Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Hebu tupishe bwana.Hili ni jukwaa la gossips na tuko hapa tunazogoa.
Kama kapigania hili kwa nguvu zake zote (kujadiliwa) kwanini tusimjadili?

Siwapendi wanafiki wanaopenda kuwapangia wenzao vya kufanya.
Umejuaje tumejadili kama husomi?
[emoji106] [emoji106] [emoji106] .....zaidi ya yote, tunayoyasema humu ni maisha yake halisi! Mwenyewe kaamua kujilipua mzima mzima no fake ID wala nini, so si tunajichotea miubuyu kutoka kwenye mablogu yake,...ukute ni yeye ( mange) anajibu hapa narudia ana vi id fekero ka mchanga humu JF!?!![emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Ila hajiamini kama an individual, ukitaka kujua hilo, ni lazima akae na watu wenye status na majina, mtu anaejiamini hajali kukaa na mtu yeyote yule mradi yeye ni yeye. Fikiria alivyotoka Dubai, nini kilimfanya asikae kwa ndugu zake?
that's her problem kwa kweli!anahtaji ushauri kwa hilo!japo hashauriki!
 
Haaa haaa hapana chezea ....lance ni expert wa makofi ya mange, so ikabidi atafute John Cena la kike ...
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Dada ananyanyua vyuma balaaa!!heee mie vile siwezi hata kidogo!jamani mie mvuvi wa mazoezi![emoji57]
 
....ole wako akutie makufuli kwenye page yake IG, then ujipendeze DM or public kumuomba akutolee block, utashushuliwa hadi ukome, demu anapenda kuabudiwa yule sijapata ona
 
....ole wako akutie makufuli kwenye page yake IG, then ujipendeze DM or public kumuomba akutolee block, utashushuliwa hadi ukome, demu anapenda kuabudiwa yule sijapata ona
bahati hiyo kwangu haipati!!siombi kufunguliwa na mtu yeyote mie maana sio chakula kile
 
Hivi kweli jamani![emoji134][emoji134][emoji134] jino si liling'oka Keanu akiwa kichanga?Hadi Leo hii takribani miaka miwili.

Halafu Mange anapenda kuanika mambo jamani sijapata ona.
Unakumbuka alituwekea jino lake Insta?
Halafu kuna siku alisema Kenzo analilia jino lake sijui ana gundu alitupa jino lake halioti tena [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Enzi za neck massage.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti msijali sitoandika jina la bidhaa,nitaandika neck massage.
Hao wanakoenda kuchukua hawasomi kwenye blog yake?
Kujitia aibu tu.
Ningekuwa mimi ndio misukule yake ningeenda kuchukua hiyo neck massage na bonge la niqab [emoji23][emoji23][emoji23].

Ila jamani kumiliki kile kitu ni kujitakia pressure tu,dunia haina siri.
Mara siku umeumwa hoi watu wanakuja kukupeleka hosp wakati wanatoa nguo kabatini kukuvisha hiloooo.
Lahaulaaa unaweza kupona ghafla [emoji23][emoji23][emoji23]
Mungu anisamehe sijui yana raha gan
 
Ya Zari mbona ilisambaa sana?Tena nataka_Shari kaiweka sana.
Nenda kapekue posts zake za zamani unaweza kuiona.
Hata Mange alishaiweka...
Hata huku JF iliwekwa kwa link.
Ilikuwa nomaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23]

Shoga ya Nyari sijaionaga ujue?Sijui wenzangu mlionaga wapi!
Hii ilinipita!
Ata mm sijaiona
 
Katumia akili sana (kama alichokisema ni kweli) kuhandle hii issue.
Na hivi ndivyo tunavyotakiwa kuishi na max zetu ladies.
Kuachana sio ndio kuwa maadui,kila mtu amove on na maisha yake kwa amani kabisa.
Kweli kabisa hujui ya kesho
 
Kama Leo sijapigwa block cjui manake mi ni die hard fan wake...(Tahadhari humu JF ana Fekero ID kama chawa, alishaniambia DM)...so anakufatilia huku anaenda kukunyoosha IG
Atakujuaje kwa insta kama mtu upo uku
 
nani anamuogopa mange humu bwana?
alishaanika wangapi ? alipata nini zaidi ya majanga mama yangu mange siku anidhalilishe hatoamini nitamloga yaani atamzika mwanae mmoja huku anaona watu tumejipanga bana weee alisema uchawi hauvuki bahari basi ajaribu aje pm nimuambie mimi ni nani akanichambe halafu anipe siku saba kama hajafanya matanga mfyuuu!!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] uwiiii Miss una mkwara
 
shosti uchawi upo .uganga upo ulozi upo! nilipata majanga shost wangu mimi mtoto wa watu kidogo nife ,piga maombi hakuna nabii tz hii hajaniombea wapi???? tuishie hapo
Pole mpenz uchawi upo sana kama hayajakutokea uwezi amini
 
Mhhhhh
Deep...deeper.
Ila hawa wadada wa mjini wamefanikiwaga kutushika kwa huu ugomvi wao usiokwisha.
Ila nikikumbuka lile group lao enzi zile za uturn unawish ungekuwa wewe aya maisha acha tu
 
Back
Top Bottom