Chanzo kikuu ni ile e-mail aliyomtumia shost ake Mwamvita shoga,ile ndio iliharibu kila kitu.hivi kwanini mange aliachana na lance yamesemwa mengi ila sijui tatizo ni lipi haswa
Mimi sina, matatizo ya Mange ni roho mbaya, alianza kuona wivu Mwammy kupata marafiki wengine, vimaneno vikazua neno. Lakini jamani ninampenda Kiki, yule dada yuko so classic, nikimfikiria yule angekuwa Los Angels angekuwaje, bongo tu anawaka vile.Chanzo kikuu ni ile e-mail aliyomtumia shost ake Mwamvita shoga,ile ndio iliharibu kila kitu.
Akabeba na mimba ya Keanu kumshika Lance lakini wapi!
Subiri huenda Sky Eclat bado anayo atakuwekea hapa kama hukuwahi kuiona.
Hivi kweli inawezekana mtu ukawa umeacha matatizo ya familia yako ukaanza kujadili matatizo ya jirani?
Pamoja na mapungufu yote ya huyo mdada Mange, sijaona justification ya kujadiliwa hivi.
Kuna watu wanajiona kama malaika, kuwafanya wenzao kama mashetani.
Natamani ufunguke hiyo e-mail inasemaje mkuu...I didn't see itChanzo kikuu ni ile e-mail aliyomtumia shost ake Mwamvita shoga,ile ndio iliharibu kila kitu.
Akabeba na mimba ya Keanu kumshika Lance lakini wapi!
Subiri huenda Sky Eclat bado anayo atakuwekea hapa kama hukuwahi kuiona.
anajua kushawishi ukashawishika yaani unajikuta unaingia line bila kupendaMange kiboko alitangaza sana biashara ya madildo na mawaziri wake wakayaagiza kwa fujo kweli sijui aliwaloga mwenyewe alikuwa anayaita nake massage, . haa mpare kiboko mchafu si wa chupi tu mpaka li dildo anachomeka na kuchomoa na kuliacha chafu?! mweee watu wafundwe jamani mpyuuu, .
Imo kwenye thread hii lakini page za mwanzoni.Natamani ufunguke hiyo e-mail inasemaje mkuu...I didn't see it
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] ndo maana kumbe katafuta baunsa lance!Tatizo huyu demu ni cha uongo, trust me yaani anachokiongea na anachokifanya utofauti wake ni kama mbingu na ardhi,....huwezi amini alimvamia ba kenzo ofisini sijui shuleni kwake akampa kichapo cha mbwa mwizi, baba wa watu kamfungulia kesi na restrain order juuu..bahati yake Nyari ni mbeba nondo la sivyo nae angechezea makofi ya kufa mtuu...
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] daahh!asante sana aiseee!shosti uchawi upo .uganga upo ulozi upo! nilipata majanga shost wangu mimi mtoto wa watu kidogo nife ,piga maombi hakuna nabii tz hii hajaniombea wapi???? tuishie hapo
Halafu ujue huyu dada hata sijamfollow?Mimi sina, matatizo ya Mange ni roho mbaya, alianza kuona wivu Mwammy kupata marafiki wengine, vimaneno vikazua neno. Lakini jamani ninampenda Kiki, yule dada yuko so classic, nikimfikiria yule angekuwa Los Angels angekuwaje, bongo tu anawaka vile.
wa mjini tena asiijue katerero?!!Aaah wapi,mwanamke wa Bukoba bila kumpiga hiyo hajafika safari yake!Ila wasiwasi wangu mdada wa mjini umejuaje katerero?
Binadamu ameumbiwa kusema na kusemwa na hapa hasengenywii!!!Hivi kweli inawezekana mtu ukawa umeacha matatizo ya familia yako ukaanza kujadili matatizo ya jirani?
Pamoja na mapungufu yote ya huyo mdada Mange, sijaona justification ya kujadiliwa hivi.
Kuna watu wanajiona kama malaika, kuwafanya wenzao kama mashetani.
Siri zinatoka, kumkosa Mwammy kwenye maisha yake ndiyo mwanzo matatizo yote haya, kwanza alimtoa Sophia Byanako kwa Mwammy wakati Sophia na Mwammy marafiki tangu Kifungilo.Halafu ujue huyu dada hata sijamfollow?
Kuna kipindi nilimfollow Shamimu nae si haba.
Ila Mwamvita nae jamaniii uwiiiiii.
Mimi yule mtoto tu!
Mzuriiiiiiii dah!
Yule ndo angekuwa Bhoke tusingekunywa maji!
MhhhhhSiri zinatoka, kumkosa Mwammy kwenye maisha yake ndiyo mwanzo matatizo yote haya, kwanza alimtoa Sophia Byanako kwa Mwammy wakati Sophia na Mwammy marafiki tangu Kifungilo.
sana ana uwezo wa kupanga na kupangua hoja vzr akitulia yale ni madini ya thamani mnoo!Yule dada ana akili basi tu!
Ila hajiamini kama an individual, ukitaka kujua hilo, ni lazima akae na watu wenye status na majina, mtu anaejiamini hajali kukaa na mtu yeyote yule mradi yeye ni yeye. Fikiria alivyotoka Dubai, nini kilimfanya asikae kwa ndugu zake?sana ana uwezo wa kupanga na kupangua hoja vzr akitulia yale ni madini ya thamani mnoo!
OK ntaisearch, 10xImo kwenye thread hii lakini page za mwanzoni.
Haaa haaa hapana chezea ....lance ni expert wa makofi ya mange, so ikabidi atafute John Cena la kike ...[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] ndo maana kumbe katafuta baunsa lance!