Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

out of topic
hivi mbona mimba za diamond huwa zina ukakasi kiaina?
unakumbuka ile picha zari alipost akafuata alikuwa anaogelea? mara ivan nae kapost eneo hilo hilo mara ana mimba
mimi sielewi ila ukisema utaambiwa umekuwa hater shogangu
Sijaelewa mbea mimi
 
Duh duh...kumbe Mwamy nae mdaku, nakaonaga kama kana mambo ya kizungu sana....ila ushoga huu, never trust a woman even your mom...
MWAMY HAKUSAMBAZA ISSUE IPO HIVI
MUME WA MANGE ALIIFUMA HYO EMAIL AKAITUMA KWA MUME WA KIKI AMTAFSIRIE KIKI NDO AKAISAMBAZA.MANGE MWENYEWE ALISEMA
 
MWAMY HAKUSAMBAZA ISSUE IPO HIVI
MUME WA MANGE ALIIFUMA HYO EMAIL AKAITUMA KWA MUME WA KIKI AMTAFSIRIE KIKI NDO AKAISAMBAZA.MANGE MWENYEWE ALISEMA
okeeey!nimekupata ndo maana hampendi kiki sana mange duuuhh!!! Ila daah Ila email ilimharibia sana Mange till today ndo maana mtata vile
 
okeeey!nimekupata ndo maana hampendi kiki sana mange duuuhh!!! Ila daah Ila email ilimharibia sana Mange till today ndo maana mtata vile
NA NDO MAAANA UTAJUA ILIKUWA YA KWELI
ALISEMA NI CHAGA BEBI KAANDIKA KATUMA KWA MUME WAKE MUME AKAITUMA ETI BONGO ITAFSIRIWE NDO KIKI AKAMWAGA MCHELE PWAAA
 
NA NDO MAAANA UTAJUA ILIKUWA YA KWELI
ALISEMA NI CHAGA BEBI KAANDIKA KATUMA KWA MUME WAKE MUME AKAITUMA ETI BONGO ITAFSIRIWE NDO KIKI AKAMWAGA MCHELE PWAAA
ile mail itabaki vizazi na vizazi mpk kina keanu wataisoma dahhh[emoji85] [emoji85] [emoji85] ndo maana anapayuka sana!
 
Nimeisoma email ya Mange kwenda kwa aliyekuwa shoga yake mkubwa Mwamvita Makamba. Nilichojifunza katika maisha usimuamini mtu yeyote yule kwa jambo lako ambalo unataka liwe siri. Hata kama awe mzazi hata mtoto. Cha msingi email ile mwanaume yeyote hawezi kuivumilia ni atakutaliki tu. Tujifunze kupitia kwa Mange kuwa hakuna kitu duniani kinaitwa mara shoga yako mara shostito mara sijui nini. Pamoja na ubaya wa Mange but ni wakati pia tunapofanya jambo la kukomoa tuangalie kwa mapana yake. So sad for the kids.
 
Nimeisoma email ya Mange kwenda kwa aliyekuwa shoga yake mkubwa Mwamvita Makamba. Nilichojifunza katika maisha usimuamini mtu yeyote yule kwa jambo lako ambalo unataka liwe siri. Hata kama awe mzazi hata mtoto. Cha msingi email ile mwanaume yeyote hawezi kuivumilia ni atakutaliki tu. Tujifunze kupitia kwa Mange kuwa hakuna kitu duniani kinaitwa mara shoga yako mara shostito mara sijui nini. Pamoja na ubaya wa Mange but ni wakati pia tunapofanya jambo la kukomoa tuangalie kwa mapana yake. So sad for the kids.
umeisomea wp??nitumie km unaweza
 
Nimeisoma email ya Mange kwenda kwa aliyekuwa shoga yake mkubwa Mwamvita Makamba. Nilichojifunza katika maisha usimuamini mtu yeyote yule kwa jambo lako ambalo unataka liwe siri. Hata kama awe mzazi hata mtoto. Cha msingi email ile mwanaume yeyote hawezi kuivumilia ni atakutaliki tu. Tujifunze kupitia kwa Mange kuwa hakuna kitu duniani kinaitwa mara shoga yako mara shostito mara sijui nini. Pamoja na ubaya wa Mange but ni wakati pia tunapofanya jambo la kukomoa tuangalie kwa mapana yake. So sad for the kids.
Yaah!inaumiza sana yani kuna mambo yangu mazito..hakuna anaejua na ntaingia nayo kaburini!

Binadamu ananijua only 75%tena huyo ndo best friend!.
 
Nimeisoma email ya Mange kwenda kwa aliyekuwa shoga yake mkubwa Mwamvita Makamba. Nilichojifunza katika maisha usimuamini mtu yeyote yule kwa jambo lako ambalo unataka liwe siri. Hata kama awe mzazi hata mtoto. Cha msingi email ile mwanaume yeyote hawezi kuivumilia ni atakutaliki tu. Tujifunze kupitia kwa Mange kuwa hakuna kitu duniani kinaitwa mara shoga yako mara shostito mara sijui nini. Pamoja na ubaya wa Mange but ni wakati pia tunapofanya jambo la kukomoa tuangalie kwa mapana yake. So sad for the kids.
mtag huyu hapa chini aisome[emoji116] [emoji116]
nimejaribu kurud sjaionaa
 
Back
Top Bottom