Mia ya noti
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 866
- 1,234
Nimeuona baada ya Ile comment fupi sana.Nilishatoa ushauri kitamboo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeuona baada ya Ile comment fupi sana.Nilishatoa ushauri kitamboo
with that , nimesave alotChaputa yenyewe changamoto
ili nigundue nini hasa ?oa tu
Umesave nini ambacho wengine wamepoteza.with that , nimesave alot
ili nigundue nini hasa ?
nimesave kutokua na matatizoUmesave nini ambacho wengine wamepoteza.
Walioko kwenye ndoa wote Wana hayo matatizo?nimesave kutokua na matatizo
nimesave kutopata UTI, Ngoma, nakadhalika
NdiyoWalioko kwenye ndoa wote Wana hayo matatizo?
Kwa hiyo huyo mtoto ambaye DNA imesema ni wa kwako lakini una mashaka naye ulifanyaje baada ya hapo?unaendelea kulea au ulikata rufaa mkuuDNA za bongo kwetu zinatoa majibu ya kweli kwenye kupima mambo ya madawa ya kulevya, miili ya marehemu na mambo mengine kama hayo, ila likija swala la mtoto hata kama sio wako kabisa, majibu yakwambia ni wako!
Nilipima mtoto ambaye kwa asilimia 90 nilikuwa na hakika sio wangu, majibu yakaja kwamba mtoto ni wangu!
Nikachukua muda wa kama miezi 7, nikaenda kupima na singo mother mmoja ambaye sijawahi hata ku-date naye, nikamlipa 100,000 ili kunisaidia ku-verify vipimo vya mtoto hapo kwetu!
Lahaulaaa, majibu yakaja eti MTOTO NI WANGU, yule dada alishangaaa mno, nikapata jibu kwamba ofisi ya mkemia linapokuja swala la mtoto ipo sensitive sana kulinda maslahi ya mtoto, ili tu asijekosa malezi!
Kama unabisha jaribu kwenda kupima na uta-prove hiki kitu!
Yes ndivyo inavyotakiwa.Pole Sana mkuu,
Humu Jf Ni kisima Cha maarifa
Nna iman utashauriwa vzr
Mi mwnyw najilinda sn nisipate mtt wa nje Maana kila Mchepuko Wangu unataka tuzae nakwepa
Alafu nyie mafala mnaokomalia kukataa ndoa ukifuatilia utakuta mna 23yrs au wife yupo jikoni anapika[emoji23]
😂😂Eeh umenkumbusha story flan.[emoji28][emoji28]wanatujaza upepo,wahuni sio watu wazuri
Amazing!Asee mwanamke unatoa huu ushauri?[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]