Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Ndo hivo nikupe sasa ukweli....alikuwa anakwanguliwa na hiyo mitishamba sijui mbona madada's wengi wanajua hiyo ishu yake dear...
Weeh ya mboni sijaisikia ila najuaga aliangaika sana kuhusu kutafta mtto
 
Le new madam, Mrs Rolex, ....kashindwa kuacha vichambo....mnajua nini KP alimcheka kwamba toka kaacha kuchamba anapata comments 20 badala ya comments 400...na mange anavyopenda mashindano kaona aje na kasi mpya, ila ishu ya Makonda nimemnyanyulia mikono![emoji24] [emoji24]
 
Ila mange sijui nini anajiamin
Keishakwambia USA rais anaitwa "pussy" ( this term means female genitals).... Na hakuna sheria ya kumtorture mtu aliyemwita rais hivoo....so TZ wasijisumbue coz yy ana uraia wa marekani,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…