Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
umeona alivomchamba makonda ?Yuko hatarini mno yule binti. Mwisho wake waweza kuwa mbaya sana. Anaongea vitu vya ndani mno mpaka vinachoma nafsi ya mtu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umeona alivomchamba makonda ?Yuko hatarini mno yule binti. Mwisho wake waweza kuwa mbaya sana. Anaongea vitu vya ndani mno mpaka vinachoma nafsi ya mtu.
Mwenzangu mi mwenywe nimeshangaakumbe makonda hana mtoto jamani?
Miss u too NifahHello ladies & gents...
Wambea wenzangu [emoji23][emoji23][emoji23]
Nifah was busy like hell [emoji22][emoji22]
Lakini kwa sasa am baaaack...
Miss ya'll [emoji7][emoji7][emoji7]
Ngoja nianze kupitia ubuyu maana mmetiririkaje?
[emoji6][emoji6]
Me mpk sasa sijaelewaKiukweli hata mimi sikuelewa hapa.
Miss huu ubuyu unyooshe pls
Anzisha mkuu wangap wanaanzisha thread zake umuHalafu makonda mbona hajawahi kumjibu mange kama anavyowajibu chadema? ningekuwa na hela ya kulipa faini hii habari ningeianzishia Uzi wa kujitegemea.....
mange keshajitoa fahamu hivi hana ndugu?Mwenzangu mi mwenywe nimeshangaa
hamuelewi nini napicha niliweka wambea wenzangu?Me mpk sasa sijaelewa
Anao wengi tumange keshajitoa fahamu hivi hana ndugu?
si waongee nae au kichaa hakitibiki tena?Anao wengi tu
Na mada nimeshaisahauhamuelewi nini napicha niliweka wambea wenzangu?
Waongee nae nn Mange mtu mzima sio mttosi waongee nae au kichaa hakitibiki tena?
makonda kweli hana mtoto?Waongee nae nn Mange mtu mzima sio mtto
Waoooow nilisononeka kwakweli...you're [emoji106] welcome to join us dearHello ladies & gents...
Wambea wenzangu [emoji23][emoji23][emoji23]
Nifah was busy like hell [emoji22][emoji22]
Lakini kwa sasa am baaaack...
Miss ya'll [emoji7][emoji7][emoji7]
Ngoja nianze kupitia ubuyu maana mmetiririkaje?
[emoji6][emoji6]
Shoga mbona unanitafta ubaya [emoji28][emoji28]mange si ameshasema tumesomamakonda kweli hana mtoto?
Mkuu niko chini ya miguu yako...hebu anzisha thread yake tutoe hii tungo tata mweeeh!Halafu makonda mbona hajawahi kumjibu mange kama anavyowajibu chadema? ningekuwa na hela ya kulipa faini hii habari ningeianzishia Uzi wa kujitegemea.....
dah yaani leo nimeamini mange chizi kweliShoga mbona unanitafta ubaya [emoji28][emoji28]mange si ameshasema tumesoma