Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Kwakweli hapana!
Simpendi Makonda ila sio kihivi jamani!
Mhhhhhhh!
Mtume roho yangu,hivi Makonda ana hali gani huko alipo?
Hii ni zaidi ya kuachwa uchi.
Mwenywe naona wala hajali ingekuwa chadema wangeshajibiwa
 
Mi nimecheka pale mange anaposema " eti katugeuza sie watoto wake mara atukamate gesti, mara kufagia, ha haa haa sitaki hata kumalizia......mange chiziiii asee
 
Mi nimecheka pale mange anaposema " eti katugeuza sie watoto wake mara atukamate gesti, mara kufagia, ha haa haa sitaki hata kumalizia......mange chiziiii asee
yaani mimi nasoma mara tatu tatu
hivi una namba ya dk mwaka mamy?
 
Haaaa haaa haaa ...umenichekesha sana shost si kwa jibu hili
[emoji28][emoji28][emoji28]uyu miss anantafuta ubaya mm sina mil 7 mange ata akitomboka yupo marekani sheria inambana
 
hivi nifah unakumbuka ile ya le mutuz kula hotpot zima halafu nduki chooni anawaachia harufu nyumba nzima anaaga haachi hata mia?
Hahahhh dada alijua kapata pedeshee kila siku anampikia masosomoro [emoji28][emoji28]
 
Mi nimecheka pale mange anaposema " eti katugeuza sie watoto wake mara atukamate gesti, mara kufagia, ha haa haa sitaki hata kumalizia......mange chiziiii asee
[emoji28][emoji28][emoji28]
 
khaaakhaaaaaaaaaa nampenda sana huyu dada kwa kuibua mambo kubwa za hii inji(nchi)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…