Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Heeeee..le mutuz katekenywa takoo, katokea wapi au ndo usuper friend?!?! hili lizee mbwiga tuu...walahi cku haipiti linanyooshwa na Mrs Rolex ,
le mutuz ni Olivia Pope wa bongo....yupo kwa ajili ya kusave reputation za watu....haa haa haa
 
Screenshot_2016-09-08-22-08-21.png
Screenshot_2016-09-08-22-08-28.png
 
Uwiiiiiiiii jamani jamani!
Kweli binamu una haki ya kushtuka.
Mimi sikutegemea hizi taarifa,na vile alivyo gentleman [emoji22][emoji22][emoji134][emoji134].
Kumbe ndio maana leo Le Mutuz kamtukana Mange kuwa baba mtoto wake ni shoga?
Mhhhhh nilitafakari hili jambo sana.
Ni kweli, lemutuz hajadanganya binamu, ngoja ntakupa umbea Wa mastaa wote aliolala nao ,aaah aaah uwii nilikua sijui kama n baba watoto Wa mange,yan ningekua nishamwaga ubuyu zaman
 
Shoga hata Mbona Masimba mtoto wake alimpatia palee..yy mwenyewe kwa mdomo wake anakiri...

Acha uwongo namjua Mboni haswa Na nimtu wangu wa Karibu hajawahi hata kanyaga hapo kwa mwaka...ni wakat tu mungu kamjaalia
 
Ni kweli, lemutuz hajadanganya binamu, ngoja ntakupa umbea Wa mastaa wote aliolala nao ,aaah aaah uwii nilikua sijui kama n baba watoto Wa mange,yan ningekua nishamwaga ubuyu zaman
Uwiiiii binamu nilikuwa nasinzia usingizi wote umekata ujue?
Nipe huo ubuyu basi mpenzi [emoji39][emoji39][emoji39]

Halafu wewe mzinguaji kinoma,uliniambia nikutumie namba nikakutumia uniunganishe kwenye umbea hadi leo kimya [emoji45][emoji45]
 
Acha uwongo namjua Mboni haswa Na nimtu wangu wa Karibu hajawahi hata kanyaga hapo kwa mwaka...ni wakat tu mungu kamjaalia
Ohoooooo pamekucha huku tena![emoji134][emoji134][emoji134]
Sasa tuamini ukweli upi jamani?
 
Ohoooooo pamekucha huku tena![emoji134][emoji134][emoji134]
Sasa tuamini ukweli upi jamani?

Na uhakika asilimia100 toka mimba ndogo najua na aliniambia anamshukuru mungu kwa kumjaalia baada Ya kumlilia kwa mda mrefu...uyo mwaka katokea wp...
 
Na uhakika asilimia100 toka mimba ndogo najua na aliniambia anamshukuru mungu kwa kumjaalia baada Ya kumlilia kwa mda mrefu...uyo mwaka katokea wp...
Kwani atakuambia shoga?Ohoooo mjini hapa.
 
Back
Top Bottom