Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

Talaka yamchanganya Mange Kimambi, mwenyewe akanusha, talaka yaanikwa!

1473417327492.png
 
Ukiisoma kwa makini story hy utapata jibu why Mange kuendelea kumshambulia kwa nguvu makonda. Mhhh ana maumivu na hana sehemu ya kuyatolea kwn alishasema hawezi kumshambulia mzee Malecela na nahisi akimshambulia Dr Mwele asingekubali naye angeropoka anayoyajua juu ya Mange.
Uwiiiiii uwanja wa vita ungenogaaaa!
Maana Mange tofauti na huo umama na Mwele alikuwaga shogake pia,lazima anayo tusiyoyajua kuhusu Mange.
Hatareeee [emoji39][emoji39][emoji39]
 
Kwa ubuyu huu anaouwek mange wewe unategemea nini?
Mwisho wa siku serikali inazima data
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Asante kwa shot,mnanipa raha kinoma.
No time ya kupoteza kuingia Insta...mambo yote JF.
Ila jamani hii ikoje?
Mange akisema ataeleza ukweli (tofauti na vile wengi tunavyofahamu) itakuwaje?
Haoni kama ndio atazidi kumdhalilisha Mzee wake maana wadau wana hadi mikanda ya video baba yake akifanyiwa mbaya?
Maana endapo akikataa wadau wataweka hadi video clips (kama namuona KP heheheee)

Mange najua huwa unapita huku kusoma,achana na hii issue ya kuongelea unaouita ukweli kuhusu marehemu baba yako.
Wadau tumeshapotezea,ukiongelea hili utaifumua hii issue upya ambao walikuwa hawajui waujue ukweli wa mambo.
Period
 
Umeona eeh? Sasa hivi ni mwendo Wa umbea mwendo kasi, na huyo gonga ujue alikua mchepuko Wa jide sijui waliishiaga wapi mmh ngoja ninyamaze warumi mie
Kuna issue niliwahi sikia kuhusu Jide;sasa kwa tetesi hizi nazidi tu kuunga dots.
[emoji39][emoji39][emoji39]
Mimi hii issue ya Frank Gonga niliisikia tangu enzi za Frank Machozi.
 
Huyo nae tutamchamba tangu lini mbea akaomba samahani kwa kutoa umbea? Aaaargh anatudhalilisha magwji Wa umbea aaaaah aaaaaah
Mwenzangu huyu nae anataka kutukera tu,sisi tuko hapa kwa ajili ya umbea halafu anaomba samahani kutuletea umbea [emoji34][emoji34][emoji34]
 
16h
  • lemutuz_nationFACT:- (1). MWAKA 2007 Marehemu Baba yako alikuwa ana tenda ya kujenga Veta Kigoma Mjini ......(2). Akaanza kutembea na Mke wa Luhuza ambaye alikuwa anamiliki kituo cha Mafuta na Club kwa jina Stanley Bar ....(3). Baba yako akaanza kutembea na Mke wa Luhuza aliyekuwa anfanya kazi NSSF Kigoma ....(4). Luhuza akiwa amesafiri Baba yako akawa anakwenda kulala na Mke wa Luhuza nyumbani kwake kabisa ....(5). Luhuza alipogundua akamuomba mke wake amtege baba yako wakutane Kizota Guest House kule Kigoma Mwanga Sokoni...... (6). Wakakutania Chumba namba 9, walipovua nguo tu Vijana 10 waliotumwa wakavunja mlango na kumpiga Mande Marehemu Baba yako.....(7). Baba yako akarudi mpaka Dar kwa siri na kujificha sana akachukua Chumba Hoteli ya Tiger AKAJIUA Mwaka huo huo 2007
 
20h
  • lemutuz_nation"Hata mpumbavu akinyamaza huonekana ana hekima; ak
  • tullymzuri@paulmakonda aliyekutukana anaeitwa mange @mange_kimambi_ ni hivi tulimkeshea for days and month kuomba haswa kuomba usiku.tukasema lazima atunguliwe ktk hicho kiti chake cha kuumiza watu na familia za watu.Sasa siku zinafika maelfu wanagundua kuwa mange is evil....She is jezebel spirit kama unaijua biblia vizuri.Huwa mange anaenda sana kwa waganga haswa alipokuwa tanzania.....huko marekani anaenda kwa fortuneteller ni aina ya waganga huko america and europe.Na aliambiwa kuwa you are great and you will be great ktk nchi yako.Akaelezwa kuwa wewe ni leader,akapewa powers za kusikizisha nafsi.Ndio mana akaweza kupata wasikilizaji wengi.Kuna maji alikuwa anapewa anywe so akitamka kitu kinaonekana it true.Many ladies back then waliomuogopa cause of that crown aliovalishwa. so anapomtusi mtu huwa anapulizia awe weak...so day after day unaogopa na watu wanaamini alichosema.I SAW THAT NILIPOSALI IT WAS A VERY POWERFUL REVELATION.Sasa wakati umefika tulimuita Mungu wa haki na akatuahidi kukipindua. Kinachotokea sasa ni typical war against her.Maelfu wanaamka na kumjua kuwa ni EVIL.Maelfu wanaamka na kuona anavyo puputika.Yuko weak hapo alipo....her inner man imechoka sana.She hardly sleep.Na her way out ni Instagram.Amepata fear sana for almost 8months sasa.Yuko ktk tensions sana na hasira.Pia inamsumbua sana kwanini sivyo ilivyo kama maisha ya nyuma.She trying hard kunuiza na kupuliza ila hajui nguvu hizo ZINAUNGUZWA NA MUNGU ALIYESHIKA PUMZI YAKE.Thats why We usually say REST IN WAR MANGE KIMAMBI.WE CAN NEVER SAY REST IN PEACE......WE SPEAK DEATH IN HER LIFE IN JESUS NAME.JEZEBEL KTK BIBLE ALIKUFA.NOW WE SURELY BELIEVE KUWA HATA YEYE HATAISHI.ANAVUNA UBAYA ALIOFANYA FOR YEARS..MHESHIMIWA WE BELIEVE IN YOU.....WE LOVE YOU.....WE TRUST YOU....WE CARE FOR YOU.. . WORK HARD.NIMETAKA UJUE MANGE NI NAMI.
Like
 
16h
  • lemutuz_nationFACT:- (1). MWAKA 2007 Marehemu Baba yako alikuwa ana tenda ya kujenga Veta Kigoma Mjini ......(2). Akaanza kutembea na Mke wa Luhuza ambaye alikuwa anamiliki kituo cha Mafuta na Club kwa jina Stanley Bar ....(3). Baba yako akaanza kutembea na Mke wa Luhuza aliyekuwa anfanya kazi NSSF Kigoma ....(4). Luhuza akiwa amesafiri Baba yako akawa anakwenda kulala na Mke wa Luhuza nyumbani kwake kabisa ....(5). Luhuza alipogundua akamuomba mke wake amtege baba yako wakutane Kizota Guest House kule Kigoma Mwanga Sokoni...... (6). Wakakutania Chumba namba 9, walipovua nguo tu Vijana 10 waliotumwa wakavunja mlango na kumpiga Mande Marehemu Baba yako.....(7). Baba yako akarudi mpaka Dar kwa siri na kujificha sana akachukua Chumba Hoteli ya Tiger AKAJIUA Mwaka huo huo 2007
Kama wameanza hadi kuingiza na mambo ya wazazi hii haijakaa poa lemutuz atasababisha mange aanze kumchafua mzee wake!
 
Yarabiiiiiii akili yangu imeunga matukio 1000 ndani ya sekunde!
Sio kwa ubuyu huu!
Makonda ana hali gani huko aliko?
Aiseeeee am speechless [emoji85][emoji85][emoji87][emoji87]
Lembebez anamtetea naona atakua na malipo yake si kwa utetez ule
 
Ina maana James delicious anatoka na frank? Inawezekana but sidhani coz hawa mashoga wana tabia tu za kuwaganda wanaume wanaowapenda na kuwapost na kujicommentisha. Na yale madanga yao ya ukweli hawayapost unless mzinguane kwenye hela ndo atakulipua, wanalinda biashara lol. Na hata kama wanakulana, Frank angemruhusu delicious amuite hubby mbele za watu, mtu ana familia na reputation yake atakubali issue yao iwe open? Huyu delicious si ndo alikuwa anapost picha za jux na kumuita majina matamu matamu, ni sawa na yule mwingine alomganda Raymond wa WCB.
Hawatoki ila james anampenda gonga tokana na muonekano wake
 
Nyie huyu james jaman,khaaa haya binamu naona umejionea sasa ya mzazi Wa mange, naona james kapewa kif**r mpka anamuita hubby wake, aaah mke mwenzie na mange ana mambo
Hatoki nae uwa anampenda tu kama anavyompendaga jux
 
Back
Top Bottom