Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Kwani atakuambia shoga?Ohoooo mjini hapa.
sasa kwenda kwa mwaka ni ajabu kwani?! Na Mtu huwezi kuzaa mpaka uwende huko ?! Ujaona watu wanakaa kwenye Ndoa miaka 10 akitoka hapo baada Ya mwaka anazaa Na mwanaume nae hivyo hivyo
 
Uwiiiii binamu nilikuwa nasinzia usingizi wote umekata ujue?
Nipe huo ubuyu basi mpenzi [emoji39][emoji39][emoji39]

Halafu wewe mzinguaji kinoma,uliniambia nikutumie namba nikakutumia uniunganishe kwenye umbea hadi leo kimya [emoji45][emoji45]
Hukutuma namba bhna binamu
 
sasa kwenda kwa mwaka ni ajabu kwani?! Na Mtu huwezi kuzaa mpaka uwende huko ?! Ujaona watu wanakaa kwenye Ndoa miaka 10 akitoka hapo baada Ya mwaka anazaa Na mwanaume nae hivyo hivyo
Hakuna ajabu,nawe usikatae Mboni kwenda kwa Mwaka kusaka tiba mbadala.
 
Weeeee huku kutafutana ubaya sasa.
Sio case,ngoja nifanye hivyo tena.
Poa nimeona, binamu nimeingia insta kwa mange daaah. Yule mwanamke ni kichaa jaman, sijui kusoma Dubai na kuolewa na Mzungu US ndo kunampa jeuri hivi huyu mwanamke, maana anajiamini hatar, huyu mange sio Wa kawaida, kuna watu wakubwa wanamlinda maana sio kwa kutumbua majipu Kyle, ajaajaja
 
Poa nimeona, binamu nimeingia insta kwa mange daaah. Yule mwanamke ni kichaa jaman, sijui kusoma Dubai na kuolewa na Mzungu US ndo kunampa jeuri hivi huyu mwanamke, maana anajiamini hatar, huyu mange sio Wa kawaida, kuna watu wakubwa wanamlinda maana sio kwa kutumbua majipu Kyle, ajaajaja
leta file la baba bhoke kwanza
 
Ni kweli, lemutuz hajadanganya binamu, ngoja ntakupa umbea Wa mastaa wote aliolala nao ,aaah aaah uwii nilikua sijui kama n baba watoto Wa mange,yan ningekua nishamwaga ubuyu zaman
Duh, kumbe sheeda ee, au ndo mashoga wanaoendaga gym ee, maana mwili umejengeka kimazoezi
 
Back
Top Bottom