Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Uwiii tarehe mbili September imefikaaaaa....... Ni saa nane usiku hapa Los Angeles.........
.
.
From today this page will be about me , my kids and uchambuzi wa siasa za Tanzania........Kuanzia leo Nomore drama and no more maugomvi ... Hata nikichambwa ntajikaza kisabuni ustaarabu ukinishinda ntamvizia Bae kaingia kulala alafu nachamba akiamka asubuhi nafuta posti...Ila ntajikazaaaaaa kisabuni....
.
.
Mnajua umbea, drama na maugomvi kwangu ni kama mla unga umwambie aache Unga. Anaweza kuacha Ila hachelewi kurudia.. Nimeishi Maisha ya drama since 2008, kwa Hiyo mjue Mie ni teja wa drama sichelewi kurudia so inabidi mnisaidie nisirudie Kwa kuacha kuniletea habari za watu la sivyo siku Arosto ikinishika sana ntaandika tu...
.
.
Ila scandal la Ghalib wa Home Shopping Centre siku arosto ikishika ntaharisha tu...Ni balaaaa...Ndio ni Maisha yake personal Ila I can't stand hypocracy ya Makonda on a certain issue ..... .
.
Niombeeni sana *In Magufuli's voice * Niweze Kuwa mdada mwenye heshima zake ili jamaa atie nanga....
.
.
.
Leo nauaga umbea na umaskini kwa siku moja.....
Ngoja niende
 
Wabongo ndivyo tulivyo yan Wabishi mpaka Tunajistukia. Basi team Mafisi kutokea JF UBUYU.COM tunayo Furaha kuwajulisha kwamba habari hii nayo itakuwepo katika Toleo lijalo.🙄🙄🙄
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] waliobisha wanapita kimyakimya kama mafisi.
Sijawahi kuleta ubuyu wa uongo JF hata siku 1,habari zangu ni first class kutoka vyanzo vya kuaminika [emoji108]
Acheni tu JamiiForums wanipe simu jamani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
mpaka mange mwenyewe alikuja kukutukana ahahaa pole sana
hivi lara yupo wapi?
Si bora alivyonitukana?Na ban nilipewa ya siku 3 kosa eti ni "Matusi kwa Mange" nyie acheni tu!

lara 1 sinaga shida nae kabisa,nampenda mnooo.
Akili kubwa yule.
 
[emoji23] [emoji23] mm kwenye og niliblockiwa na lulu nilicomment kwa tzshaderoom nikala block kwenye fekero ndo lemutuz ninavyompenda yule babu ata sijui nilimchamba nini
Lulu sishughulikagi nae kabisaaaa.
Sio kwenye a/c yake wala za watu.

Mimi Le Mutuz namuogopaaaa,huwa napita kimyakimya hata mtu akimchamba sishangilii maana yule hata ukiguna tu anakublock.
 
hivi ile mikorogo ya insta ni ya ukweli jamani nataka niwake kiduchu
Weeeee shauri zako ngoja uwe kama kitimoto kama wema enzi za ushoga wake na Snura.
Kama sio pesa za CK alizotumia China kujibadili sijui angekuwaje hii leo.

Endelea na ngozi yako,jikubali.
Mimi jamani huwa situmii macream,hakuna kitu naogopa kama kuungua.
 
Uwiii tarehe mbili September imefikaaaaa....... Ni saa nane usiku hapa Los Angeles.........
.
.
From today this page will be about me , my kids and uchambuzi wa siasa za Tanzania........Kuanzia leo Nomore drama and no more maugomvi ... Hata nikichambwa ntajikaza kisabuni ustaarabu ukinishinda ntamvizia Bae kaingia kulala alafu nachamba akiamka asubuhi nafuta posti...Ila ntajikazaaaaaa kisabuni....
.
.
Mnajua umbea, drama na maugomvi kwangu ni kama mla unga umwambie aache Unga. Anaweza kuacha Ila hachelewi kurudia.. Nimeishi Maisha ya drama since 2008, kwa Hiyo mjue Mie ni teja wa drama sichelewi kurudia so inabidi mnisaidie nisirudie Kwa kuacha kuniletea habari za watu la sivyo siku Arosto ikinishika sana ntaandika tu...
.
.
Ila scandal la Ghalib wa Home Shopping Centre siku arosto ikishika ntaharisha tu...Ni balaaaa...Ndio ni Maisha yake personal Ila I can't stand hypocracy ya Makonda on a certain issue ..... .
.
Niombeeni sana *In Magufuli's voice * Niweze Kuwa mdada mwenye heshima zake ili jamaa atie nanga....
.
.
.
Leo nauaga umbea na umaskini kwa siku moja.....
Hivi Mange ana akili nzuri?Kwanini anapenda kuanika maisha yake kiasi hiki?

Eti nauaga umasikini!
Mimi nahisi hilo bomu la kesho labda KP keshamjua Mr. Rolex.
Maana kama aliweza kunasa picha zake akiwa kituoni...sijui!
 
Mimi nasikiaga tu obagi obagi...
Hata sijui ilikuwaje.
Alikuwa anauza mikorogo au?
Ilikua body cream hyo alikua anasema inauzwa dollar 200 ukikaa kidogo obagi mara mdogo wangu wema nae anatumia obag kipindi kile kajibleach mwili
 
Hivi Mange ana akili nzuri?Kwanini anapenda kuanika maisha yake kiasi hiki?

Eti nauaga umasikini!
Mimi nahisi hilo bomu la kesho labda KP keshamjua Mr. Rolex.
Maana kama aliweza kunasa picha zake akiwa kituoni...sijui!
Hana akili mange aliyopitia yote angetakiwa awe msiri
 
Si bora alivyonitukana?Na ban nilipewa ya siku 3 kosa eti ni "Matusi kwa Mange" nyie acheni tu!

lara 1 sinaga shida nae kabisa,nampenda mnooo.
Akili kubwa yule.
shoga ulichambwa live na Mange?[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Kuna kipindi alivamia na hizo ID's ilikuwa balaa.
Tulichambwaje?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] angekuwa nazo au hata kunijua tu angeshanianika na kunichamba.
Sio kwa kumchokonoa kule hadi akaamua kuja kwa Verified ID kunichamba.
 
Mimi nasikiaga tu obagi obagi...
Hata sijui ilikuwaje.
Alikuwa anauza mikorogo au?
yaah!alikua anauza mange
Jamani acheni hivi vitu,shauri zenu ngojeni muwe kama mke wa Said Fella
[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
[emoji23] [emoji23] mm kwenye og niliblockiwa na lulu nilicomment kwa tzshaderoom nikala block kwenye fekero ndo lemutuz ninavyompenda yule babu ata sijui nilimchamba nini
mi pia jini mauti kaniblock nlicomment kwa mily wanasomaga Walee!
hata sijali mi mange sipendi aniblock japo simkubali Ila ana uandishi flani amazing!
 
Wewe unaambiwa muda anaospend on line hata angefanya kazi ya 1$ per hour angekuwa tajiri😀😀

Kwahyo KP ni kweli ni uyo emma kama anavyosema mange

Kila la kheri tuombee na sisi

yaani mimi jina nalotumia ig acha tu

hivi ile mikorogo ya insta ni ya ukweli jamani nataka niwake kiduchu

hivi ile mikorogo ya insta ni ya ukweli jamani nataka niwake kiduchu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] asanteni kwa kushiriki
 
Back
Top Bottom