia, haaaaaha nacheka kama mazuri vile loh! Koku waziri mkuu wa baraza la mawaziri la mange , aibu wanawake wapenda dezo zawadi za mitumba ya mange wakajipa vyeo.
Umenikumbusha drama za u-turn...
Kokugonza na ile Avatar yake...
Uwiiiiii ila kulikuwa na umbea kule balaa.
Ukitaka kupata habari za mujini unasoma comments tu.
Sasa hivi naona wamehamia Insta sijui?

LV ilikuwa mikwara tu,hakugawa wala nini [emoji16][emoji16][emoji16]
 
bilionere angetoa hata hela ya keki jamani?
ujue mimi mange nampenda kiaina kwanini kachagua kuishi vile? au ana tatizo?
mimi wanaoniuzi ni marafiki zake wanashindwa kumshauri jamani
ndo maana mimi nifah sina marafiki wa kike wanawake sie wanafiki sana hata kama unakosea watu hawakuambii watu wanafurahia anguko lako.yaani mimi rafiki yangu ni boss wangu siku hizi ni mzee????? ila yule mzee katembea dunia nzima ni mjanja wa maisha balaa ananishauri sana yaani sio mchoyo .najua mipaka yangu kwake ila yaani kuna mtu anakuwa mtu kwako nifah mpaka unapiga goti kumshukuru Mungu kwa ajili yake unajua.
Sisi wanafki sana umemaliza Miss
 
[emoji23] Nimerudije mpendwa
Nilikumiss pia!
NILIPATA JIBABU BILLIONEA[emoji28] I HAD TO ACT LIKE A MADAM KIDOGO ILI KWENDA NA KASI YA BABU[emoji23] (thubutuuuu!!! )
Well, fake identity muhumi atii... ubaya unakuja pale inapotokea visokorokwinyo wanapokufaham, watataka umwamba watu wote wakufahamu.
Mange alidhani watu wana shida ya Kumfahamu KP[emoji14] [emoji33] KP amekuwa kama shujaa machoni pa watu; amefanya jambo ambao watu wengi wametamani Ila wameshindwa[emoji28] kufanya,
Sasa Kumfahamu KP imekosa msisimko na comments chacheee.. Why?
Kwa kuwa watu hawana nia wala interest na KP wana interest na Habari za jinn kisirani Mange!! Kwan KP ndiye Alikuwa anajitapa yeye tajiri kuliko waswahili wote? Yeye ndio alichafua watu na kugombana na mamia? Yeye ndio alikua kinara wa kuchafua upinzan na sasa hivi raisi aliyepo madarakani?
Fake identity muhimuuuu....
Sure...kama mimi sina hata hamu ya kumjua KP,nafurahia ubuyu wake baaasi.
KP kama fake ID nampenda hivyohivyo.
Hilo Mange halijui...
 
Heheheeee kumbe ndicho KP anachoshangilia?
Can't wait mapichapicha ya birthday Nyari akiwemo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

KP anazingua bwana,mara anasema bomu atawapa watu wake WhatsApp sijui nini.
Mambo gani sasa?Au anataka kusanda kwa Mange nini?
Atuwekee vitu hadharani watu tuburudike [emoji39][emoji39][emoji39]

Period
Katuwekea za diamond na mzimbabwe after bday atatoa bomu kutupa presha tu
 
Mange ana rafiki gani?kila rafiki kagombana nae.
Kabaki yule dada mmoja tu wa hukohuko Marekani sijui nani yule...
Ila hata kwa kumsoma tu Mange ni mbishi, anaonekana hashauriki yule.
Muache aaibike,kawaaibisha wengi ni zamu yake sasa.

Yeah,najua darling...najua.
Endelea kumuomba Mungu amuweke Mzee wako In Shaa Allah.

Period
Anaitwa loveness
 
Ila Mange sometimes nachekaga hadi top....eti ile juzi UKUTA walivyopostone demo yao anatiliaje " ngoja nikalale shenzi nyie na ole wake mtu acomment akicheka au hata emoji ya [emoji16] nampiga forever block"....ha ha ha demu anapenda vita yule, si tufe while ye yuko LA na kibabu Rolex ndo raha yake!!!
Honestly say katika suala la UKUTA nilikuwa namuunga mkono,na nilipenda juhudi na harakati zake.
Ndio maana nilisema huwa nashindwa kumchukia moja kwa moja.
Kuna wakati nampendaaaaa kuna wakati namchukiaaaaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23]

Period
 
Honestly say katika suala la UKUTA nilikuwa namuunga mkono,na nilipenda juhudi na harakati zake.
Ndio maana nilisema huwa nashindwa kumchukia moja kwa moja.
Kuna wakati nampendaaaaa kuna wakati namchukiaaaaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23]

Period
Yule chizi maarifa yaani angalau sasa hivi angeamua kumrudia Mungu wake na kuomba msamaha kwa yale yaliyoyafanya ya kuumiza watu. Lakini zile video za vipensi na babu rolex vinazidi kumchora.
 
Honestly say katika suala la UKUTA nilikuwa namuunga mkono,na nilipenda juhudi na harakati zake.
Ndio maana nilisema huwa nashindwa kumchukia moja kwa moja.
Kuna wakati nampendaaaaa kuna wakati namchukiaaaaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23]

Period
Kwa sisi wambea lazma umpende na kumchukia [emoji28][emoji28]
 
Katuwekea za diamond na mzimbabwe after bday atatoa bomu kutupa presha tu
Piga basi screenshot utuletee mpenzi,ndio raha ya umbea hiyo.
Habari na picha...
Kuna wenzio hawajajiunga huku kama wewe kipindi kileeee ukileta picha utawasaidia sana.

Period
 
Anaitwa loveness
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umetishaaaa nilishamsahau.
Umbea una raha sana ukikutana na wambea wenzio.
Rrraaaaah
Loveness anaonekana mpole sana yule dada,ndio maana kaweza kumvumilia yule kichaa hadi leo hii.
 
Piga basi screenshot utuletee mpenzi,ndio raha ya umbea hiyo.
Habari na picha...
Kuna wenzio hawajajiunga huku kama wewe kipindi kileeee ukileta picha utawasaidia sana.

Period
Shoga natamani kuweka maumbea nashindwa sbbu ya picha nikitaka appload pic inaload then inastop natumia app ya JF
 
Yule chizi maarifa yaani angalau sasa hivi angeamua kumrudia Mungu wake na kuomba msamaha kwa yale yaliyoyafanya ya kuumiza watu. Lakini zile video za vipensi na babu rolex vinazidi kumchora.
Mange kama Mange?I bet hatokaa aombe msamaha milele.
Kumbuka ile list ya aliogombana nao na aliokuwa tayari kurudisha urafiki nao.

Aliokuwa tayari kurudisha ushost bado aliwatukana na kuwadhalilisha na kuwasifia humohumo mf. Mwamvita.

Huyo ni wa kuomba msamaha kweli?

Drama za babu Rolex ndio kwaaaanza zinaanza,tutafute popcorn mapemaaaa.
Chezea kuuaga umasikini wewe?
[emoji23][emoji23][emoji23]

Period
 
Kwa sisi wambea lazma umpende na kumchukia [emoji28][emoji28]
Kama ule ubuyu wa Hamisa juzi nimeupendaje?
[emoji2][emoji2][emoji2]
Mange ananifurahishaga hapo tu.
 
Mange kama Mange?I bet hatokaa aombe msamaha milele.
Kumbuka ile list ya aliogombana nao na aliokuwa tayari kurudisha urafiki nao.

Aliokuwa tayari kurudisha ushost bado aliwatukana na kuwadhalilisha na kuwasifia humohumo mf. Mwamvita.

Huyo ni wa kuomba msamaha kweli?

Drama za babu Rolex ndio kwaaaanza zinaanza,tutafute popcorn mapemaaaa.
Chezea kuuaga umasikini wewe?
[emoji23][emoji23][emoji23]

Period
Aombe msamaha kwa Mungu wake na kuishi kwa maadili ya mtoto wa Kiislam ingetosha.
 
Back
Top Bottom