Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Uwiiiiiii jamani jamani!
Million 25 kununua handbag?
Jamani Mange ana kufuru nyie?
Mimi nikinunua handbag zaidi ya 50,000 roho inaumaje?
mimi ninayo ya elf 50 yaani naitumia kwa machale hadi basi ahahaa
 
unajua whatsup saa zingine unakuwa upo kwenye magroup ya kipuuzi watu wanakupigia simu ovyo
Kwenye magroup nipo strictly sana.
Nina magroup mawili 2,family na siasa.

Hayo mengine nikiungwa naleft ndani ya dakika 5!

Hivyo huwa sipati usumbufu kabisa.
 
mimi ninayo ya elf 50 yaani naitumia kwa machale hadi basi ahahaa
Mimi ninazo naombwa mpaka nanuniwa na watu.
Huwa natoka nazo mara chache sana,ninavyozipenda huwa naomba Mungu siku mama yangu asiniombe maana utakuwa mtihani!
 
Jamani natoa rai tufunge na kusali kumuombea mmbea mwenzetu KP asiwe ndio yeye aliyekamatwa.

Maana yeye pekee ndiye aliyeweza kuuangusha mbuyu ulioshindikanika Mange.

Mwenzangu yule mmama anayesema ndio KP...mhhhh!
Wale malady wa mjini walisema watamuwekea KP advocate.
 
Tusubilie kwakweli hilo bomu ila me sa nyngne namuonea huruma KP akianza kushusha mashambulizi yake ila mange kapata kiboko yake
Bomu nalisubiri kwa hamuuuuuu.
Kuanzia leo saa 6 usiku nalog in kwa fekero maana kule nimemsubscribe KP kila anachoweka naletewa ripoti.

Heheheeeee [emoji108][emoji108][emoji108]
 
mimi humu kwenye mitandao ni mifekero tupu hata whatsup linamba langu ni fekero
nina simu mbili
ya ukweli kuna wazazi ndugu na watu wa ofsini basi
wengine wooote wanakula fekero
duuuhh!![emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Mimi naamini sio yeye...KP hakamatwiiiii [emoji108]
ameeen!!asikamatwee
Mimi siku KP akirusha bomu la Hiroshima huwa nalog in kwa fekero nachekeleaje?
Tena huwa nachati na KP DM sana kwa hilo fekero [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Mwenzangu kucomment kwa a/c yako ya ukweli ni kujitafutia mabalaa tu.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] mi IG natumia fake situmii real account
 
Mimi ninazo naombwa mpaka nanuniwa na watu.
Huwa natoka nazo mara chache sana,ninavyozipenda huwa naomba Mungu siku mama yangu asiniombe maana utakuwa mtihani!
unajua pochi ina raha yake ukiwa na mbili tatu za maana sio mbaya ila sio unajisahau ununue pochi ya milioni 21 kisa designer eti
 
Bomu nalisubiri kwa hamuuuuuu.
Kuanzia leo saa 6 usiku nalog in kwa fekero maana kule nimemsubscribe KP kila anachoweka naletewa ripoti.

Heheheeeee [emoji108][emoji108][emoji108]
Na mimi na fekero ila lemutuz kaniblock sijui aliniona nimemchamba kwa mtu yaan ata sikumbuki nilichomfanyia [emoji23] [emoji23]
 
duuuhh!![emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]

ameeen!!asikamatwee

[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] mi IG natumia fake situmii real account
mimi ni fekero everywhere ukitaka kunijua unione tu live sio humu kwenye mitandao
kwenye mitandao wanga wengi wakiona umefanikiwa kidogo tu shida
hata mange kalogwa tu yule kwa kuonesha watu mashauzi yake angekaa kimya kama klyn angekuwa zake dubai saa hivi
witchcraft is real ***** ohooo!
 
Wale malady wa mjini walisema watamuwekea KP advocate.
KP anatupa raha wengi jamani,siku akiondoka IG nitatundikiwa dripu.

Maana nikishachoka akili huwa naenda kwenye page yake nacheeeeeka.
Sasa kumkosa sijui itakuwaje.

Lazima afadhiliwe,no way.
 
kamuachia mzungu madeni mpaka mvunguni? mange jamani si angejifungulia tu nyumbani jamani? eti millioni 16 ? hivi ni mzima kweli unaenda kujifungua kwa bill hyo ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kweli Miss unakumbuka mengi,hadi bei?
Mimi sikumbuki bei zaidi ya matukio.

Kumbe ilikuwa ml 16?[emoji134][emoji134][emoji134]
Kweli sio mzima yule.
Huku pembeni LV ya mil 25.
Jumla mil 41 Uwiiiiiiii
 
Wale malady wa mjini walisema watamuwekea KP advocate.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] toba ilayh!heee watu wako serious
kuna mmoja alisema anatoa 20 m cash kwa kp nauli ya kwenda mahakamani nadhani ni mwamvita yule ahahaa wananipa raha wale
aiseeeh!wameamua jamaniii!!
Bomu nalisubiri kwa hamuuuuuu.
Kuanzia leo saa 6 usiku nalog in kwa fekero maana kule nimemsubscribe KP kila anachoweka naletewa ripoti.

Heheheeeee [emoji108][emoji108][emoji108]
nifundishe kufungua fake account IG maana KP kaniblock!
 
KP anatupa raha wengi jamani,siku akiondoka IG nitatundikiwa dripu.

Maana nikishachoka akili huwa naenda kwenye page yake nacheeeeeka.
Sasa kumkosa sijui itakuwaje.

Lazima afadhiliwe,no way.
nifundishe kufungua account fake IG!
 
Back
Top Bottom