Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
- Thread starter
- #2,161
Unachelewa ujue?NiPM fasta mie mpelelezi wa kujitegemea.Dear siwezi kukugandisha...mwenzako si Jana nikaropoka nikaquote comment yake kwamba yy ni mange! Acha nipewe makavuuu! [emoji24] [emoji24] [emoji24] hadi pozi likaniishia...ntakupm very soon tusaidiane huu uchunguzi...si kwa kichambo nilichopewa Jana!!
Huwa sishindwi na sijawahi kushindwa [emoji23][emoji23][emoji23].
Karibu mama.