Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasemaje?Wengine tunatumia simu.
[emoji39] we shunie[emoji28][emoji28][emoji28]watu wana moyo Nifah si kwa mwili ule ulaliwe halafu uachiwi ata mia
Binamu, yan umbea wangu wote nilikua sijui kama mange alizaa na frank gonga, jaman nimeshangaa,kumbe ndo baba bhoke?? Duh nawaza hapa ilikuaje kuaje maana jamaa duh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sky Eclat wewe ni jipuuuu.
Nimecheka sana.
Beeh[emoji39] we shunie
Jamaan warumi ata picha huoni walivyofanana hivi shoga aliyemaanisha lembebez sijui nan aliyezaa na mangeBinamu, yan umbea wangu wote nilikua sijui kama mange alizaa na frank gonga, jaman nimeshangaa,kumbe ndo baba bhoke?? Duh nawaza hapa ilikuaje kuaje maana jamaa duh
Kuna video clips zipo za joti anaenda dukani kutafuta vilainishi na anakosa mkuuHivi na Joti wana ugomvi gani na Mange? Manake naye kaambiwa ana stress za kukosa 'kilainishi'[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
Mchonganishi tu na maybe ana agender yake ya siri ya kuisambaratisha ndoa ya Makondakama zile tuhuma ni za kweli mheshimiwa atahisi mkewe kazitoa nje!! we hujaona mange anadai wife wake eti alikuwa analalamika
Uwiiiiii Binamu nitakuchapaaaaa!Binamu, yan umbea wangu wote nilikua sijui kama mange alizaa na frank gonga, jaman nimeshangaa,kumbe ndo baba bhoke?? Duh nawaza hapa ilikuaje kuaje maana jamaa duh
If You Speak The Truth, You Die, You Tell Lies, You’ll Still DieInasemaje?Wengine tunatumia simu.
Ndo maana nilikua naona picha za bhoke akipiga na gonga sasa nikajua tu labda wamefanana sio Wa mange,ndo unanitoa ushamba hvyo, huyo gonga Nina file lake kitambo tu,yan namjua vzur,aaaah ngoja binamu nitarud,wacha pressure ishuke kwanzaUwiiiiii Binamu nitakuchapaaaaa!
Huoni yule Bhoke anavyofanana na huyo Frank?
Haya hayo mambo yake baba Bhoke yanayokugunisha mambo gani?
Tupe ubuyu binamu [emoji39][emoji39]
ahahaaa asante ndugumkuu napenda signature yako.lol
KajishtukiaHapo sijamsoma huu umbea kautoa nusu tatizo nahisi kaufuta kaona haujashiba ngoja tusubir jiwe lingine
nasikia ni top flani amaizingNdo maana nilikua naona picha za bhoke akipiga na gonga sasa nikajua tu labda wamefanana sio Wa mange,ndo unanitoa ushamba hvyo, huyo gonga Nina file lake kitambo tu,yan namjua vzur,aaaah ngoja binamu nitarud,wacha pressure ishuke kwanza
Dah, huyo jamaa kawamaliza sana vijana Wa watu,anapenda Tigo balaa bora mange alivyomkimbia , yan Nina file lake zitoooo mpaka natetemeka,aaah ngoja niombe ruksa kwa dada mange kwanzanasikia ni top flani amaizing
sema nampenda sana frank mtu peace sana japo anafumuana marinda mjiniDah, huyo jamaa kawamaliza sana vijana Wa watu,anapenda Tigo balaa bora mange alivyomkimbia , yan Nina file lake zitoooo mpaka natetemeka,aaah ngoja niombe ruksa kwa dada mange kwanza
Makonda ni best ake [emoji3] [emoji3] [emoji3]Hahahaha kazi imeanza,jibu la mange linakuja soon ,lemutuz nae bwana anajiingiza kwa yasiyomuhusu, dozi yake soon inakuja
Anajua kuwa watanzania ni mbululaz ndo maana anatuendesha nasi tunaingia kumjadili so anapata kile alichokihitaji, kuwa topic of the dayAiseee umbea kipaji haswa. Huyo Mange ana Tija gani kwa Taifa hili hadi awe topic kihivyo?
Aaah umbea uliupata wapi? Kumbe na wewe unamjuasema nampenda sana frank mtu peace sana japo anafumuana marinda mjini
Uwiiiiiiiii jamani jamani!Dah, huyo jamaa kawamaliza sana vijana Wa watu,anapenda Tigo balaa bora mange alivyomkimbia , yan Nina file lake zitoooo mpaka natetemeka,aaah ngoja niombe ruksa kwa dada mange kwanza