[emoji106] [emoji106] [emoji106] .....zaidi ya yote, tunayoyasema humu ni maisha yake halisi! Mwenyewe kaamua kujilipua mzima mzima no fake ID wala nini, so si tunajichotea miubuyu kutoka kwenye mablogu yake,...ukute ni yeye ( mange) anajibu hapa narudia ana vi id fekero ka mchanga humu JF!?!![emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]Hebu tupishe bwana.Hili ni jukwaa la gossips na tuko hapa tunazogoa.
Kama kapigania hili kwa nguvu zake zote (kujadiliwa) kwanini tusimjadili?
Siwapendi wanafiki wanaopenda kuwapangia wenzao vya kufanya.
Umejuaje tumejadili kama husomi?
Frankly speaking... Mange ni kichwa sana huu ukweli lazima usemwe, sema tu weakness yake ni maugomvi baaasi...ila bidada upstairs yuko fit[emoji122] [emoji122]Yule dada ana akili basi tu!
that's her problem kwa kweli!anahtaji ushauri kwa hilo!japo hashauriki!Ila hajiamini kama an individual, ukitaka kujua hilo, ni lazima akae na watu wenye status na majina, mtu anaejiamini hajali kukaa na mtu yeyote yule mradi yeye ni yeye. Fikiria alivyotoka Dubai, nini kilimfanya asikae kwa ndugu zake?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Dada ananyanyua vyuma balaaa!!heee mie vile siwezi hata kidogo!jamani mie mvuvi wa mazoezi![emoji57]Haaa haaa hapana chezea ....lance ni expert wa makofi ya mange, so ikabidi atafute John Cena la kike ...
bahati hiyo kwangu haipati!!siombi kufunguliwa na mtu yeyote mie maana sio chakula kile....ole wako akutie makufuli kwenye page yake IG, then ujipendeze DM or public kumuomba akutolee block, utashushuliwa hadi ukome, demu anapenda kuabudiwa yule sijapata ona
Teh teh teh...bahati hiyo kwangu haipati!!siombi kufunguliwa na mtu yeyote mie maana sio chakula kile
[emoji23] [emoji23] [emoji23] poleeahahaaa yaani asubuhi niliweka maji jikoni nikasema nisome kp hadi yakaisha yote kidogo sufuria liungue nilitaka kupika uji
[emoji28][emoji28][emoji28]Hivi kweli jamani![emoji134][emoji134][emoji134] jino si liling'oka Keanu akiwa kichanga?Hadi Leo hii takribani miaka miwili.
Halafu Mange anapenda kuanika mambo jamani sijapata ona.
Unakumbuka alituwekea jino lake Insta?
Halafu kuna siku alisema Kenzo analilia jino lake sijui ana gundu alitupa jino lake halioti tena [emoji23][emoji23][emoji23]
Mungu anisamehe sijui yana raha ganEnzi za neck massage.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti msijali sitoandika jina la bidhaa,nitaandika neck massage.
Hao wanakoenda kuchukua hawasomi kwenye blog yake?
Kujitia aibu tu.
Ningekuwa mimi ndio misukule yake ningeenda kuchukua hiyo neck massage na bonge la niqab [emoji23][emoji23][emoji23].
Ila jamani kumiliki kile kitu ni kujitakia pressure tu,dunia haina siri.
Mara siku umeumwa hoi watu wanakuja kukupeleka hosp wakati wanatoa nguo kabatini kukuvisha hiloooo.
Lahaulaaa unaweza kupona ghafla [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahhhhhahahaa naskia linapiga katerero ya hatare
ila kisimi kitakuwa kimechoka vibaya kimekuwa kama karatasi
Ya zari ina msitu ya nyari sijaionajamani ya zari sijawai kuiona
ya nyari uliiona ??? ahahaa ile ni majanga *****
lance nae ana moyo sana
Ata mm sijaionaYa Zari mbona ilisambaa sana?Tena nataka_Shari kaiweka sana.
Nenda kapekue posts zake za zamani unaweza kuiona.
Hata Mange alishaiweka...
Hata huku JF iliwekwa kwa link.
Ilikuwa nomaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23]
Shoga ya Nyari sijaionaga ujue?Sijui wenzangu mlionaga wapi!
Hii ilinipita!
Kweli kabisa hujui ya keshoKatumia akili sana (kama alichokisema ni kweli) kuhandle hii issue.
Na hivi ndivyo tunavyotakiwa kuishi na max zetu ladies.
Kuachana sio ndio kuwa maadui,kila mtu amove on na maisha yake kwa amani kabisa.
Kuna mda anatia huruma sana mangedivorce ya mwendokasi
ila namuoneaga huruma basi tu
Atakujuaje kwa insta kama mtu upo ukuKama Leo sijapigwa block cjui manake mi ni die hard fan wake...(Tahadhari humu JF ana Fekero ID kama chawa, alishaniambia DM)...so anakufatilia huku anaenda kukunyoosha IG
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] uwiiii Miss una mkwaranani anamuogopa mange humu bwana?
alishaanika wangapi ? alipata nini zaidi ya majanga mama yangu mange siku anidhalilishe hatoamini nitamloga yaani atamzika mwanae mmoja huku anaona watu tumejipanga bana weee alisema uchawi hauvuki bahari basi ajaribu aje pm nimuambie mimi ni nani akanichambe halafu anipe siku saba kama hajafanya matanga mfyuuu!!!!
Pole mpenz uchawi upo sana kama hayajakutokea uwezi aminishosti uchawi upo .uganga upo ulozi upo! nilipata majanga shost wangu mimi mtoto wa watu kidogo nife ,piga maombi hakuna nabii tz hii hajaniombea wapi???? tuishie hapo
Alikua anamsifia mwanaume wake anajua mapenz akamkandia lance yaan aliongea mambo ya aibu nisije andika nikala banNatamani ufunguke hiyo e-mail inasemaje mkuu...I didn't see it
Ila nikikumbuka lile group lao enzi zile za uturn unawish ungekuwa wewe aya maisha acha tuMhhhhh
Deep...deeper.
Ila hawa wadada wa mjini wamefanikiwaga kutushika kwa huu ugomvi wao usiokwisha.