Kweli mkuu uandishi kilinge hakuna wa kuandika kama wao...kwenye beat napo sometimes blaza Duke anakaza sana inakua too muchHahaha, hawa jamaa hususani nikki, one, zaiid nawaelewa sana kuanzia flow, uandishi na kila kitu...they know how to stick on the beats though beats zingine wanazingua.
Boîte....one thé incredibleTungo zangu kifungo na funzo kwa wapumbavu
nguzo zangu za tungo ni funzo kwa tungo kavu
Matunzo ya zangu tungo ni gumzo ndo mana mkavu..twendeeeeee!!!!!
Uno.. Hawauzi umbea wao kama uchx wenye ukoma...hahahaaaa hatari sanaMoko wa miujiza noma..Hii ni ipi?
Miss beautful ulishaiskiza Mzee ?..ya uno ambayo haina chorusDaah siku hizi pia nakosa muda wa kuwasikiliza
Kuna mpya ya one nimeipata juzi bado anafanya poa sana!
Wana ngoma gani??Hawa jamaa,wanajua sana ila,tatizo sijui nini? Sijui bangi?
Jipangee bwana mdogo
kabla sijakupa kisogo
Huna kitu we ni cho**
Vina vyaki toto toto
Jiangalie nisije kupa mkongoto
Mi ndo One the Incredible.. Hahahahah hawa wasenge wanajua sanaSnitch akiniboa namchojoa nampa mbata
namkoboa namzodoa nampa doa nampa chata
Nikikohoa roho inapoa inatakata
Moko poa niko safi niko haswa
Mi ndo One the Incredible
Mimi Tamaduni huwa wananishangaza sana, wakiwa Facebook wanawaponda sana watangazaji hasa wa clouds na east Africa, halafu bila aibu wanawaomba intavyuu, juzi FNL nimemuona One akiuza nyago, kama wanataka wapate airtime ni lazima wawe karibu Na watangazaji/DJs, maana usitegemee kupata airtime wakati ukiwa fb unawaita 'machoko', mfano huyu nash mc anatabia hiyo sana, wakiendelea Na ujuaji wataendelea kusugua bench sanaKama wanataka kuendana na soko la mziki wa sasa...inabidi wabadilike, wasiache uandishi wao ila waboreshe midundo(beats), videos na waache ujuaji wa kijinga.
Kwani mtu akikosea ukimchana ndo hutakiwi kuingea nae?...cha msingi umewaambia ukweli media ndo uti wa mgongo wa shughuli zao Mzee me nawapongeza kwa kuwa na uthubutu wa kuwasema haswa wanapozingua na hiyo ndo hip-hop...no beef wanawaelekeza wanapoteleza japo maneno wanayotumia ni makali.Mimi Tamaduni huwa wananishangaza sana, wakiwa Facebook wanawaponda sana watangazaji hasa wa clouds na east Africa, halafu bila aibu wanawaomba intavyuu, juzi FNL nimemuona One akiuza nyago, kama wanataka wapate airtime ni lazima wawe karibu Na watangazaji/DJs, maana usitegemee kupata airtime wakati ukiwa fb unawaita 'machoko', mfano huyu nash mc anatabia hiyo sana, wakiendelea Na ujuaji wataendelea kusugua bench sana
Nash Mc, VitasaMoto, Mjahidina, Misimamo mikali, NashKazini.. Huyu huwa Hajipendekezi kwa MTU..Mimi Tamaduni huwa wananishangaza sana, wakiwa Facebook wanawaponda sana watangazaji hasa wa clouds na east Africa, halafu bila aibu wanawaomba intavyuu, juzi FNL nimemuona One akiuza nyago, kama wanataka wapate airtime ni lazima wawe karibu Na watangazaji/DJs, maana usitegemee kupata airtime wakati ukiwa fb unawaita 'machoko', mfano huyu nash mc anatabia hiyo sana, wakiendelea Na ujuaji wataendelea kusugua bench sana
Kwani mtu akikosea ukimchana ndo hutakiwi kuingea nae?...cha msingi umewaambia ukweli media ndo uti wa mgongo wa shughuli zao Mzee me nawapongeza kwa kuwa na uthubutu wa kuwasema haswa wanapozingua na hiyo ndo hip-hop...no beef wanawaelekeza wanapoteleza japo maneno wanayotumia ni makali.
kwa style hiyo wataendelea kusubiri sana, kama wanazingua njia sahihi ya kuwarekebisha ni kuwafata wenyewe kuwaeleza au hata kuwapigia simu, na sio kutafuta sifa FBKwani mtu akikosea ukimchana ndo hutakiwi kuingea nae?...cha msingi umewaambia ukweli media ndo uti wa mgongo wa shughuli zao Mzee me nawapongeza kwa kuwa na uthubutu wa kuwasema haswa wanapozingua na hiyo ndo hip-hop...no beef wanawaelekeza wanapoteleza japo maneno wanayotumia ni makali.
Unafki/uoga siyo hip-hop... Hayo matatizo jamaa wanayowasema east africa na cloudz ni kweli yapo bt wasanii woooote walikosa Wa "KUMFUNGA PAKA KENGELE" kapatikana wa kumfunga paka kengele mna diss duuuuuh...me ni muumini wa ukweli na sipendi unafki nafurah namna jamaa wanavyowachana na bado kwenye intavyuu wanakwenda maisha yanaendelea thats hip-hop.kwa style hiyo wataendelea kusubiri sana, kama wanazingua njia sahihi ya kuwarekebisha ni kuwafata wenyewe kuwaeleza au hata kuwapigia simu, na sio kutafuta sifa FB