Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakweli hapana!nimeanza kumsoma mange siku nyingi, tangu enzi za blog lakini kichambo cha leo kwa muheshimiwa kimevunja recodi ya vichambo vyote vilivyopita.....khaaah!!!
Mkuu niko chini ya miguu yako...hebu anzisha thread yake tutoe hii tungo tata mweeeh!
umeona alivomchamba makonda ?
Jamani Mange si mwenzie Makonda😀😀Nimeona... Aisee nimetamani nijifiche uvunguni. Maneno magumu sana kayaandika yule binti. Kamuacha uchi mwenzie.
nimeanza kumsoma mange siku nyingi, tangu enzi za blog lakini kichambo cha leo kwa muheshimiwa kimevunja recodi ya vichambo vyote vilivyopita.....khaaah!!!
hawezi kuja tena bongo .kwanza hana kitu bongoKi ukweli kwa makonda amepitiliza.mpaka una attack maisha yake binafsi.kuwa na shist kama mange ni big no kwa kweli.anaweza akakubadilikia any time.angemsema kuhusu hizo siasa ila sio na maisha yake binafsi.asije akafanyiziwa tu akija bongo.na maadui zake walivyokuwa wengi.kila mtu atakuwa the suspect
yaani kumbe dk mwaka angendelea tu kuwepoNimeona... Aisee nimetamani nijifiche uvunguni. Maneno magumu sana kayaandika yule binti. Kamuacha uchi mwenzie.
hivi dokta mwaka alikuwa anamtibu nani?Jamani Mange si mwenzie Makonda😀😀
You sealed it mkuu, jamani si vizuri kufurahia majanga lakini ubuyu huu una ladha sana😛😛😀hivi dokta mwaka alikuwa anamtibu nani?
mbona wagonjwa ni wengi tu jamani?
yaani kumbe dk mwaka angendelea tu kuwepo
Hii ya leo ni nomaaaaaKi ukweli kwa makonda amepitiliza.mpaka una attack maisha yake binafsi.kuwa na shist kama mange ni big no kwa kweli.anaweza akakubadilikia any time.angemsema kuhusu hizo siasa ila sio na maisha yake binafsi.asije akafanyiziwa tu akija bongo.na maadui zake walivyokuwa wengi.kila mtu atakuwa the suspect
Haaaa haaa haaa ...umenichekesha sana shost si kwa jibu hiliShoga mbona unanitafta ubaya [emoji28][emoji28]mange si ameshasema tumesoma
siwezi kufurahia tatizo my dear nishawai kupata majanga mimi kidogo nife na ujanja wangu nimesalimika kwa mganga wa kienyeji yaani anataka na kunioa ahahaaaYou sealed it mkuu, jamani si vizuri kufurahia majanga lakini ubuyu huu una ladha sana😛😛😀
mpaka lini?Siku zake zinahesabike
hivi nifah unakumbuka ile ya le mutuz kula hotpot zima halafu nduki chooni anawaachia harufu nyumba nzima anaaga haachi hata mia?Wewe haya weeeeee
[emoji126][emoji126][emoji126]