Taliban waichukua Kabul, Je Waarabu kuomba msamaha Marekani na kuwaomba warudi kuikomboa nchi

Taliban waichukua Kabul, Je Waarabu kuomba msamaha Marekani na kuwaomba warudi kuikomboa nchi

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
15,835
Reaction score
23,776
Haya yanatokea wakati wanamgambo wa Taliban leo wakiuteka mji mwengine mkuu wa mkoa wa Ghazni ulioko kilomita
130 kusinimagharibi mwa Kabul, huu ukiwa ni mji wa kumi uliotekwa na waasi hao katika kipindi cha mashambulizi ya wiki nzima kote Afghanistan.
Kutekwa kwa mji wa Ghazni ni pigo jengine kwa majeshi ya serikali ya Afghanistan kwani jambo hili litauwekea mji mkuu Kabul shinikizo zaidi.
Huku uwezo wa serikali ya Afghanistan kufanya mashambulizi ya angani ukiwa ni mdogo, jeshi la anga la Marekani linaaminika
1.jpg


imekuwa likifanya mashambulizi kuyaunga mkono majeshi ya serikali.
SAfghanstan inapakana na uzbekstan , urusi na wengine.
Russui waliwasaidia wanajeshishi wa Kishia kuitawala afganistan, wakatengeneza kundi na Marekani , Sunni hawakukubali.

India wapo upande wa Russia, Pakistan wapo upande wa USA-Magharibi kwahyo lilitengenezwa kundi la mujahidin kuwaondoa russia, kundi hilo liliwaondoa russia na lilisifwa sana na dunia nzima na ni la SUNNI likiongozwa na akina OSAMA bin LADEN.

Lile kundi la mujahidin waliondoka na wengine wakabaki, mujahidin walibaki lakini hawataki biashara ya madawa kulevya ila wa -afgan wenyewe wanapiga hizo ishu, ndio biashara yao kubwa baada ya kundi la Sunni kuwa na corruption kuna kundi la wanafunzi walikuwepo Pakistan. TWALIBAN maana yake ni Wanafunzi .Sunni ni wanasiasa wenye siasa kali, tuendelee kupata updaytes.

Rais kakimbia nchi, je Marekani warudi afganstan au waarabu watakwenda kuwasaidia waarabu wenzao?

Kwanini kila nchi inategemea marekani?

Wanaopiga kelele marekani ijiondoe huko middle east mbona wapo kimya wakati wenzao wanapopinduliwa?
 
Aibu sana kwa Marekani!

Rais Biden hata haelewi anachokifanya.
Vipi kama ni mpango wa haohao unaosema aibu yao? Wakikutumia unatemwa tu kama "jojo" ngoja tuone baada ya mwaka au miaka miwili ujue kipi kitajiri. Ni mapema kuwadharau hao wamarekani
 
Taleban walikua wanafadhiliwa na marekani na wamarekani kuna sehemu anaweza kufadhili waasi na serikali ili afaidike baaadae sasa ili kuelewa haya mambo inabidi usiwe shabiki wa upande wowote na kuelewa jinsi mashirika ya kijajsusi duniani yanavofanya kazi ya kuvuruga amani ya dunia kwa maslahi yao inabidi uwe na uelewa wa hali ya juu
 
Vipi kama ni mpango wa haohao unaosema aibu yao? Wakikutumia unatemwa tu kama "jojo" ngoja tuone baada ya mwaka au miaka miwili ujue kipi kitajiri. Ni mapema kuwadharau hao wamarekani
Mpango gani sasa huo ambao Wamarekani wametumia zaidi ya dola trilioni 2, maelfu ya askari wao kupoteza maisha katika kuwaondoa Taliban, halafu mwisho wa siku Taliban hao hao ndo wanarudi madarakani??

Huo utakuwa ni mpango wa kipumbavu kabisa kuwahi tokea hapa duniani.

Marekani ina watu wasio na makazi [homeless] wengi sana.

Hizo dola trilioni 2 na ushee zingefaa kutumika kuwasaidia hao wasio na makazi kuliko kwenda kuziunguza huko Afghanistan.

Kilele cha upumbavu.
 
Soma hapa Kwanza ndo utawaelewa hao wahuni.....

Korangal Valley campaign​

The Korangal Valley campaign was a series of military operations conducted by ISAF forces against Taliban insurgents in the Korangal Valley in Kunar province, Afghanistan, from October 2004 to April 2010. The campaign ended with a US withdrawal from the valley, after suffering heavy casualties, and a Taliban takeover of the area.
Korangal valley campaign
Belligerents
Strength
Casualties and losses
Part of the War in Afghanistan (2001–present)
DateOctober 2004 - April 14, 2010
LocationKorangal Valley, Kunar province, Afghanistan
ResultUS withdrawal
Taliban strategic victory
23px-Flag_of_the_United_States.svg.png
United States
23px-Flag_of_Afghanistan.svg.png
Afghanistan
Afghanistan Taliban insurgents
120 US soldiersUnknown
United States 54 killed
Several hundred wounded
Afghanistan Heavy
Unknown
Army Special Forces and Rangers had conducted an unknown number of missions there prior to October 2004 when 3rd Battalion 6th Marines became the first Marine unit to conduct an operation there, followed by 3rd Battalion 3rd Marines the next month, which began conducting regular combat operations.[1][2] On June 28, 2005, a US Joint Military Operation called Operation Red Wings, was conducted in Korangal in an attempt to find and eliminate a local warlord. A four-man team of Navy SEALs were ambushed on a ridge above the village of Salar Ban; three members were killed, and a Chinook helicopter sent to rescue them was shot down, killing another 16 soldiers, including eight more Navy SEALs. The fourth member of the team was missing in action for several days before being rescued.
In April 2006, US Marines upgraded a temporary landing zone based at a sawmill and lumberyard in the valley and used them to build the Korangal Outpost. After that, they continued in an attempt to penetrate the six-mile-long by 0.62 mile-wide valley,[3] but never made it more than halfway. The only area that US forces controlled was the northern part, while the southern part of the valley was under Taliban control from start to finish. There were only two missions to the valley’s southern end since 2005. In the words of the executive officer of Second Battalion, 12th Infantry Regiment, it would have taken a battalion-size force to make a foray there.[4]
Most of the opposition encountered by Coalition troops were not Taliban or Al Qaeda members, but the Korangalis themselves. From time to time, some Taliban forces and al-Qaeda operatives passed through the valley, but the hostility mostly came from the valley's inhabitants. Later on the Korangalis joined the insurgency. The valley was used as a route for fighters and weapons carriers to infiltrate Afghanistan.[5]
US positions were attacked with rockets and mortars on an almost daily basis, and patrols were routinely ambushed after advancing only a few hundred meters outside the wire.
After years of sustained fighting and casualties with little evident progress, the US military closed Korangal Outpost on April 14, 2010 a decision made by Gen. Stanley McChrystal. Five days after the US retreat, a video aired by Al Jazeera showed Taliban fighters among the remains of the former American outpost.[6] Throughout the five-year campaign, the United States lost 54 men killed and some hundreds wounded, primarily between the years of 2006 and 2009. Afghan soldiers took heavier casualties, partly because of their poorer equipment. The valley was dubbed "The Valley of Death" by American forces.
For his actions during Operation Rock Avalanche in October 2007, Staff Sergeant Salvatore Giunta received the United States military's highest decoration for valor, the Medal of Honor. He was the first living person since the Vietnam War to receive the award. When his patrol was ambushed on October 25, 2007, Giunta managed to save his team's sergeant, Joshua Brennan, from being dragged away and captured by two Taliban fighters. When Giunta saw Brennan being taken away, after he was wounded in the initial burst of fire, he rushed the enemy, killing one of the fighters and wounding the second. After that, he carried his sergeant to safety, but Brennan died of his wounds a few days later.
British professional photographer Tim Hetherington won the World Press Photo award for 2008 [7] with a shot he took while reporting on the war in the Korangal Valley for Vanity Fair magazine in January 2008.[8] Sebastian Junger's (2010) book War and the subsequent film Restrepo document his experiences while embedded with a US Army company in the Korangal valley.

Changamoto kubwa ni geographical position ya Afghanistan ,inahtaji nguvu kubwa kufanya operation kitu ambacho marekani hayupo tayar kuloose maelef ya askari kwenye hamna , Angalia pia filamu ya Lone survivor jinsi taleban walivyowatia hasara Marekani , kiufupi tu Marekani hawezi kurudia huo ujinga

 
Mpango gani sasa huo ambao Wamarekani wametumia zaidi ya dola trilioni 2, maelfu ya askari wao kupoteza maisha katika kuwaondoa Taliban, halafu mwisho wa siku Taliban hao hao ndo wanarudi madarakani??

Huo utakuwa ni mpango wa kipumbavu kabisa kuwahi tokea hapa duniani.

Marekani ina watu wasio na makazi [homeless] wengi sana.

Hizo dola trilioni 2 na ushee zingefaa kutumika kuwasaidia hao wasio na makazi kuliko kwenda kuziunguza huko Afghanistan.

Kilele cha upumbavu.
Mkuu kuhusu misaada wanayptoa wamarekani na uhalisia wa maisha ya raia wake ni vitu viwili tofauti. Chanjo za msaada zinazopelekwa nchi mbalimbali kwanini gharama hizo wasiwape hao homless?
 
Mkuu kuhusu misaada wanayptoa wamarekani na uhalisia wa maisha ya raia wake ni vitu viwili tofauti. Chanjo za msaada zinazopelekwa nchi mbalimbali kwanini gharama hizo wasiwape hao homless?
Chanjo za msaada zina gharama kiasi gani?
 
Mpango gani sasa huo ambao Wamarekani wametumia zaidi ya dola trilioni 2, maelfu ya askari wao kupoteza maisha katika kuwaondoa Taliban, halafu mwisho wa siku Taliban hao hao ndo wanarudi madarakani??

Huo utakuwa ni mpango wa kipumbavu kabisa kuwahi tokea hapa duniani.

Marekani ina watu wasio na makazi [homeless] wengi sana.

Hizo dola trilioni 2 na ushee zingefaa kutumika kuwasaidia hao wasio na makazi kuliko kwenda kuziunguza huko Afghanistan.

Kilele cha upumbavu.

Coalition ya Taleban na alqaeda ikiongozwa Osama bin laden ilikuwa kitisho kwa USA...kumbuka September 11, US embassy kenya, uganda na Tanzania... washambuliaji walitokea afghastan na mission zilipangwa huko.. kifupi Afghan chini ya Taleban ya Mullar Omar ilikuwa safe heaven kwa alqaeda na operation zake...Chuo kikuu cha kijeshi cha alqaeda, Alfaroukh kilikuwa afghanistan, hivyo ili uwe umeiva lazima upite pale..

Mission ya USA ilikuwa kuisambaratisha Alqaeda kwa maslahi ya USA na kumaliza kambi zao + urafiki wao na taleban....kifupi wamefanikiwa maana Osama he is no longer, Mullar hajulikani alipo, kule Guatanamo alqaeda operative wengi wapo lockup na wengi wamekamatiwa Afghanistan.....kumbuka financer mkuu wa world terror alikuwa Osama na alqaeda yake, kosa la Taleban lilikuwa kumpa hifadhi na wenzie walipokimbia kutoka Sudan....for them to reorganize na kuwa na nguvu ile tena will take karne nyingi sana... Nguvu ya taleban ndani ya afghanistan USA anaijua na kuondoka kwake ni kama ameamua kuwarudishia Taleban nchi yao lakini ile kamba yao na alqaeda ameshaikata na alqaeda ilishakufa sasa..
 
Aibu sana kwa Marekani!

Rais Biden hata haelewi anachokifanya.

Sio hata aibu. Sio Taliban iliwaleta Marekani na wenzake Afghanistan - ni al-qaida na mission iko accomplished! Kama al-qaida itaanza tena basi kutakuwa na mtazamo mwingine.

Mkuu, huwa unapata heshima yangu lakini kumlaumu Biden kwa hili hukuangalia vizuri.

a) Trump alifanya makubaliano/mazungumzo na Taliban akiitenga serikali ya Afghanistan. Baada ya hapo Taliban wakafanya mazungumzo butu na serikali. Trump set a wrong tone!!
b) Russia walifanya vita na hata wao waliondoka kama Wamarekani. Hakuna kitu Marekani wangefanya kama wamefundisha wanajeshi na special forces ambazo baadae wana-surrender!! Taliban ni itikadi ya kidini na hivo ina nguvu ya ushawishi kwa raia wengi sana (hakuna urahisi wa kuondoa itikadi hii)!

Marekani ataondoka na itasemwa ameshindwa lakini maana yake ni kuwa angetaka kubaki, angebaki muda mrefu sana!! Biden kachukua uamuzi mgumu sana lakini ukweli ni kuwa hakukuwa na sababu ya kubaki mwaka mmoja zaidi! Kubaki ilimaanisha miongo kadhaa!!

At times pursuing the impossible makes no sense! It can be costly!
 
Coalition ya Taleban na alqaeda ikiongozwa Osama bin laden ilikuwa kitisho kwa USA...kumbuka September 11, US embassy kenya, uganda na Tanzania... washambuliaji walitokea afghastan na mission zilipangwa huko.. kifupi Afghan chini ya Taleban ya Mullar Omar ilikuwa safe heaven kwa alqaeda na operation zake...Chuo kikuu cha kijeshi cha alqaeda, Alfaroukh kilikuwa afghanistan, hivyo ili uwe umeiva lazima upite pale..

Mission ya USA ilikuwa kuisambaratisha Alqaeda kwa maslahi ya USA na kumaliza kambi zao + urafiki wao na taleban....kifupi wamefanikiwa maana Osama he is no longer, Mullar hajulikani alipo, kule Guatanamo alqaeda operative wengi wapo lockup na wengi wamekamatiwa Afghanistan.....kumbuka financer mkuu wa world terror alikuwa Osama na alqaeda yake, kosa la Taleban lilikuwa kumpa hifadhi na wenzie walipokimbia kutoka Sudan....for them to reorganize na kuwa na nguvu ile tena will take karne nyingi sana... Nguvu ya taleban ndani ya afghanistan USA anaijua na kuondoka kwake ni kama ameamua kuwarudishia Taleban nchi yao lakini ile kamba yao na alqaeda ameshaikata na alqaeda ilishakufa sasa..
Hahaha!

Huwajui magaidi na itikadi zao wewe.

Ugaidi wao ni itikadi.

Ukimuua mtu mmoja au wawili haimaanishi ndo umeiua na itikadi.

Magaidi na itikadi zao huwa hawafi. They just multiply.

Hawa wanamgambo wa Taliban ya sasa hivi unadhani kipindi cha 9/11 walikuwa ni watu wazima?

More than likely walikuwa ni watoto wa umri mdogo sana na sasa ndo hao hao wanaobeba silaha na sasa wameingia Kabul.
 
Mkuu kuhusu misaada wanayptoa wamarekani na uhalisia wa maisha ya raia wake ni vitu viwili tofauti. Chanjo za msaada zinazopelekwa nchi mbalimbali kwanini gharama hizo wasiwape hao homless?
Chanjo za msaada zina gharama kiasi gani?
Na nani amepewa chanjo ya msaada, kwa ushaidi upi?
Chanjo ya corona yenyewe tunaambiwa kulipia cheti/kadi 20,000 sijui ndo msaada wenyewe huo.
 
Back
Top Bottom