Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,963
- 13,287
Ngoja niingie insta nikaicheki tena [emoji4] [emoji4] [emoji4]Ndo maana ake alikuwa anaimbiwa Madereva
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja niingie insta nikaicheki tena [emoji4] [emoji4] [emoji4]Ndo maana ake alikuwa anaimbiwa Madereva
Ukiisoma kwa makini story hy utapata jibu why Mange kuendelea kumshambulia kwa nguvu makonda. Mhhh ana maumivu na hana sehemu ya kuyatolea kwn alishasema hawezi kumshambulia mzee Malecela na nahisi akimshambulia Dr Mwele asingekubali naye angeropoka anayoyajua juu ya Mange.
Kwa ubuyu huu anaouwek mange wewe unategemea nini?Ukiingia kule Instagram unakuta Posts za Mange Zina likes 35000 wakati Le mutuz like 750
Uwiiiiii uwanja wa vita ungenogaaaa!Ukiisoma kwa makini story hy utapata jibu why Mange kuendelea kumshambulia kwa nguvu makonda. Mhhh ana maumivu na hana sehemu ya kuyatolea kwn alishasema hawezi kumshambulia mzee Malecela na nahisi akimshambulia Dr Mwele asingekubali naye angeropoka anayoyajua juu ya Mange.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwa ubuyu huu anaouwek mange wewe unategemea nini?
Mwisho wa siku serikali inazima data
Asante kwa shot,mnanipa raha kinoma.
Kuna issue niliwahi sikia kuhusu Jide;sasa kwa tetesi hizi nazidi tu kuunga dots.Umeona eeh? Sasa hivi ni mwendo Wa umbea mwendo kasi, na huyo gonga ujue alikua mchepuko Wa jide sijui waliishiaga wapi mmh ngoja ninyamaze warumi mie
Mimi hii issue ya Frank Gonga niliisikia tangu enzi za Frank Machozi.
Mwenzangu huyu nae anataka kutukera tu,sisi tuko hapa kwa ajili ya umbea halafu anaomba samahani kutuletea umbea [emoji34][emoji34][emoji34]Huyo nae tutamchamba tangu lini mbea akaomba samahani kwa kutoa umbea? Aaaargh anatudhalilisha magwji Wa umbea aaaaah aaaaaah
Kama wameanza hadi kuingiza na mambo ya wazazi hii haijakaa poa lemutuz atasababisha mange aanze kumchafua mzee wake!16h
- lemutuz_nationFACT:- (1). MWAKA 2007 Marehemu Baba yako alikuwa ana tenda ya kujenga Veta Kigoma Mjini ......(2). Akaanza kutembea na Mke wa Luhuza ambaye alikuwa anamiliki kituo cha Mafuta na Club kwa jina Stanley Bar ....(3). Baba yako akaanza kutembea na Mke wa Luhuza aliyekuwa anfanya kazi NSSF Kigoma ....(4). Luhuza akiwa amesafiri Baba yako akawa anakwenda kulala na Mke wa Luhuza nyumbani kwake kabisa ....(5). Luhuza alipogundua akamuomba mke wake amtege baba yako wakutane Kizota Guest House kule Kigoma Mwanga Sokoni...... (6). Wakakutania Chumba namba 9, walipovua nguo tu Vijana 10 waliotumwa wakavunja mlango na kumpiga Mande Marehemu Baba yako.....(7). Baba yako akarudi mpaka Dar kwa siri na kujificha sana akachukua Chumba Hoteli ya Tiger AKAJIUA Mwaka huo huo 2007
Weka issue ya jide hapa basKuna issue niliwahi sikia kuhusu Jide;sasa kwa tetesi hizi nazidi tu kuunga dots.
[emoji39][emoji39][emoji39]
Mange kasema hawez kumgusa malecela bse ya wale watoto wengine wa malecelaKama wameanza hadi kuingiza na mambo ya wazazi hii haijakaa poa lemutuz atasababisha mange aanze kumchafua mzee wake!
Alivyomvua nguo Paul Makonda ni vizuri vile, usirushe mawe wakati wewe mwenyewe unaishi kwenye nyumba ya vioo.Kama wameanza hadi kuingiza na mambo ya wazazi hii haijakaa poa lemutuz atasababisha mange aanze kumchafua mzee wake!
Duuh anatukanwa ukouko kwenye page yake halaf nakuaga mzito kumfollowView attachment 396610hii nimeitoa kwenye page ya Konda asee
Lembebez anamtetea naona atakua na malipo yake si kwa utetez uleYarabiiiiiii akili yangu imeunga matukio 1000 ndani ya sekunde!
Sio kwa ubuyu huu!
Makonda ana hali gani huko aliko?
Aiseeeee am speechless [emoji85][emoji85][emoji87][emoji87]
Hawatoki ila james anampenda gonga tokana na muonekano wakeIna maana James delicious anatoka na frank? Inawezekana but sidhani coz hawa mashoga wana tabia tu za kuwaganda wanaume wanaowapenda na kuwapost na kujicommentisha. Na yale madanga yao ya ukweli hawayapost unless mzinguane kwenye hela ndo atakulipua, wanalinda biashara lol. Na hata kama wanakulana, Frank angemruhusu delicious amuite hubby mbele za watu, mtu ana familia na reputation yake atakubali issue yao iwe open? Huyu delicious si ndo alikuwa anapost picha za jux na kumuita majina matamu matamu, ni sawa na yule mwingine alomganda Raymond wa WCB.
Maswahiba.Lembebez anamtetea naona atakua na malipo yake si kwa utetez ule
Hatoki nae uwa anampenda tu kama anavyompendaga juxNyie huyu james jaman,khaaa haya binamu naona umejionea sasa ya mzazi Wa mange, naona james kapewa kif**r mpka anamuita hubby wake, aaah mke mwenzie na mange ana mambo