Baljurashi
JF-Expert Member
- Dec 30, 2017
- 1,628
- 2,720
Hili jukwaa mshaligeuza kuwa la udaku na ushabiki maandazi ambao mnauleta mpaka katika mambo serious.Wapi kwingine huwa mnafuata misaada, waarabu wenye dini yao huwa wabahiri sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili jukwaa mshaligeuza kuwa la udaku na ushabiki maandazi ambao mnauleta mpaka katika mambo serious.Wapi kwingine huwa mnafuata misaada, waarabu wenye dini yao huwa wabahiri sana.
Kenge hawa , wanafiki wakubwa , kufyata mkia kama kitimoto .Hapa hutaona Mujahedeen hata moja kwa sababu wanajua Marekani hausiki.. [emoji1787] [emoji1787]
Sijui.Sasa wanatafuta nini kukimbilia Europe Kwa makafiri kila siku , ?
SawaWazungu sio watu wa visasi watawapa hadi watasaza,njia ya kumshinda adui ni kumfanyia wema wakati wa shida.
Na msaada wa marekani wataupokea 😂😂😂Hapa hutaona Mujahedeen hata moja kwa sababu wanajua Marekani hausiki.. 🤣 🤣
Njaa haina adabu wasiupokee kwannNa msaada wa marekani wataupokea 😂😂😂
Si wana waitaga makafiri. Nyenye nyiingi afu kumbe hao wanao wasurport hawana msaada kwao kipi kigumu. Si waiambie Russia.? Sema tu wazungu hawana mambo za kisoro kuwekea vinyongo na visasi kwa raia. Ila ilibidi hawa wakaushiwe wajisaidie wenyewe. Kuita watu makafiri na kuwahukumu afu bado uwahitaji kwenye shida zako ni ujinga mkubwa.Njaa haina adabu wasiupokee kwann
TakbiiirTetemeko hatari sana limefanya uharibifu na kusababisha vifo vingi hadi Taliban wameomba msaada.
=============
At least 920 people have been killed and 600 injured after an earthquake struck eastern Afghanistan early on Wednesday, authorities said.
The 6.1 magnitude quake hit in Paktika province, causing scores of homes to collapse and landslides.
The quake struck about 27 miles from the south-eastern city of Khost shortly after 1.30am local time when many people were asleep in their beds.
Taliban leader Hibatullah Akhundzada said hundreds of houses were destroyed and the death toll was likely to rise.
His deputy minister for disaster management Sharafuddin Muslim told a news conference that at least 920 people had been killed and a further 600 injured.
Images showed destroyed stone houses, with residents searching through clay bricks and other rubble for survivors.
Victims were carried into helicopters to be airlifted to hospital from remote areas.
Related video: Palestinian rocket fire draws Israeli air strikes in Gaza (Reuters)
MSN
www.msn.com
... Super power la kibisa.
Petro Dollars pale middle East au ....,mkimbizi wa Syria anaiacha Dubai, Muscat, Saud Arabia anakimbilia ujerumani!,muda mwingine sielewi hii chemistry
Wako hapa wamepiga kambi kushadadia ya Russia,hawana habari kama wenzao huku wanawapigia magoti Wazungu wapatiwe msaada.Hapa hutaona Mujahedeen hata moja kwa sababu wanajua Marekani hausiki.. [emoji1787] [emoji1787]