Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Sasa kuna siku alisema hakuna mtanzania anaeishi marekani anaweza kununua nyumba Kama yake, sasa nikawa nasubiri niione hilo lijumba la kifahari hahahaaaa yani alitakiwa kusema hakuna mtanzania anaishia kwenye nyumba mbaya Kama yake marekani nzima, nyumba yenyewe haionekani ni nje tuu na nje kwenyewe ufa umepasuka pasuka kuliko nyumba aloicheka ya mamake Lemutuz! Demu mshamba Sana mie nilikuwa nasubiri aonyeshekicho kinyumba cha mkopo ndio nimwambie nani na nani wana majumba na wako kimya.
 
Alipata hela za nyumba ya marehemu babake ilikuwa Kinondoni Dr Mwele alimpigia debe Sana angalau apate kidogo basi ndio kufika marekani akanunua Cayenne na kufungua biashara ya Bongolicious akawa anawashonesha kina fundi Bakari wa kinondonimwisho wa siku wakagombana alishindwa kkuwalipa, unaambiwa alifika marekani akaenda mall kununua viatu pairs Kama 4 za Kama $1,000 kila kiatu hahaha hela alipata Kama millions 50 ziliisha biashara zikaanza kufa
 
By the way ile Cayenne alikuwa ana finance aliweka down na ilikuwa kwa jina la Lance maana alikuwa hana credit history yoyote.
 
Sasa kuna siku alisema hakuna mtanzania anaeishi marekani anaweza kununua nyumba Kama yake, sasa nikawa nasubiri niione hilo lijumba la kifahari hahahaaaa yani alitakiwa kusema hakuna mtanzania anaishia kwenye nyumba mbaya Kama yake marekani nzima, nyumba yenyewe haionekani ni nje tuu na nje kwenyewe ufa umepasuka pasuka kuliko nyumba aloicheka ya mamake Lemutuz! Demu mshamba Sana mie nilikuwa nasubiri aonyeshekicho kinyumba cha mkopo ndio nimwambie nani na nani wana majumba na wako kimya.

Nyumba yake ni kama hii?

20160619_093220.jpg
 
Nyani Ngaburadhit: 16631736 said:
Nyumba yake ni kama hii?

View attachment 359834

Aiseee mkuu muwie radhi, angekuwa na nyumba Kama hiyo tungekomaaaaa! Nyumba yake mkuu nakuhakikishia hujui mtu anayekaa kwenye nyumba Kama yake, yani ni mbovuu kwanza ni single story lakini yeye anaiita mansion lol.
 
Hata kinondoni kuna afadhali, huwezi amini kama ni mamtoni mamen in Lemutuz voice ha ha haa
 
Ha ha haha mansion za Culver City jamanii niache niishi zangu Texas tu.

Hahaaaa nyie watu bana.

Hivi huo ugomvi hauishagi tu?

Manake mambo huwa yanapoa halafu yanarudi tena.

Sasa naona yamerudi tena.

Khatari kweli kweli yaani!
 
Mkuu huyo dada ni shidaa ndio maana watu tunafurahi, ana matusi ya hadharani usiombe akutukane au amtukane mtu unaye mfahamu anatukana hadi watoto wadogo hajali kwa ufupi, mie ni mmoja wao wanaofurahia aachike na nilishasema humu, alimtukana Sana cousin mpaka Baba yake mama yake alikuwa mjamzito akatukana hadi mimba ukimuuliza kisa, utasikia alikuwa rafiki na maadui zake. Wamkomeshe tuu na mume amnyanganye na watoto maana hayuko stable matusi 24/7 sijui hata anawapikia saa ngapi.
 
Then akaja akadai nyumba yake ni zaidi ya million dollars akapost hii View attachment 359851
Huwa si-comment sana kwenye ukumbi huu ingawa huwa ninausoma hapa na pale; hata hivyo itabidi nikoment kidogo kuhusu huyu mama. Aliwahi kuandika mambo mengi sana kuhusu maisha yake marekani kama vile wabongo wengine waliotangulia huku hawajui kitu. Aliandika kuwa watoto wake wanasoma shule ambazo wao tu ndio weusi- kama hiyo ni sifa, bila kujua kuwa kuwa wabongo wanaofundisha vyuo vikuu ambavyo wanafunzi wote kwenye darasa ni weupe. Halafu akawa anafuatilia personal lives za watanzania fulani pale Atlanta na kuyaanika mtandanoni mpaka ikafikia kuudhi kupita kiasi. Leo hii anapoonyesha nyumba yake ya ya vyumba vitatu na bathroom moja ni dhahiri kuwa hayajui maisha ya kimarekani ila anayarukia tu. Mtu mwenye familia iliyokamilika hawezi kuishi kwenye nyumba hiyo kwa sababu hawezi kuchangia choo na watoto. Driveway yenyewe ni nyufa utadhani imepigwa mabomu; huenda hiyo siyo nyumba yake. Neighborhood yenyewe inaonekana kama zile za welfare. Nadhani kosa lake kubwa sana limekuwa ni lile la kujitangaza kwa upuuzi. Angekaa kimya kama wengine huenda hakuna ambaye angekuwa na interest za kujua maisha yake yakoje.
 
Huwa si-comment sana kwenye ukumbi huu ingawa huwa ninausoma hapa na pale; hata hivyo itabidi nikoment kidogo kuhusu huyu mama. Aliwahi kuandika mambo mengi sana kuhusu maisha yake marekani kama vile wabongo wengine waliotangulia huku hawajui kitu. Aliandika kuwa watoto wake wanasoma shule ambazo wao tu ndio weusi- kama hiyo ni sifa, bila kujua kuwa kuwa wabongo wanaofundisha vyuo vikuu ambavyo wanafunzi wote kwenye darasa ni weupe. Halafu akawa anafuatilia personal lives za watanzania fulani pale Atlanta na kuyaanika mtandanoni mpaka ikafikia kuudhi kupita kiasi. Leo hii anapoonyesha nyumba yake ya ya vyumba vitatu na bathroom moja ni dhahiri kuwa hayajui maisha ya kimarekani ila anayarukia tu. Mtu mwenye familia iliyokamilika hawezi kuishi kwenye nyumba hiyo kwa sababu hawezi kuchangia choo na watoto. Driveway yenyewe ni nyufa utadhani imepigwa mabomu; huenda hiyo siyo nyumba yake. Neighborhood yenyewe inaonekana kama zile za welfare. Nadhani kosa lake kubwa sana limekuwa ni lile la kujitangaza kwa upuuzi. Angekaa kimya kama wengine huenda hakuna ambaye angekuwa na interest za kujua maisha yake yakoje.

Na anajiona mjanja Sana watu tuko huku miaka inaenda 18 analeta dharau eti hakuna mtanzania ana mansion kama yake, jamani that's her mansion ni fedheha ujue na kinyumba chenyewe 3bedrooms 1bath? Ebu angalia gate jamani pembeni sijui ndio storage au Choo cha nje mie nakumbuka sehemu Kama anayoishi huyo dada ni Kama maeneo flani ya wamexico au wale wanugu wandanii ebu angalia nyumba utadhani mtu yuko hood ya Oakliff Dallas shenzi taipu.
 
Sibiri aje mwenyewe mbona utamkimbia
Tatizo la huyu dada jamani ukikorofishana nae wewe anaichamba familia yenu yooote habakizi mtu mpaka wafuuuu anawafufua na kuwachamba mpaka majirani ikimbidi
 
Loh hivi ni kweli kaachwa? Mi nlijua ni maneno tu ya wabaya wake. Na kuhusu huzuni ya leo sio lazima iwe ni kwaajili hiyo...yapo mengi mtu anayapitia inawezekana ni jambo jingine kabisaa
Huyu dada katumia nguvu nyingi sana kujitafutia maadui tena wakubwa wakubwa, asipoangaliwa kwa karibu anaweza kujimurder, na kama ni kweli kaachwa tena, hali yake lazima iwe mbaya
 
Teh teh teh nyie wa Atlanta huyo Mange hawaonei... Jisomeni wenyewe hapo.. Yaani yule anayepigaga kelele humu US Baby anakaa Kigoma ya US teh teh

c590e5432.png
city_salary_static.png
 
Hahahahaaa Mange kafuta ile picha anayolia jamani!
Nani alikuambia upost?
Si umesema sio vibaya kushare huzuni zako kama unavyoshare ukiwa na furaha?
Wambea tulishanyaka screenshots zamaaaaani,pole!
Stress zitakuua mama,rudi nyumbani tu.
2ade5ce25f5d86cc0eb627ad9b6b64c5.jpg
Hahahahaaaa nifah acha kumchamba mwenzako, leo ndio nimeamini kuwa huyu mtu kaachwa baada ya kukiri kwa mwandiko wake, lakini kasema ameshapata kibabu chake cha kumuweka mjini hivyo mnaomsubiri arudi bongo tafuteni vigoda mkae. Anahasira huyoooo!
 
Back
Top Bottom