Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Ndo akome na Mange bwana akishakuweka pale wale maadui zako wote wanamtumia siri zako zote PMMaskini yule kaka atajuta kuchokonoa moto
Yaani unaanikwa Saa sita mchana jua linawaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo akome na Mange bwana akishakuweka pale wale maadui zako wote wanamtumia siri zako zote PMMaskini yule kaka atajuta kuchokonoa moto
Wenzao wanaokuja kufungukia huku Jf wanawaona mafa.la wao wanataka Magu awaone[emoji23] [emoji23] [emoji23] wakae watulie dawa iwaingieNdo akome na Mange bwana akishakuweka pale wale maadui zako wote wanamtumia siri zako zote PM
Yaani unaanikwa Saa sita mchana jua linawaka
Uko sahihi kungekuwa na tread ya mange huku ingekuwa poa ili ambao hatupiti huko IG tuwetunapata habari hapajamani na suggest kila ikifika jioni tuwe tunapata summary kutoka kwa Mange ......yaani .....KUTOKA KWA MANGE LEO!, au YALIYOJIRI KWA MANGE LEO, AMKA NA MANGE , HABARI MOTO MOTO ZA MANGE LEO...n.k au mnasemaje ?
Uko sahihi kungekuwa na tread ya mange huku ingekuwa poa ili ambao hatupiti huko IG tuwetunapata habari hapa
Kwan diamond forever aliandaa mange sio diamond mwenywe na management yake?Halafu kweli bana alikuwa anajua kutafuta mtonyo Mara diamond forever, Cayenne rest etc., .. Asa za hivi cjui kawaje au kalogwaaa?!?
Mmh mwanaume inaonekana mbea wwMange angekuwa bongo na hivi ameachika ningefanya mchakato nimuoe ili niwe napata ubuyu kitandani kabla haujaingia kwenye media!
Basi mbabe, lkn inawezekana wenzetu wanaogopa kupiga wanawake maybe kesi yake yawezekana kuwa kubwa. Lkn kwa bongo huku akithubutu aisee mbona angejuaNinge fanya mchakato nimuoe sema nasikia ni mtata balaa kuna mtu humu alisema kwamba huko majuu alisha mtandika baba mkwe
wake makofi ya uwakika mbaka akatia adabu!
Atajutraa watu wanajijua wana ndoa kumchokoza mangeMi kaniacha hoi pale anaposema huyo Beatrice anagawa papuchi bila condom[emoji15] [emoji15] ...kwi kwi kwi, mi nakwambia huko aliko bite, anajiharishia asee..
[emoji28][emoji28][emoji28]Mkuu kwani kuna tatizo na alivyo mrembo vile ningefaidi sanaView attachment 395203wanasemaga wazungu wanaakili ila yule wa mange kiazi anaacha mke mzuri na watoto anaenda kwa umaga mcheza mieleka kweli MajangaView attachment 395205
Me mwenyewe nahisi huyu dada aliahidiwa cheo kipindi cha kampeni.Na asilogwe aje bongo huyu zama za magu ataisoma number atawekwa ndani cku anaachiwa atakua bibi bhoke, atakua kashamletea mjukuu. Naona kwa kàmpeni aliaidiwa cheo kwa ajili ya kutukana naona hawakumpa naona kawageuzia kibao.
[emoji28][emoji28][emoji28]ila mange anachamba na watu wenye kuchamba hawanaga nguvu kabisaHaaa haaa mange ni shida huo wokovu wake ni balaa....asa Leo umeona mwendelezo? Anamwambia huyo Bite eti kavaa mchupi Mkubwa hajui hata bikini 2016[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji16] [emoji16] ...ha ha ha nimecheka hadi mbavuu zangu zinaumaaa
Mkuu uzuri wa mwanamke sio urembo kamwe usihadaike na umbo la nje, umbo la ndani likiwa na uchafu yaani uongo, usengenyaji, kujidai, kujiona ww ndo ww na uchafu ni heri kuwa na mtu asiye na mvuto wa nje lkn mkaelewana na kusikilizana. Kikubwa heshima tuMkuu kwani kuna tatizo na alivyo mrembo vile ningefaidi sanaView attachment 395203wanasemaga wazungu wanaakili ila yule wa mange kiazi anaacha mke mzuri na watoto anaenda kwa umaga mcheza mieleka kweli MajangaView attachment 395205
Unatumia cm ganmi nimemfollow IG na akipost napata notification sema sijui kiskrini shot basi Jana nimecheka kuna mkaka nae kachambwaa hatarii
Fungueni thread nyingninejamani na suggest kila ikifika jioni tuwe tunapata summary kutoka kwa Mange ......yaani .....KUTOKA KWA MANGE LEO!, au YALIYOJIRI KWA MANGE LEO, AMKA NA MANGE , HABARI MOTO MOTO ZA MANGE LEO...n.k au mnasemaje ?
Fungueni nyingneUko sahihi kungekuwa na tread ya mange huku ingekuwa poa ili ambao hatupiti huko IG tuwetunapata habari hapa
Kuna kitu nimegundua, kuna watu wanapenda kumuona Mange akitukana watu na hawa ndio wanaomfata DM na kumpa habari ya muhusika haijalishi ya uongo kwa chuki au ya ukweli. Ila kwa matusi ya mitandaoni tu wengine kwao mafuta. Nimeona huyo dada naye kakomaa tuMaskini mi yule Beatrice namuonea hadi huruma yaani hadi Leo kaamka nae asee..kichambo anachopewa atajiona useless duniani[emoji24] [emoji31] [emoji26]
Hilo la mchupi wengi tumetukanwa, mie mkuu siwezi kuvaa kikamba hicho yaani nitajihisi sijavaa chupi kabisa, nina mwili mkubwa basi sipati picha makalio yatakavyokuwa yakitetemeka, akuuuu mie uzungu huo unipite kwa kweliHaaa haaa mange ni shida huo wokovu wake ni balaa....asa Leo umeona mwendelezo? Anamwambia huyo Bite eti kavaa mchupi Mkubwa hajui hata bikini 2016[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji16] [emoji16] ...ha ha ha nimecheka hadi mbavuu zangu zinaumaaa
Hilo nalo neno. Hajapata wa saizi yake kwa hao. Ila kichwapanzi kamnyonyoa aisee, uwepo wa kp unamjambisha Mange muda wote[emoji28][emoji28][emoji28]ila mange anachamba na watu wenye kuchamba hawanaga nguvu kabisa
Navyosikia am not sure... Ni project yao Yeye na Mwamy, pale Dangote alipewa kikita chake 50m tu... hapo unaeza kuta ni ishu ya mwamy ila kutokana na ushost sasa na yeye anajiongezaKwan diamond forever aliandaa mange sio diamond mwenywe na management yake?