Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

hivi kwanini mange aliachana na lance yamesemwa mengi ila sijui tatizo ni lipi haswa
Chanzo kikuu ni ile e-mail aliyomtumia shost ake Mwamvita shoga,ile ndio iliharibu kila kitu.
Akabeba na mimba ya Keanu kumshika Lance lakini wapi!
Subiri huenda Sky Eclat bado anayo atakuwekea hapa kama hukuwahi kuiona.
 
Kama Leo sijapigwa block cjui manake mi ni die hard fan wake...(Tahadhari humu JF ana Fekero ID kama chawa, alishaniambia DM)...so anakufatilia huku anaenda kukunyoosha IG
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mange bwana?
 
Chanzo kikuu ni ile e-mail aliyomtumia shost ake Mwamvita shoga,ile ndio iliharibu kila kitu.
Akabeba na mimba ya Keanu kumshika Lance lakini wapi!
Subiri huenda Sky Eclat bado anayo atakuwekea hapa kama hukuwahi kuiona.
Mimi sina, matatizo ya Mange ni roho mbaya, alianza kuona wivu Mwammy kupata marafiki wengine, vimaneno vikazua neno. Lakini jamani ninampenda Kiki, yule dada yuko so classic, nikimfikiria yule angekuwa Los Angels angekuwaje, bongo tu anawaka vile.
 
Hivi kweli inawezekana mtu ukawa umeacha matatizo ya familia yako ukaanza kujadili matatizo ya jirani?

Pamoja na mapungufu yote ya huyo mdada Mange, sijaona justification ya kujadiliwa hivi.

Kuna watu wanajiona kama malaika, kuwafanya wenzao kama mashetani.

Hebu tupishe bwana.Hili ni jukwaa la gossips na tuko hapa tunazogoa.
Kama kapigania hili kwa nguvu zake zote (kujadiliwa) kwanini tusimjadili?

Siwapendi wanafiki wanaopenda kuwapangia wenzao vya kufanya.
Umejuaje tumejadili kama husomi?
 
Chanzo kikuu ni ile e-mail aliyomtumia shost ake Mwamvita shoga,ile ndio iliharibu kila kitu.
Akabeba na mimba ya Keanu kumshika Lance lakini wapi!
Subiri huenda Sky Eclat bado anayo atakuwekea hapa kama hukuwahi kuiona.
Natamani ufunguke hiyo e-mail inasemaje mkuu...I didn't see it
 
Mange kiboko alitangaza sana biashara ya madildo na mawaziri wake wakayaagiza kwa fujo kweli sijui aliwaloga mwenyewe alikuwa anayaita nake massage, . haa mpare kiboko mchafu si wa chupi tu mpaka li dildo anachomeka na kuchomoa na kuliacha chafu?! mweee watu wafundwe jamani mpyuuu, .
anajua kushawishi ukashawishika yaani unajikuta unaingia line bila kupenda
 
Tatizo huyu demu ni cha uongo, trust me yaani anachokiongea na anachokifanya utofauti wake ni kama mbingu na ardhi,....huwezi amini alimvamia ba kenzo ofisini sijui shuleni kwake akampa kichapo cha mbwa mwizi, baba wa watu kamfungulia kesi na restrain order juuu..bahati yake Nyari ni mbeba nondo la sivyo nae angechezea makofi ya kufa mtuu...
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] ndo maana kumbe katafuta baunsa lance!
 
shosti uchawi upo .uganga upo ulozi upo! nilipata majanga shost wangu mimi mtoto wa watu kidogo nife ,piga maombi hakuna nabii tz hii hajaniombea wapi???? tuishie hapo
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] daahh!asante sana aiseee!
 
Mimi sina, matatizo ya Mange ni roho mbaya, alianza kuona wivu Mwammy kupata marafiki wengine, vimaneno vikazua neno. Lakini jamani ninampenda Kiki, yule dada yuko so classic, nikimfikiria yule angekuwa Los Angels angekuwaje, bongo tu anawaka vile.
Halafu ujue huyu dada hata sijamfollow?
Kuna kipindi nilimfollow Shamimu nae si haba.
Ila Mwamvita nae jamaniii uwiiiiii.
Mimi yule mtoto tu!
Mzuriiiiiiii dah!
Yule ndo angekuwa Bhoke tusingekunywa maji!
 
Hivi kweli inawezekana mtu ukawa umeacha matatizo ya familia yako ukaanza kujadili matatizo ya jirani?

Pamoja na mapungufu yote ya huyo mdada Mange, sijaona justification ya kujadiliwa hivi.

Kuna watu wanajiona kama malaika, kuwafanya wenzao kama mashetani.
Binadamu ameumbiwa kusema na kusemwa na hapa hasengenywii!!!
anaona pia!
nenda jukwaa la siasa
 
Halafu ujue huyu dada hata sijamfollow?
Kuna kipindi nilimfollow Shamimu nae si haba.
Ila Mwamvita nae jamaniii uwiiiiii.
Mimi yule mtoto tu!
Mzuriiiiiiii dah!
Yule ndo angekuwa Bhoke tusingekunywa maji!
Siri zinatoka, kumkosa Mwammy kwenye maisha yake ndiyo mwanzo matatizo yote haya, kwanza alimtoa Sophia Byanako kwa Mwammy wakati Sophia na Mwammy marafiki tangu Kifungilo.
 
Siri zinatoka, kumkosa Mwammy kwenye maisha yake ndiyo mwanzo matatizo yote haya, kwanza alimtoa Sophia Byanako kwa Mwammy wakati Sophia na Mwammy marafiki tangu Kifungilo.
Mhhhhh
Deep...deeper.
Ila hawa wadada wa mjini wamefanikiwaga kutushika kwa huu ugomvi wao usiokwisha.
 
sana ana uwezo wa kupanga na kupangua hoja vzr akitulia yale ni madini ya thamani mnoo!
Ila hajiamini kama an individual, ukitaka kujua hilo, ni lazima akae na watu wenye status na majina, mtu anaejiamini hajali kukaa na mtu yeyote yule mradi yeye ni yeye. Fikiria alivyotoka Dubai, nini kilimfanya asikae kwa ndugu zake?
 
Back
Top Bottom