iloveguinness
Senior Member
- Oct 31, 2010
- 176
- 90
Ha ha ha Lemutuz tena?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mange ni very emotional unstable,wallahi ni si kwa kuweka ma evidence ya talaka yake na matatizo yake na mmewe namna ile,kweli watu we differ,mimi hata iweje siwezi kamwe kufanya kitu kama kile,maana then what,for who,
unakumbuka nilipokuwa namchana Lemutuz ulinishukia kama mwewe ,mkuu kuna watu wanatakiwa kupewa laana si maombi Lemutuz plus Mange baba moja tuNi furaha kubwa huyu dada kupata matatizo na naomba Mungu yaendelee kuongezeka mpaka awe kichaa. Mungu sikia maombi yangu.
Nenda insta account ya kichwapanziiii,utaona yaani mpaka huruma au ingia account ya mapya 2 ,from there utaona kapost account ya kichwapanzii,uingie, jamani mpaka huruma, mange nilijua ni bonge la mgumu, kumbe hamna kituMwenzio sikuona alipopost . Kama kuna mtu aliscreen shot basi aweke hapa na sisi tuone kuanguka kwa idd amin wa LA
Mwenzio sikuona alipopost . Kama kuna mtu aliscreen shot basi aweke hapa na sisi tuone kuanguka kwa idd amin wa LA
Nenda insta account ya kichwapanziiii,utaona yaani mpaka huruma au ingia account ya mapya 2 ,from there utaona kapost account ya kichwapanzii,uingie, jamani mpaka huruma, mange nilijua ni bonge la mgumu, kumbe hamna kitu
Nifah unakumbuka mama mwanzo wa huu uzi tulisema kwamba hakuna marefu yasiyo na ncha?? Wakatokea watetezi na Mange mwenyewe kutuchamba, wakakusababishia hadi ban mdogo wangu tukasema okay wacha muvi iendelee, tuka keep low profile..kiko wapi sasa..kwa mwandiko wake kajivua hadi kufuliShoga nipo nafuatilia movie huko instagram,imefikaje patamu?
Kichwapanzi simuwezi...ni hatareeee!
Bi polarity ya yule shangazi ndo inaleta yote haya,huwa anatulia kidogo vikimuwasha anarudi tena.mtu ukishajijua una ugonjwa au kasoroflani unatakiwa ujifunze kuwa mpoleHahaaaa nyie watu bana.
Hivi huo ugomvi hauishagi tu?
Manake mambo huwa yanapoa halafu yanarudi tena.
Sasa naona yamerudi tena.
Khatari kweli kweli yaani!
Alishasema kwenye globu tena bila kupindisha maneno alisema mchawi ni Shamim.Huyu hakika kesha rogwa