Paula kilaki
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 1,909
- 1,290
Me kwanza najiuliza huyo mwanaume alivumiliaje kuishi na mange hata mpaka kumzalia watoto wawili, vile alivyo mchafu jamani.Mi nashangaa hata wazungu wanaacha wanawake!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me kwanza najiuliza huyo mwanaume alivumiliaje kuishi na mange hata mpaka kumzalia watoto wawili, vile alivyo mchafu jamani.Mi nashangaa hata wazungu wanaacha wanawake!
Shoga nipo nafuatilia movie huko instagram,imefikaje patamu?Hahahahaaaa nifah acha kumchamba mwenzako, leo ndio nimeamini kuwa huyu mtu kaachwa baada ya kukiri kwa mwandiko wake, lakini kasema ameshapata kibabu chake cha kumuweka mjini hivyo mnaomsubiri arudi bongo tafuteni vigoda mkae. Anahasira huyoooo!
Umeonaeee huyu kichwa panzi shkamoo zake, akina linda acheni wasoundishe ma moet na glass zenye viuno vigongeshweeShoga nipo nafuatilia movie huko instagram,imefikaje patamu?
Kichwapanzi simuwezi...ni hatareeee!
Me kwanza najiuliza huyo mwanaume alivuaje kuishi na mange hata mpaka kumzalia watoto wawili, vile alivyo mchafu jamani.
Kaniudhi jamani huyu shetani Mange kaanza kumtukana tena Hoyce.Umeonaeee huyu kichwa panzi shkamoo zake, akina linda acheni wasoundishe ma moet na glass zenye viuno vigongeshwee
Mwenyewe anakuambia haachwi mtu...Yani nadhani uchawi kweli unafanya kazi katukana watu usiku wa manane miaka nenda rudi huyu baba kagundua sasa au? Kweli mavumba yanamwisho sasa ajipange kutafuta mzungu mwingine maana wao ndio wanawezana na ule uvundo wake.
Kashatumbua. ..huko nenda kwa panzi au kwake.yaani huyu kichwa panzi kamuweza.kichwapanzi is the Beast! !!!! Mpaka kakubali...jamani kweli kilakitu kinamwisho..tena mwisho mbayaaaaMwenyewe anakuambia haachwi mtu...
Soon anatumbua jipu la karne.
Movie imefika patamu hatareeeee...
Kaniudhi jamani huyu shetani Mange kaanza kumtukana tena Hoyce.
Mdada wa watu mpole wala hanaga madrama ya kwenye social networks.
Si adeal na Rachel mwenyewe?
Yakimzidia anamuandama Hoyce ili Rachel aache sababu ya dada yake anavyodhalilishwa.[/QUOTE
]jamani akiudhiwa huko anaenda kwa hoyce. ..nimesikitika acha tu.
Hunishindi mimi...sijui dada wa watu kamfanya nini...anaendelea tu kumbully.Kaniudhi jamani huyu shetani Mange kaanza kumtukana tena Hoyce.
Mdada wa watu mpole wala hanaga madrama ya kwenye social networks.
Si adeal na Rachel mwenyewe?
Yakimzidia anamuandama Hoyce ili Rachel aache sababu ya dada yake anavyodhalilishwa.
Yaani kichwapanzi anahitaji gold medal..si kwa info zile.hakuna mtu aliyekua anamuweza ...sasa kapatikanaShoga nipo nafuatilia movie huko instagram,imefikaje patamu?
Kichwapanzi simuwezi...ni hatareeee!
Officially single mother of 3Yani nadhani uchawi kweli unafanya kazi katukana watu usiku wa manane miaka nenda rudi huyu baba kagundua sasa au? Kweli mavumba yanamwisho sasa ajipange kutafuta mzungu mwingine maana wao ndio wanawezana na ule uvundo wake.
hahaha umo sawaWaoane na lemutuz
SAA Tisa usiku jipu limetumbuliwa kweli kaachwa,mpk nilisisimka mwili dduuhhh!!Mwenyewe anakuambia haachwi mtu...
Soon anatumbua jipu la karne.
Movie imefika patamu hatareeeee...
Ila anajpa moyo kua she is happyKashatumbua. ..huko nenda kwa panzi au kwake.yaani huyu kichwa panzi kamuweza.kichwapanzi is the Beast! !!!! Mpaka kakubali...jamani kweli kilakitu kinamwisho..tena mwisho mbayaaaa