Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Hahahahaaaa nifah acha kumchamba mwenzako, leo ndio nimeamini kuwa huyu mtu kaachwa baada ya kukiri kwa mwandiko wake, lakini kasema ameshapata kibabu chake cha kumuweka mjini hivyo mnaomsubiri arudi bongo tafuteni vigoda mkae. Anahasira huyoooo!
Shoga nipo nafuatilia movie huko instagram,imefikaje patamu?
Kichwapanzi simuwezi...ni hatareeee!
 
Me kwanza najiuliza huyo mwanaume alivuaje kuishi na mange hata mpaka kumzalia watoto wawili, vile alivyo mchafu jamani.

Yani nadhani uchawi kweli unafanya kazi katukana watu usiku wa manane miaka nenda rudi huyu baba kagundua sasa au? Kweli mavumba yanamwisho sasa ajipange kutafuta mzungu mwingine maana wao ndio wanawezana na ule uvundo wake.
 
Umeonaeee huyu kichwa panzi shkamoo zake, akina linda acheni wasoundishe ma moet na glass zenye viuno vigongeshwee
Kaniudhi jamani huyu shetani Mange kaanza kumtukana tena Hoyce.
Mdada wa watu mpole wala hanaga madrama ya kwenye social networks.
Si adeal na Rachel mwenyewe?
Yakimzidia anamuandama Hoyce ili Rachel aache sababu ya dada yake anavyodhalilishwa.
 
Yani nadhani uchawi kweli unafanya kazi katukana watu usiku wa manane miaka nenda rudi huyu baba kagundua sasa au? Kweli mavumba yanamwisho sasa ajipange kutafuta mzungu mwingine maana wao ndio wanawezana na ule uvundo wake.
Mwenyewe anakuambia haachwi mtu...
Soon anatumbua jipu la karne.
Movie imefika patamu hatareeeee...
 
Hiii inawafaaa wadada wengine umbea na kuanza kuchambuana hatuwezi. God is da only judge.
 
Mwenyewe anakuambia haachwi mtu...
Soon anatumbua jipu la karne.
Movie imefika patamu hatareeeee...
Kashatumbua. ..huko nenda kwa panzi au kwake.yaani huyu kichwa panzi kamuweza.kichwapanzi is the Beast! !!!! Mpaka kakubali...jamani kweli kilakitu kinamwisho..tena mwisho mbayaaaa
 
Kaniudhi jamani huyu shetani Mange kaanza kumtukana tena Hoyce.
Mdada wa watu mpole wala hanaga madrama ya kwenye social networks.
Si adeal na Rachel mwenyewe?
Yakimzidia anamuandama Hoyce ili Rachel aache sababu ya dada yake anavyodhalilishwa.[/QUOTE
]jamani akiudhiwa huko anaenda kwa hoyce. ..nimesikitika acha tu.
 
Kaniudhi jamani huyu shetani Mange kaanza kumtukana tena Hoyce.
Mdada wa watu mpole wala hanaga madrama ya kwenye social networks.
Si adeal na Rachel mwenyewe?
Yakimzidia anamuandama Hoyce ili Rachel aache sababu ya dada yake anavyodhalilishwa.
Hunishindi mimi...sijui dada wa watu kamfanya nini...anaendelea tu kumbully.
 
Yani nadhani uchawi kweli unafanya kazi katukana watu usiku wa manane miaka nenda rudi huyu baba kagundua sasa au? Kweli mavumba yanamwisho sasa ajipange kutafuta mzungu mwingine maana wao ndio wanawezana na ule uvundo wake.
Officially single mother of 3
 
  • mapya2Tabata kwa kora TBT enzi zangu. duh hii siku tulikua na maongezi mazuri sanaaa. kwa kweli hii familia ya baba Kenzo ni watu wazuri jamani. hawana makuu hawa watu. hapo wananieka chini wananiuliza mbona huyu Nduguyako anapenda show off sana. anapenda maisha kuliko uwezo wetu . anapenda mashindano ,hatulali kwa mawazo juu ya mtoto wetu .kajiingiza kwenye madeni makubwa kwa gari tuu.sisi wazee wake hatuna hayo magari. why kila kitu lazima apige picha aweke anamuonyesha nani life style yake.? kuna watu anashindana nao? nikamtetea enzi hizo kuwa anapenda picha. wakajibu kama anapenda picha why hapigi flowers or animals or gardens yeye anapiga akiwa anakula or hotelini hata kama mnapita tu kwa gari ataomba istop ashuke apige picha pretending yuko hapohio sio kupenda picha huo hio ni showing off lol wakwe hata hawaelewii sasa sipati picha now bwana Lance na madeni alokuwa nayo mpaka wazazi kuuza hii nyumba na alikuwa wanaipenda balaaa duh.. wangekuwa wazazi wengine washasusa au hawataki kujua habari zao umeoa mwanamke anatamaa kama nini ila hawa wanawastiri wajuukuu zao. Mungu awasaidie..
 
Mwenyewe anakuambia haachwi mtu...
Soon anatumbua jipu la karne.
Movie imefika patamu hatareeeee...
SAA Tisa usiku jipu limetumbuliwa kweli kaachwa,mpk nilisisimka mwili dduuhhh!!
Kashatumbua. ..huko nenda kwa panzi au kwake.yaani huyu kichwa panzi kamuweza.kichwapanzi is the Beast! !!!! Mpaka kakubali...jamani kweli kilakitu kinamwisho..tena mwisho mbayaaaa
Ila anajpa moyo kua she is happy
mi nauliza kuna talaka nzuri na km nzur?kwa nn alikua hataki watu wajue?maana ye tushamzoea in MTU wa show off...!!na mpk lance anafkia kuside na her enemies yaonyesha mwanaume alishachoka akaona bora asema tu!
kuna kitu wanaadamu tunapaswa tujifunze 'karma is there always"
Mange ameliza wengi mnoo na ye ndo bingwa wa kushadadia wenzie pindi waachikapo,Leo yy anafarijiwa na vile vishabiki maandaz vya IG vingi vimbea vimbea vitoto vya chuo visivyojua life or even how to earn bread and also wanahongwa kila kitu!
mi nimemsikitikia km mwanamke mwenzangu maana talaka yauma jamani ndo maana alifanya siri !
Tujifunze kua na akiba ya maneno walimwengu.
 
Back
Top Bottom