Taliban waomba msaada uzunguni baada ya tetemeko la ardhi Afghanistan

Wapi kwingine huwa mnafuata misaada, waarabu wenye dini yao huwa wabahiri sana.
Hili jukwaa mshaligeuza kuwa la udaku na ushabiki maandazi ambao mnauleta mpaka katika mambo serious.
 
Hapa hutaona Mujahedeen hata moja kwa sababu wanajua Marekani hausiki.. [emoji1787] [emoji1787]
Kenge hawa , wanafiki wakubwa , kufyata mkia kama kitimoto .
Si waombe Kwa wajahidina wenzao huko Saudi ?
 
Njaa haina adabu wasiupokee kwann
Si wana waitaga makafiri. Nyenye nyiingi afu kumbe hao wanao wasurport hawana msaada kwao kipi kigumu. Si waiambie Russia.? Sema tu wazungu hawana mambo za kisoro kuwekea vinyongo na visasi kwa raia. Ila ilibidi hawa wakaushiwe wajisaidie wenyewe. Kuita watu makafiri na kuwahukumu afu bado uwahitaji kwenye shida zako ni ujinga mkubwa.
 
Takbiiir
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Petro Dollars pale middle East au ....,mkimbizi wa Syria anaiacha Dubai, Muscat, Saud Arabia anakimbilia ujerumani!,muda mwingine sielewi hii chemistry
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…