UrbanGentleman
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 2,584
- 1,885
Wapo wengi walikua wanafanya upuuzi kama huo enzi za jk alipowaamulia walipotezwa kimya kimya uko uko ughaibunimpaka lini?
[emoji28][emoji28]dah yaani leo nimeamini mange chizi kweli
Mwenywe naona wala hajali ingekuwa chadema wangeshajibiwaKwakweli hapana!
Simpendi Makonda ila sio kihivi jamani!
Mhhhhhhh!
Mtume roho yangu,hivi Makonda ana hali gani huko alipo?
Hii ni zaidi ya kuachwa uchi.
yaani makonda haaminiMwenywe naona wala hajali ingekuwa chadema wangeshajibiwa
yaani mimi nasoma mara tatu tatuMi nimecheka pale mange anaposema " eti katugeuza sie watoto wake mara atukamate gesti, mara kufagia, ha haa haa sitaki hata kumalizia......mange chiziiii asee
[emoji28][emoji28][emoji28]uyu miss anantafuta ubaya mm sina mil 7 mange ata akitomboka yupo marekani sheria inambanaHaaaa haaa haaa ...umenichekesha sana shost si kwa jibu hili
Hahahhh dada alijua kapata pedeshee kila siku anampikia masosomoro [emoji28][emoji28]hivi nifah unakumbuka ile ya le mutuz kula hotpot zima halafu nduki chooni anawaachia harufu nyumba nzima anaaga haachi hata mia?
[emoji28][emoji28][emoji28]Mi nimecheka pale mange anaposema " eti katugeuza sie watoto wake mara atukamate gesti, mara kufagia, ha haa haa sitaki hata kumalizia......mange chiziiii asee
Mfate insta kwenye page yake kuna no nahisyaani mimi nasoma mara tatu tatu
hivi una namba ya dk mwaka mamy?
Haaa haaa Miss ujue unaniacha hoi, we unaziamini hizi taarifa za mange?...shauri yako[emoji87] [emoji87] [emoji87]yaani mimi nasoma mara tatu tatu
hivi una namba ya dk mwaka mamy?
ahahaaa pedeshee bubuHahahhh dada alijua kapata pedeshee kila siku anampikia masosomoro [emoji28][emoji28]
ahahaa mimi nina kazi nayo bnaHaaa haaa Miss ujue unaniacha hoi, we unaziamini hizi taarifa za mange?...shauri yako[emoji87] [emoji87] [emoji87]
Mange anakwambia Konda hajifungi anasema ana familia tu basi!...hasemi huyu ni 1st or last born...teh teh yule demu hapana aseee[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]yaani makonda haamini
ugomvi kipivi? kwani makonda kagombana nae?si kwa kichambo kile.....jamani nimemhurumia muheshimiwa nahisi kutakuwa na ugomvi mkubwa na mkewe leo kama zile tuhuma ni kweli
jambo kubwa ni lipi?khaaakhaaaaaaaaaa nampenda sana huyu dada kwa kuibua mambo kubwa za hii inji(nchi)
Hivi Nasra bado yuko na le mutuz?...nimesoma nae yule alikuwa matawi hataree wenyewe wanajiita spesho order from Airport (IFM)...kaja kuishia kwa lemutuz?!??Hahahhh dada alijua kapata pedeshee kila siku anampikia masosomoro [emoji28][emoji28]
We mtaalam wa KUCHAMBAahahaaa ila mange siku anifume anichambe yaani hatoamini atalog out milele
hivi dokta mwaka alikuwa anamtibu nani?
mbona wagonjwa ni wengi tu jamani?