Tamaa za mali mpaka kupelekea mauwaji ya mtalaka wake

Tamaa za mali mpaka kupelekea mauwaji ya mtalaka wake

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Jeshi la Polisi Mkoani Shinyanga linamshikilia Jafari Magesa Miaka 31 Mkazi wa Milambo kwa tuhuma za kuunda njama za kumuua mtalaka wake na kitu chenye ncha kali aitwaye Gaudensia Shukuru miaka 25 Mkazi wa Malunga Manispaa ya Kahama.


Kamanda wa Polisi mkoani Shinyanga Kamishna Msaidizi Mwandamizi, Janeth Magomi amesema tukio hilo limetokea Mei 27, 2024 baada ya kupokea taarifa toka kwa Mwenyekiti wa kitongoji cha Wendele katika Kata ya Wendele Manispaa ya Kahama uwepo wa mwili wa mwanamke aliyeuawa kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali.


SACP Magomi amesema kuwa katika upelelezi wa awali wa chanzo cha tukio hilo ni mgogoro wa Talaka kati ya marehemu na aliyekuwa mumewe ambapo walikuwa na kesi Mahakamani juu ya Talaka ambayo ilikuwa itolewe hukumu yake Mei 28, 2024.

Short-story:
Huyu jamaa maisha yalimpiga ila katika kutafuta ikabdi kuanza biashara ya chipsi mtaani.katika biashara yake kuendelea akapata mfanyakazi wa kumsaidia wa kike ambaye ndio kwa sasa marehemu.
Unajua mambo ya nyota kuendana basi biashara ikaendelea kukua mpaka kufikia kujenga jina kubwa kufikia maisha mazuri.
Watu wengi wa karibu walimshauri kumuoa huyo marehemu sababu ndio wameanza wote na jamaa alikuabri ila pesa inabadilisha watu bwana.
Jamaa kaona sio type yake tena ndio picha lilipomalizikia
 
Jeshi la Polisi Mkoani Shinyanga linamshikilia Jafari Magesa Miaka 31 Mkazi wa Milambo kwa tuhuma za kuunda njama za kumuua mtalaka wake na kitu chenye ncha kali aitwaye Gaudensia Shukuru miaka 25 Mkazi wa Malunga Manispaa ya Kahama.


Kamanda wa Polisi mkoani Shinyanga Kamishna Msaidizi Mwandamizi, Janeth Magomi amesema tukio hilo limetokea Mei 27, 2024 baada ya kupokea taarifa toka kwa Mwenyekiti wa kitongoji cha Wendele katika Kata ya Wendele Manispaa ya Kahama uwepo wa mwili wa mwanamke aliyeuawa kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali.


SACP Magomi amesema kuwa katika upelelezi wa awali wa chanzo cha tukio hilo ni mgogoro wa Talaka kati ya marehemu na aliyekuwa mumewe ambapo walikuwa na kesi Mahakamani juu ya Talaka ambayo ilikuwa itolewe hukumu yake Mei 28, 2024.

Short-story:
Huyu jamaa maisha yalimpiga ila katika kutafuta ikabdi kuanza biashara ya chipsi mtaani.katika biashara yake kuendelea akapata mfanyakazi wa kumsaidia wa kike ambaye ndio kwa sasa marehemu.
Unajua mambo ya nyota kuendana basi biashara ikaendelea kukua mpaka kufikia kujenga jina kubwa kufikia maisha mazuri.
Watu wengi wa karibu walimshauri kumuoa huyo marehemu sababu ndio wameanza wote na jamaa alikuabri ila pesa inabadilisha watu bwana.
Jamaa kaona sio type yake tena ndio picha lilipomalizikia
Watu wa Shinyanga ni mtihani sana
 
Hiyo sehem ya mwisho Wala usingeiweka maana hata ulichoongea hakijaeleweka
Cha msingi ni kijana amemuua aliyekuwa mpenzi wake
R.I.P mtoto mzuri
 
Short-story:
Huyu jamaa maisha yalimpiga ila katika kutafuta ikabdi kuanza biashara ya chipsi mtaani.katika biashara yake kuendelea akapata mfanyakazi wa kumsaidia wa kike ambaye ndio kwa sasa marehemu.
Unajua mambo ya nyota kuendana basi biashara ikaendelea kukua mpaka kufikia kujenga jina kubwa kufikia maisha mazuri.
Watu wengi wa karibu walimshauri kumuoa huyo marehemu sababu ndio wameanza wote na jamaa alikuabri ila pesa inabadilisha watu bwana.
Jamaa kaona sio type yake tena ndio picha lilipomalizikia
Nakala ziwafikie:

Tsh
MamaSamia2025
 
Mbona story haieleweki? Kwamba alipoachana na merehemu biashara iliyumba au vipi?
kasikia tu, ila ni majirani zangu maana Wana biashara sehemu fulani na Mimi.

Jamaa ali kuwa choka mbaya, aka pata Dem aliye kuwa ana fanya kazi mgahawa wa American chips.

Wakawa wana piga kazi eneo Moja, demu aka mshawishi Jamaa wafungue ofisi Yao.

ofisi Ika zaliwa na Ika piga kazi kweli kweli, Jamaa kiburi kika Anza madem hapa na pale.
si aka pata demu la machimboni.

Mwanamke aka ondoka, baadae aka omba talaka wagawane Mali.
Mali Kama gari, nyumba, aka ombwa ofisi waiache.

gari Ika uzwa, nyumba Ika uzwa, yaani kesho siku ya mahakama.
Ndo aka dedishwa Nifah
 
Back
Top Bottom