Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
Marekani anapambana na Iran kwa kuwasigeza Taleban 😄😁😄😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenzetu wanajua ku2mia rasilimali walizonazo,,,
Yaani utafikiri tuliambiwa chagueni kati ya umaskini na neema tukachagua umasikini wa kujitakia kwa ridhaa yetu
Iran hii hii ya Ayatollah Khamenei?Iran ajiandae,maana Taliban na Iran ni maji na mafuta.
Ndio Mkuu,fuatilia history utajua ukweli. Iran alifurahia sana Talibani walipoondoshwa na Marekani. Kati ya Saddam Hussein na Taliban,Iran alikuwa anawaogopa Wataliban kuliko Saddam Hussein.Iran hii hii ya Ayatollah Khamenei?
Waarabu wako juu mno,, ndiyomaana mabeberu wanawaonea wivu,,wanawafitinisha wagombane wao kwa wao huku nyuma yao wanapora.
Nafikiri US alienda Afghanistan baada ya Taliban kumuhifadhi Osama bin Laden. Osama hayupo na Taliban wamesema hawatowahifadhi magaidi. So US kaona!Amerika ametumia miaka 20 kupigana na Taliban, zaidi ya $2trillion kupigana na Taliban, wanajeshi wake kufa kupigana na Taliban na kuwa-replace Taliban kwa Taliban (hao hao).
Ndiyo kafanya nini sasa?