Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

wacha tu wachambwe kwanza adabu washike[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] na ndo wakome kwanza!
Mimi page yake huwa napita kupata habari maana anajua kuzipangilia sasa kuna watu huwa wanamchokonoa na yeye huwa hawaach anawapa dozi nzito nda wanakimbilia huku kumkandia
 
Mimi page yake huwa napita kupata habari maana anajua kuzipangilia sasa kuna watu huwa wanamchokonoa na yeye huwa hawaach anawapa dozi nzito nda wanakimbilia huku kumkandia
[emoji3] [emoji3] dozi heavyyyyy[emoji3] [emoji3]
Dah eti nyusi kama barabara ya kwenda chato.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Mange mchambo wake ni heavy..huyu Beatrice Leo halali. Tehe teh
alale wapi?halafu Mange haongeagi uongo haswaa siri za watu za anabwaga so Leo da bite mumew atataka ajue ukweli wotee
ndo akome!!!
Ndugu wewe unasema hakuna anaejali usije kuomba ukaingia kwenye 18 za mange harafu akapata picha yako huwa anatoa dozi ya uwakika ndo maana unakuta wengi wanaompinga mange wanajificha kwenye fekelo Harafu kwa Tanzania page yake ndio inaongoza kwa kutembelewa na watu sasa kila mtu anaona picha yako pale ukikashifiwa inakuwa noma!
anasema tu huyu Mimi hapa namjambisha humu tu Ila wee yule bwana bulldozer ndo maana kahakikisha anamkamata kichwapanzi

labda amroge[emoji3] [emoji3]
 
ataacha afanye nini?
mange hanaga akili yoyote .mtu unakaa marekani ushindwe hata kuvalisha wazee pampas upige dolar unabaki kutukana serikali mtandaoni ? yeye ni nani
kwenye wanaharakati hayupo
upinzani hayupo
yaani kabaki tu kujiua yule hana mwelekeo wa maisha tena
Halafu alikuwa mchakarikaji mtafuta hela na biashara as hapa na pale na alikuwa akiuza Leo hii naona hakuna tena.
 
alale wapi?halafu Mange haongeagi uongo haswaa siri za watu za anabwaga so Leo da bite mumew atataka ajue ukweli wotee
ndo akome!!!

anasema tu huyu Mimi hapa namjambisha humu tu Ila wee yule bwana bulldozer ndo maana kahakikisha anamkamata kichwapanzi

labda amroge[emoji3] [emoji3]
Mange angekuwa bongo na hivi ameachika ningefanya mchakato nimuoe ili niwe napata ubuyu kitandani kabla haujaingia kwenye media!
 
Ndugu wewe unasema hakuna anaejali usije kuomba ukaingia kwenye 18 za mange harafu akapata picha yako huwa anatoa dozi ya uwakika ndo maana unakuta wengi wanaompinga mange wanajificha kwenye fekelo Harafu kwa Tanzania page yake ndio inaongoza kwa kutembelewa na watu sasa kila mtu anaona picha yako pale ukikashifiwa inakuwa noma!
Ila yule mdada Mange Kimambi ana kichambo cha kufa mtu. Yaani usiombe uingie ktk 18 zake. Ni balaa. Huko instagram kuna mdada anaitwa Beatrice Condrad amepewa kichambo heavy hadi aibu. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ila yule mdada Mange Kimambi ana kichambo cha kufa mtu. Yaani usiombe uingie ktk 18 zake. Ni balaa. Huko instagram kuna mdada anaitwa Beatrice Condrad amepewa kichambo heavy hadi aibu. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu yule inatakiwa unapita kwenye page yake unapata habari mengine unamwachia mwenyewe ukijifanya unamchokonoa ndo yanakukuta kama yaliyo mkuta huyo mama!
 
Back
Top Bottom