Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
hapa sijui jioni napika nini yaaniHahaaaa, umenichekesha haswa, umbea mtamu jamani pole shoga.
chips za barabarani zitakuhusu leo, pole wee.hapa sijui jioni napika nini yaani
wee nipo kwenye diet moja kali sanachips za barabarani zitakuhusu leo, pole wee.
Duh huyo dada mcheza mieleka toka mange alivyosambaza video yake ya ngono naonaga wanaompa kiki nao akili kichwani hawanaga!
Mtajaachika mkiolewa jamani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mimi itabidi niwaage wambea wenzangu.Haahaaa shoga nilikuwa nakufuatilia tu kama umeaga kweli, umbea mtamu jamani mie nimejaza nyama maji tele ili isiungue leo wala siwazi habari ya ladha, looh! maskini msosi wa leo naona kama vile nieshaharibu kabla hata sijaivisha.
ahahaaa yaani asubuhi niliweka maji jikoni nikasema nisome kp hadi yakaisha yote kidogo sufuria liungue nilitaka kupika uji
Hivi kweli jamani![emoji134][emoji134][emoji134] jino si liling'oka Keanu akiwa kichanga?Hadi Leo hii takribani miaka miwili.Nifah, lile jino la bandia lilimuharibu mtoto au vipi mbona kenzo jino limegoma kuota? Maskini lance anajuta siku aliyotoka nje akakutana na mange.. model pengo limekuwa la kudumu?!
Acha tu, hapa ukisemeshwa wala juhangii mada, sasa bae awe na yeye kwenye ishu yake halafu yeye akiwa na ishu zake kwenye simu mtu unanuna, mhh ubinafsi sasa basi kila mtu na umbea wake.Mtajaachika mkiolewa jamani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mimi itabidi niwaage wambea wenzangu.
Umbea nitakuwa napiga kwa kipimo.
Haki mmenichekesha sana [emoji23][emoji23][emoji23]
Haaaha, kweli mange ana gundu, bora Bokhe meno yake aling'olea kwa bibi mama frank angekuwa mapengo mpaka leo.Hivi kweli jamani![emoji134][emoji134][emoji134] jino si liling'oka Keanu akiwa kichanga?Hadi Leo hii takribani miaka miwili.
Halafu Mange anapenda kuanika mambo jamani sijapata ona.
Unakumbuka alituwekea jino lake Insta?
Halafu kuna siku alisema Kenzo analilia jino lake sijui ana gundu alitupa jino lake halioti tena [emoji23][emoji23][emoji23]
Enzi za neck massage.Mange kiboko alitangaza sana biashara ya madildo na mawaziri wake wakayaagiza kwa fujo kweli sijui aliwaloga mwenyewe alikuwa anayaita nake massage, . haa mpare kiboko mchafu si wa chupi tu mpaka li dildo anachomeka na kuchomoa na kuliacha chafu?! mweee watu wafundwe jamani mpyuuu, .
Mbona ya Zari ilisambaa na maisha yanaendelea?Duh huyo dada mcheza mieleka toka mange alivyosambaza video yake ya ngono naonaga wanaompa kiki nao akili kichwani hawanaga!
Afadhali aibu ya kukutwa na dildo kuliko UKIMWI mkuu.Enzi za neck massage.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti msijali sitoandika jina la bidhaa,nitaandika neck massage.
Hao wanakoenda kuchukua hawasomi kwenye blog yake?
Kujitia aibu tu.
Ningekuwa mimi ndio misukule yake ningeenda kuchukua hiyo neck massage na bonge la niqab [emoji23][emoji23][emoji23].
Ila jamani kumiliki kile kitu ni kujitakia pressure tu,dunia haina siri.
Mara siku umeumwa hoi watu wanakuja kukupeleka hosp wakati wanatoa nguo kabatini kukuvisha hiloooo.
Lahaulaaa unaweza kupona ghafla [emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna kitu sipendi kama niwe na bae awe busy na simu.Acha tu, hapa ukisemeshwa wala juhangii mada, sasa bae awe na yeye kwenye ishu yake halafu yeye akiwa na ishu zake kwenye simu mtu unanuna, mhh ubinafsi sasa basi kila mtu na umbea wake.
ahahaa naskia linapiga katerero ya hatareEnzi za neck massage.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti msijali sitoandika jina la bidhaa,nitaandika neck massage.
Hao wanakoenda kuchukua hawasomi kwenye blog yake?
Kujitia aibu tu.
Ningekuwa mimi ndio misukule yake ningeenda kuchukua hiyo neck massage na bonge la niqab [emoji23][emoji23][emoji23].
akuja kukupeleka hosp wakati wanatoa nguo kabatini kukuvisha hiloooo.
Lahaulaaa unaweza kupona ghafla [emoji23][emoji23][emoji23]
inakera balaa, ila kwa umbea huu leo nimejifunza siku akicheka na simu, nitajitahidi nisinune nitaenda hata nje kurusha mawe hasira ziishe..Hakuna kitu sipendi kama niwe na bae awe busy na simu.
Jamani simu huwa zinawekwa pembeniiiiii.
Hata nikitoka out huwa najitahidi sana kukontrol matumizi ya simu.
It's kinda boring.
Nifah bana eti unapona gafla, umenichekesha sana, mie si kulimiliki tu hata kulishika sitaki.Enzi za neck massage.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti msijali sitoandika jina la bidhaa,nitaandika neck massage.
Hao wanakoenda kuchukua hawasomi kwenye blog yake?
Kujitia aibu tu.
Ningekuwa mimi ndio misukule yake ningeenda kuchukua hiyo neck massage na bonge la niqab [emoji23][emoji23][emoji23].
Ila jamani kumiliki kile kitu ni kujitakia pressure tu,dunia haina siri.
Mara siku umeumwa hoi watu wanakuja kukupeleka hosp wakati wanatoa nguo kabatini kukuvisha hiloooo.
Lahaulaaa unaweza kupona ghafla [emoji23][emoji23][emoji23]
jamani ya zari sijawai kuionaMbona ya Zari ilisambaa na maisha yanaendelea?
Na kila leo anapewa kick?Wanaompa hawana akili?
Nakukubali mkuu lakini hapa umeteleza.