Taliban Washerehekea Miaka 3 ya kuitwanga na kuifurusha Marekani nchini mwao

Walivyotangaza Wamarekani ni Pakistan, Lakini ukweli ni kuwa Osama alishakufa kwa amri ya Mungu siku nyingi, Wamarekani wakatumia advantage ku act kama wamempata. Ulisikia wapi mtu anatolewa nchi kavu kwenda kuzikwa baharini?

Wamarekani waongo sana.
Mbona samaki wanatoka Baharini wanaenda kuzikwa chooni?

Labda waliogopa watu watakua wanaenda kuhiji kwenye kaburi la kamanda Osama
 
Mbona samaki wanatoka Baharini wanaenda kuzikwa chooni?

Labda waliogopa watu watakua wanaenda kuhiji kwenye kaburi la kamanda Osama
Una haki ya jufikiri na upo huru kubwabwaja na kuhororoja upendavyo, mradi ukweli unaufaham, tosha.
 
Shule za sekondari za wasichana zimefungwa mpaka sasa. Wanaruhusiwa kusoma masomo ya dini tu sijui ni kweli?
Kweli kabisa, Taliban wamesema masomo watayapata madrasa ili kulinda maadili ya Kiislam yaliyojaribiwa kupotezwa jwa makusudi, kwa miaka 20 waliyokuwa vitani na mashetani.

Hawataki kuona ujinga wa maadili maovu kwa vizazi vijavyo. Mwansmke ana thamanu jubwa ya kuwa ndio mlezi wa vizazi vijavyo Afghanistan.

Hawajakatazwa kusoma Madrasa za Jiislam zinazotowa elimu kwa misingi ya Kiislam.
 
Mbona samaki wanatoka Baharinia wanaenda kuzikwa chooni?

Labda waliogopa watu watakua wanaenda kuhiji kwenye kaburi la kamanda Osama
Watu hao watakuwa wajinga ndiyo waliwao wanaokwenda kuhiji kwenye kaburi la mtu.
Mwaislam tunakwenda ziara makaburini, lakini hatuendi kuhiji makaburini.
 
Osama alikuwa ajent wao CIA. Kila kitu kuhusu Osama kilikuwa Planned, kwa dunia ya sasa usifanye mchezo CIA ikusake kisha eti uchukue miaka yote wakukose, tena mtu ambae wana picha zako na wanakujua vizuri.
So unaamini walimuuaā“šŸ¤£
 
Kwa maana hiyo hakutakuwa na
Madaktari
Manesi
Walimu
Askari wanawake
 
USA hakufurumushwa aliondoka mwenyewe ndio maana siku ya kuondoka vijana walidandia ile ndege kwenye matairi wakaanguka njiani
 
Afghanistan hakuna chochote kwa sasa zaidi ya ukame ........unataka usa ibaki kufanya nini?? Harafu vile vitu walivyoviacha soon vitakufa kimoja kimoja maana watakuwa hawana material za kurekebisha vikianza kusumbua au kufa.........na hapo ndio utakuwa mwisho wa wavaa madera
 
Inapendeza sana.Ni matumaini yetu na Hamas na wenzao wataifanyia hivyo hivyo Israel
 

Inapendeza sana.Ni matumaini yetu na Hamas na wenzao wataifanyia hivyo hivyo Israel
Hilo lisikupe shaka ni muda tu, mpaka sasa mazayuni hawajaqahi kupigana vita ndefu namna hii.

Mulla Omar wa Taliban waliwaambia mashetani wa kimarekani na mashoga zao, "tunakipenda kifo kama mnavyopenda kuishi, trunaishi na kifo".

Hawakumuelewa.

Maneno hayo yamerudiwa mara kadhaa na wapiganaji wa Hamas. Natumai mazayuni watawaelewa.

Huu ni mwisho wa uzayuni mashariki ya kati. MBS huko Saudia, mavi debe.
 

FaizaFoxy kama umepewa kadi ya watu wawili ya mualiko usinisahau.
"Mualiko wa nini na "usinisahau" kwani tunajuwana mimi na wewe? Toka lini hata leo iwe mara ya pili? Unanchekesha.
 
Sherehe zimefana kwa kweli.Hongera Mataliban.
 

Kwa maana hiyo hakutakuwa na
Madaktari
Manesi
Walimu
Askari wanawake
Unafikra potofu sana, kwani elimu ya vyote ilitokea wapi kama siyo madrasa?

Soma kijana, wachana na mihemko ya kijinga.
 

Hata Pakistan wanafahamu huu ukweli ...
Jiulize kwanini Wamarekani na vibaraka wake wamemtowa madarakani Imran Khan na kumweka ndani mpaka leo?

Fanya japo utafiti kiduchu wa mtandao. Utapata jibu.
 

Wana akili kama, nguruwe, mijitu ina Ak47, lakini inaogopa ikiona mtoto wa kike akaenda shule! Inaogopa kuona nywele za mtoto wa kike, msichana,
Kama wanaweza wajenge nchi Yao, iwe kama Korea kaskazini,
Stupid fuckers
Wewe kwa lugha hiyto ndiyo umeelimika?

Shule ni neno la Kijerumani. Ninhgekuona wa maana sana ungetumia neno la Kiswahili.

Madrassa ni zaidi ya shule.
 
Miaka 20 wanakula na kunywa nyumbani kwako halafu unawaambia watu wanapigika kiulaini. BIBI MUONGO HUYU.
 

Obama ni kibaraka tu, aliwekwa picha tu pale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…