Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukisoma vzr post yangu utaona sentensi kuwa na kuzaa ni mipango ya wawili mkuu, so swali lako jibu liko kulekwani kuoa ni kuzaa?
Kukopwa vepee kashakunusisha majasho yake [emoji28][emoji28]
Jamaa yukoje mkuu?Binamu, yan umbea wangu wote nilikua sijui kama mange alizaa na frank gonga, jaman nimeshangaa,kumbe ndo baba bhoke?? Duh nawaza hapa ilikuaje kuaje maana jamaa duh
le mbebezi ni Olivia Pope wa bonge.....Heeeee..le mutuz katekenywa takoo, katokea wapi au ndo usuper friend?!?! hili lizee mbwiga tuu...walahi cku haipiti linanyooshwa na Mrs Rolex ,
Yy ndo mlaji tigo na anaonekana ana duydu kubwa si wamechanwa jamaanKwahiyo nae anafumuliwa?Yarabiiiii [emoji24][emoji24][emoji24]
le mutuz ni Olivia Pope wa bongo....yupo kwa ajili ya kusave reputation za watu....haa haa haaHeeeee..le mutuz katekenywa takoo, katokea wapi au ndo usuper friend?!?! hili lizee mbwiga tuu...walahi cku haipiti linanyooshwa na Mrs Rolex ,
Ni kweli, lemutuz hajadanganya binamu, ngoja ntakupa umbea Wa mastaa wote aliolala nao ,aaah aaah uwii nilikua sijui kama n baba watoto Wa mange,yan ningekua nishamwaga ubuyu zamanUwiiiiiiiii jamani jamani!
Kweli binamu una haki ya kushtuka.
Mimi sikutegemea hizi taarifa,na vile alivyo gentleman [emoji22][emoji22][emoji134][emoji134].
Kumbe ndio maana leo Le Mutuz kamtukana Mange kuwa baba mtoto wake ni shoga?
Mhhhhh nilitafakari hili jambo sana.
Shoga hata Mbona Masimba mtoto wake alimpatia palee..yy mwenyewe kwa mdomo wake anakiri...
Uwiiiii binamu nilikuwa nasinzia usingizi wote umekata ujue?Ni kweli, lemutuz hajadanganya binamu, ngoja ntakupa umbea Wa mastaa wote aliolala nao ,aaah aaah uwii nilikua sijui kama n baba watoto Wa mange,yan ningekua nishamwaga ubuyu zaman
ahahaa eheheeeKwahiyo nae anafumuliwa?Yarabiiiii [emoji24][emoji24][emoji24]
Ohoooooo pamekucha huku tena![emoji134][emoji134][emoji134]
Sasa tuamini ukweli upi jamani?
Maana hapo anesha onyesha ni kweli Makonda hana Mtoto.....Huyo lemutuzz ndo anamponza makonda zaidi maana ufukunyuzi utazidi kazi anayo atakua ka shamimu
yaani kuna mtu mjini hapa hajui frank gonga ndo baba bhoke?Miss kwani vepeeeee?
Tulia tupewe ubuyu na m/kiti wa ubuyu JF na Afrika Mashariki [emoji23][emoji23][emoji23]