Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo wasuni sio waislamuIrán haijawahi kuunga mkono Taliban, kwanza kiitikadi taliban ni wasunni, Irán inaona kuwaunga mkono kutahamasisha raia yake wachache wa kisunni kuwa na mtazamo wa kitaleban, hiyo ni moja
Pili vikundi vya kisunni vimekuwa vikipiga vita serikali ya Iran, kwahiyo sio suala jipya, kwa wanaofuatilia siasa za nchi hizo
Nani kawaambia UISLAAM UNAWAUNGA MKONO KUJILIPUA KWAO...? ULIZA UJUE SIO UBISHE...Wakitafunana na kulipukiana mnawakana, ila wakijilipua kwa mnaopenda kuita "makafir" mnawashabikia, ni wenu hao nendeni nao hivyo hivyo nyakati zote.
Mtakavyo uchukia uislam na propoganda za kila aina, bado utakua na uislam upo sahihi kila nyanja. mnashindwa kujua uislam sio uTalabani wala sio uIran, wala usaudi, uislam ni mfumo wa maisha unao elezwa kwenye kitabu kitakatifu.
Propaganda hizo kama hamchukii msinge jikita kutukana mnapoambiwa ukweli, wapigane askari wawili mpakani unau laumu mfumo mzima wa kitabu kitakatifu, comment namba 21 inakuhusu unayoyoyakataa. chuki niugonjwa mbaya sana,Mpigane wenyewe kwa misingi ya kidini kisha mtulaumu sisi eti tunawachukia...
Propaganda hizo kama hamchukii msinge jikita kutukana mnapoambiwa ukweli, wapigane askari wawili mpakani unau laumu mfumo mzima wa kitabu kitakatifu, comment namba 21 inakuhusu unayoyoyakataa. chuki niugonjwa mbaya sana,
Sasa wavaa kobaz hapa watamshabikia yupi?Irán haijawahi kuunga mkono Taliban, kwanza kiitikadi taliban ni wasunni, Irán inaona kuwaunga mkono kutahamasisha raia yake wachache wa kisunni kuwa na mtazamo wa kitaleban, hiyo ni moja
Pili vikundi vya kisunni vimekuwa vikipiga vita serikali ya Iran, kwahiyo sio suala jipya, kwa wanaofuatilia siasa za nchi hizo
Pamoja na hayo sijawahi kuona wasabato na wakatoliki wanauwana..ila wavaakobazi ni kuuana tu..nadhani hii dini ya wavaakobazi itakua na shida mahali.Iran ni mashia na itakadi za kishia zinajulikana, talban ni alhlul sunna wal jamaaa ni vitu viwili tofauti like usabato na ukatoliki mbona easy tu kuelewa
Hata shetani ana vitabu..mifumo na wafuasi wake..unauhakika hicho unachikiamini na kukisimamia sio cult.Mtakavyo uchukia uislam na propoganda za kila aina, bado utakua na uislam upo sahihi kila nyanja. mnashindwa kujua uislam sio uTalabani wala sio uIran, wala usaudi, uislam ni mfumo wa maisha unao elezwa kwenye kitabu kitakatifu.
Hapo wamechanganyikiwa hawajui washike lipi waaache lipi..watabaki kulialia na kusema ni propaganda za westerners.Sasa wavaa kobaz hapa watamshabikia yupi?
Kwahiyo jibu lako kwenye hoja ya madau Hapo ndio hivi tu?Wote wale wale wanatumia kitabu kimoja kulipuana.....