Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23] nimekuheshimu.Hahahaha loh kama niliota imeniletea notification nika screen shot fasta kabla hata ya kusoma
Umbea kipaji ndo mana na ww tupo woteAiseee umbea kipaji haswa. Huyo Mange ana Tija gani kwa Taifa hili hadi awe topic kihivyo?
Mboni alihangaika sana ndo nimesikia kwa wit kaponea ukoKhaaaaa watu mna umbea jamani?
Kumbe Mboni mambo yalikuwa sio mambo?
Exactly... Lile zee linaonekana linapenda lilambwe lambwe huo mwili ka kiboko halafu lisinzie...kesho yake asubuhi likwambie chtao le mbebez...[emoji15] [emoji15][emoji23][emoji23][emoji23]
Wakome nao kuhangaika na mamishion town.
Le Mutuz anaonekana sio mhudumiaji yule.
Nifah unaniangusaga sasa,nawe umejua leo!....ilitakiwa mademu wa mkoani waniulize hili swalii...[emoji31] [emoji31] [emoji31]Khaaaaa watu mna umbea jamani?
Kumbe Mboni mambo yalikuwa sio mambo?
Kukopwa vepee kashakunusisha majasho yake [emoji28][emoji28]Exactly... Lile zee linaonekana linapenda lilambwe lambwe huo mwili ka kiboko halafu lisinzie...kesho yake asubuhi likwambie chtao le mbebez...[emoji15] [emoji15]
Yaan kamattack personally, inaonekana kuna kitu wamesiganaumeona alivomchamba makonda ?
nimemchoka mbaliTatizo umbea mwingi mjini hapa,halafu Mboni sio star kihivyo zaidi ya udada wa mjini tu.
Too much, naona kadelete kabisa, yaani aisee inaonyesha kuna jambo nyuma ya pazia. Anatumia mwanya wa politics kutoa dukuduku lakeKiukweli hii ya Makonda hapana aiseee...ni too much [emoji134]
Nahisi ameoa miaka ya hivi karibuni. Na kuzaa ni mipango ya wawili na sijawahi fuatilia kama ana mtoto au lamakonda kweli hana mtoto?
kwani kuoa ni kuzaa?Nahisi ameoa miaka ya hivi karibuni. Na kuzaa ni mipango ya wawili na sijawahi fuatilia kama ana mtoto au la
kwani kuoa ni kuzaa?