Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Msituu...nasikia waganda hawanyoagi mavuzi, ni sharti!....walioona ya nyari wanasema ana ramboo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Msituu...nasikia waganda hawanyoagi mavuzi, ni sharti!....walioona ya nyari wanasema ana ramboo
Uje fasta umbea sunna kwa mtto wa kikeahahaaa haki ya nani nyie wanawake wambea hamchokii nimecheka kweli bado mpo hapa???? nakuja nina umbea wa hataree
Sijaelewa mbea mimiout of topic
hivi mbona mimba za diamond huwa zina ukakasi kiaina?
unakumbuka ile picha zari alipost akafuata alikuwa anaogelea? mara ivan nae kapost eneo hilo hilo mara ana mimba
mimi sielewi ila ukisema utaambiwa umekuwa hater shogangu
Duh duh...kumbe Mwamy nae mdaku, nakaonaga kama kana mambo ya kizungu sana....ila ushoga huu, never trust a woman even your mom...Mwamy aliisambaza kipindi kile bado mashost
Naomba nielekeze hiiAlaf kama mtu kakublock unaweza ingia insta kupitia google ukaona kila kitu
noo!!mange alianza kumkosea mwamy ndo akarevenge kufichua hiyo siri ndo ushoga ukafa moja kwa moja!Duh duh...kumbe Mwamy nae mdaku, nakaonaga kama kana mambo ya kizungu sana....ila ushoga huu, never trust a woman even your mom...
MWAMY HAKUSAMBAZA ISSUE IPO HIVInoo!!mange alianza kumkosea mwamy ndo akarevenge kufichua hiyo siri ndo ushoga ukafa moja kwa moja!
MWAMY HAKUSAMBAZA ISSUE IPO HIVIDuh duh...kumbe Mwamy nae mdaku, nakaonaga kama kana mambo ya kizungu sana....ila ushoga huu, never trust a woman even your mom...
okeeey!nimekupata ndo maana hampendi kiki sana mange duuuhh!!! Ila daah Ila email ilimharibia sana Mange till today ndo maana mtata vileMWAMY HAKUSAMBAZA ISSUE IPO HIVI
MUME WA MANGE ALIIFUMA HYO EMAIL AKAITUMA KWA MUME WA KIKI AMTAFSIRIE KIKI NDO AKAISAMBAZA.MANGE MWENYEWE ALISEMA
NA NDO MAAANA UTAJUA ILIKUWA YA KWELIokeeey!nimekupata ndo maana hampendi kiki sana mange duuuhh!!! Ila daah Ila email ilimharibia sana Mange till today ndo maana mtata vile
ile mail itabaki vizazi na vizazi mpk kina keanu wataisoma dahhh[emoji85] [emoji85] [emoji85] ndo maana anapayuka sana!NA NDO MAAANA UTAJUA ILIKUWA YA KWELI
ALISEMA NI CHAGA BEBI KAANDIKA KATUMA KWA MUME WAKE MUME AKAITUMA ETI BONGO ITAFSIRIWE NDO KIKI AKAMWAGA MCHELE PWAAA
Looh maskini sio siri nimejikuta namuonea huruma mange...kweli yuko kwenye kipindi kigumu asee, mange hawezi kuwa sawa tena!MWAMY HAKUSAMBAZA ISSUE IPO HIVI
MUME WA MANGE ALIIFUMA HYO EMAIL AKAITUMA KWA MUME WA KIKI AMTAFSIRIE KIKI NDO AKAISAMBAZA.MANGE MWENYEWE ALISEMA
sure yaani ni ya muda kidogo Ila ipo mpk Leo ndo maana hasira zake anamalizia kwa kina hoyce kila siku!Looh maskini sio siri nimejikuta namuonea huruma mange...kweli yuko kwenye kipindi kigumu asee, mange hawezi kuwa sawa tena!
hiyo email nan anayo??...aiweke basi nasi tuioneeile mail itabaki vizazi na vizazi mpk kina keanu wataisoma dahhh[emoji85] [emoji85] [emoji85] ndo maana anapayuka sana!
ipo humu jf kwenye hii thread mwanzo kabisa!hata kwenye blogs za baadhi ya watu!hiyo email nan anayo??...aiweke basi nasi tuionee
nimejaribu kurud sjaionaaipo humu jf kwenye hii thread mwanzo kabisa!hata kwenye blogs za baadhi ya watu!
umeisomea wp??nitumie km unawezaNimeisoma email ya Mange kwenda kwa aliyekuwa shoga yake mkubwa Mwamvita Makamba. Nilichojifunza katika maisha usimuamini mtu yeyote yule kwa jambo lako ambalo unataka liwe siri. Hata kama awe mzazi hata mtoto. Cha msingi email ile mwanaume yeyote hawezi kuivumilia ni atakutaliki tu. Tujifunze kupitia kwa Mange kuwa hakuna kitu duniani kinaitwa mara shoga yako mara shostito mara sijui nini. Pamoja na ubaya wa Mange but ni wakati pia tunapofanya jambo la kukomoa tuangalie kwa mapana yake. So sad for the kids.
Yaah!inaumiza sana yani kuna mambo yangu mazito..hakuna anaejua na ntaingia nayo kaburini!Nimeisoma email ya Mange kwenda kwa aliyekuwa shoga yake mkubwa Mwamvita Makamba. Nilichojifunza katika maisha usimuamini mtu yeyote yule kwa jambo lako ambalo unataka liwe siri. Hata kama awe mzazi hata mtoto. Cha msingi email ile mwanaume yeyote hawezi kuivumilia ni atakutaliki tu. Tujifunze kupitia kwa Mange kuwa hakuna kitu duniani kinaitwa mara shoga yako mara shostito mara sijui nini. Pamoja na ubaya wa Mange but ni wakati pia tunapofanya jambo la kukomoa tuangalie kwa mapana yake. So sad for the kids.
mtag huyu hapa chini aisome[emoji116] [emoji116]Nimeisoma email ya Mange kwenda kwa aliyekuwa shoga yake mkubwa Mwamvita Makamba. Nilichojifunza katika maisha usimuamini mtu yeyote yule kwa jambo lako ambalo unataka liwe siri. Hata kama awe mzazi hata mtoto. Cha msingi email ile mwanaume yeyote hawezi kuivumilia ni atakutaliki tu. Tujifunze kupitia kwa Mange kuwa hakuna kitu duniani kinaitwa mara shoga yako mara shostito mara sijui nini. Pamoja na ubaya wa Mange but ni wakati pia tunapofanya jambo la kukomoa tuangalie kwa mapana yake. So sad for the kids.
nimejaribu kurud sjaionaa