Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Wacha ile kwao [emoji57] [emoji57]Absolutely gen...sio siri huyu mkaka ana kiherehere sijapata ona[emoji31] [emoji31] [emoji31]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha ile kwao [emoji57] [emoji57]Absolutely gen...sio siri huyu mkaka ana kiherehere sijapata ona[emoji31] [emoji31] [emoji31]
Weeh ya mboni sijaisikia ila najuaga aliangaika sana kuhusu kutafta mtto
Aya mapya ngoja niende insta
AiseeeNdo hivo nikupe sasa ukweli....alikuwa anakwanguliwa na hiyo mitishamba sijui mbona madada's wengi wanajua hiyo ishu yake dear...
nampenda 2 kwa vyote ila sikuzuii ww au mtu mwingine kmchukia,nimemfatilia sn ndo maana nkafikia hatua ya kuwa shabiki ake!jambo kubwa ni lipi?
kuwa na shida ya uzazi?
Nenda ubuyu bado wamotooo [emoji91][emoji91][emoji91]Aya mapya ngoja niende insta
Zimefutwa mama [emoji134] [emoji134]Nenda ubuyu bado wamotooo [emoji91][emoji91][emoji91]
Hahahaha loh kama niliota imeniletea notification nika screen shot fasta kabla hata ya kusomaZimefutwa mama [emoji134] [emoji134]
Zimefutwa mama [emoji134] [emoji134]
Akiya Mungu nimepitwa na uo umbea kwahyo ana watto?Hahahaha loh kama niliota imeniletea notification nika screen shot fasta kabla hata ya kusoma
Acha tu mama si kwa mbio zileHeeee umeona kumbe na ww.....nashangaa mbona sioni kituuu!
Umefanya jambo la mbolea mwaya....ila nyie Mange safari hii anatobolewa na bisibisi la tako...ya leo kali ya mwaka aseeHahahaha loh kama niliota imeniletea notification nika screen shot fasta kabla hata ya kusoma
Hapo sijamsoma huu umbea kautoa nusu tatizo nahisi kaufuta kaona haujashiba ngoja tusubir jiwe lingineAkiya Mungu nimepitwa na uo umbea kwahyo ana watto?
So kama sijaelewa vile!... Mkuu ana watoto or hana?( according to mange?)Hahahaha loh kama niliota imeniletea notification nika screen shot fasta kabla hata ya kusoma
Na mi ndo nauliza hili swali coz sijaelewa?!?!Akiya Mungu nimepitwa na uo umbea kwahyo ana watto?
Ila mange sijui nini anajiaminHapo sijamsoma huu umbea kautoa nusu tatizo nahisi kaufuta kaona haujashiba ngoja tusubir jiwe lingine
Keishakwambia USA rais anaitwa "pussy" ( this term means female genitals).... Na hakuna sheria ya kumtorture mtu aliyemwita rais hivoo....so TZ wasijisumbue coz yy ana uraia wa marekani,Ila mange sijui nini anajiamin
Hatari hii yaweza kuwa kweli mana ubuyu ka huo unatoka kwa watu wa karibu kwa kutumia mifekero. Kwa sie wapenda ubuyu habari ni habari tu haijalishi